habari zenu majamaa


kama utapata nafasi ya kupita facebook usisite kutembelea profile yangu www.facebook.com/kibabra pia na page ya blog hii inayokwenda kwa jina la www.facebook.com/lyricszabongo na pia kama ni mpenzi wa magari baaaaaaaaasi hapa www.facebook.com/BongoHottestCars umefika ...hii ya magari ni bado mupya kabisa tupia magari uliypata kuyaona hapa TzEE na wote wenye mapenzi na magari tufurahi pamoja.....kip in tuch yo blogger keV(o_O)oooo
mambo kama haya unaweza tuwekea wote kwa pamoja tukaenjoy
mambo kama haya unaweza tuwekea wote kwa pamoja tukaenjoy


kwa wale tweeters www.twitter.com/kibabra na www.twitter.com/lyricszabongo ...PAMOJA

nai nai lyrics by Ommy dimpoz ft Ali kiba

hey
dum da lila dum
she's always in my mind

nai nai, hakya mungu walai, ninakuzimia
i was shy, shy, you remember that day, niliyokutokea
wanasema why, why, penzi lako sikatai, limenikolea
ushanitoa nishai, shai, wengine hawafai, nimejionea
ai nyota haing'ai, ng'ai, bila we haing'ai, unaniwezea

jamani, why, why? why, why? why, why??
i feel to die, die! die, die! die, die!!
jamani, why, why? why, why? why, why??

nai nai, ukinikubali sikatai, jua you're already in my mind
ukinipa sikatai, nakupenda sana you're always in my mind
always in my mind, swaga zinanimaliza
always in my mind, always in my mind

shopping?????????
iwe china au dubai, nitagharamia
walosema haufai, wako wapi walaghai, wangetubania
mwenzio najidai, ai, kuwa nawe najidai, nakupenda dear
nipe nifurahi, nipe yote nifurahi, wangu malikia
motema nangai,ngai, we sukari mi ndo chai, umenikolea

jamani, why, why? why, why? why, why??
i feel to die, die! die, die! die, die!!
jamani, why, why? why, why? why, why??

nai nai, ukinikubali sikatai, jua you're already in my mind
ukinipa sikatai, nakupenda sana you're always in my mind
always in my mind, swaga zinanimaliza
always in my mind, always in my mind

ohhh
you're always in my mind
you're always in my mind
you're always in my mind
you're always in my mind
heeeyyy
ohhhh
you're always in my mind
ohhhh
I need you
you're always, you're always in my mind
you're always .... yeah

nai nai, ukinikubali sikatai, jua you're already in my mind
ukinipa sikatai, nakupenda sana you're always in my mind
always in my mind, swaga zinanimaliza
always in my mind, always in my mind

your always in my mind

single boy lyrics by Ali kiba ft lady Jay dee

yeah
single boy
i am a single boy

pombe ni kichwa kinauma, kishalewa, anajipoza na maji
na mimi hata muda sina, nishamkanya, ninasikiza mamelody
Nishamwambia nini wewe, kupenda sana utakuwa chizi
hayanaga mjuzi yahwe, kila mtu analilia mapenzi

karibu chama la bachelor, ukinipenda, namaliza leo leo tu
siku hizi kwa kudanganyana, mvulana msichana, ishakuwa poa poa tu
hakunaga mapenzi yale, yakugandana ni zama za kale
money on the table now, kinachofata ni mimi na wewe, na wewe

who the single boy, I am a single boy
who the single boy, mi naye single boy
who the single boy, mi na we single boy
who the single boy, single single single boy
who the single boy, I am a single boy
who the single boy,we the single boy
who the single boy, mi na we single boy
who the single boy, single single single boy
who the single boy
I  am a single boy

[Jay dee]
Nimemkuta analia, kajilaza, sababu amechoka
Mengi amevumilia, yalomkwaza, anataka kuondoka
ana siku ya pili sasa, hajarudi nyumbani kulala,
namuonea huruma sana, haya mapenzi hayana maana

karibu chama bachelor, ukinipenda, namalizana leoleo tu
siku hizi kwa kudanganyana, mvulana msichana, ishakuwa poa poa tu
hakunaga mapenzi yale, yakugandana ni zama za kale
money on the table now, kinachofata ni mimi na wewe

who the single girl
who the single girl
who the single girl
who the single girl, am the single single girl
who the single girl, who single girl
who the single girl, single single girl
who the single girl, who the single girl
who the single girl, single single girl
who the single girl


who the single girl
who the single boy, i am a single boy
who the single girl, i am a single girl
who the single boy, mi na we single boy

Jose Chameleone msanii pekee atayeiwakilisha Afrika Mashariki katika UZINDUZI wa michuano ya LONDON OLYMPICS 2012



Jose Chameleone amepata dili la kuperform kwenye uzinduzi wa michuano ya olympic jijini London
Jose alipata dili hilo kupitia kampuni yenye makazi yake nchini Afrika kusini inayojulikana kama AS Entertainment.Kampuni hiyo ndio iliyompatia deal msanii huyu mwaka 2010 katika michuano ya kombe la dunia iliyofanyika nchini Afrika kusini
Kampuni hiyo bado inafanya mazungumzo na Jose kiasi gani anatakiwa kulipwa kwenye show hiyo
na Jose ndio msanii pekee ambaye mpaka sasa inaonekana atashiriki kwenye uzinduzi huo akitokea Afrika mashariki
michuano ya London Olympics inatarajia kuanza 25July kwenye saa 10 jioni mpaka saa 2 usiku with two football matches of women's preliminaries at Millenium Stadium, Cardiff

chop my money rmx by Psquare ft Akon/May D


[Akon]
Its the remix yeah, the remix yeah
Akon, Psquare, Mister May D
Konvict Music

First of all you are the type of woman that stays on my mind
walk down the street, every guy wanna jump on your behind
Its your seduction that makes sure that we stay in line
sexual corruption cuz i’ll kill anyone for your time
(Time, Time, yeah)
Even though I make real dough, your the reason there’ll be more yeah
(Time, Time, yeah)
Even though I got much more, I don’t mind if you
Chop my money, chop my money
chop my money, cuz I don’t care
Chop my money, chop my money
chop my money, cuz I don’t care
I don’t care (don’t care) 3x
cuz I get am plenty
I don’t care (don’t care) 3x
The girls they love me

[Peter]
E get this fine lady, her body na die Nnwa baby
We suppose to live like family ey, I know dey lie (no dey lie)
there’s nothing stopping me, she dey feel my swag
and I get money, I dey try my best I be somebody cuz I’m living life
This girl dey make me high, high
I dey feel this baby, you no go believe
This girl na die die
If you see this baby, tell am say
She must chop my money, chop my money
chop my money, cuz I don’t care
Chop my money, chop my money
chop my money, cuz I don’t care
I don’t care (don’t care)
I don’t care (don’t care)
I no fear cuz I get am plenty
I don’t care (I don’t care)
I don’t care (I don’t care)
I no fear, cuz e no dey empty
Hey Hey! 3X

[May D]
Is mister May D
Ahn, na the love wen me get for you na Jackie Chan
Somersault and stunt for you, you know I can
farabele komalole, Omo ele I get pepper
Jembi soro kilon sele
If you see her eyes, eyes
you no go believe she’s looking at me
my temperature dey rise, rise
If you see this baby tell am say
She must chop my money, chop my money
chop my money, cuz I don’t care
Chop my money, chop my money
chop my money, cuz I don’t care
I don’t care (don’t care)
I don’t care (don’t care)
I no fear cuz I get am plenty
I don’t care (I don’t care)
I don’t care (I don’t care)
I no fear, cuz e no dey empty
Hey Hey! 3x
I’ll meet you up, up
you go never never run down baby (run down baby)
And when I’m done, done
Tell me if you want some more baby (some more)

[Paul]
I got plenty dollars in my name
Plenty Naira in my name
Plenty dollars in my name
In my name, In my name
Plenty dollars in my name
Plenty Naira in my name
Plenty dollars in my name
In my name, In my name
Plenty dollars in my name
Plenty Naira in my name (Hey Hey)
Plenty dollars in my name
In my name, In my name (Hey Hey)
Plenty dollars in my name
Plenty Naira in my name (Hey Hey)
Plenty dollars in my name
In my name, In my name

10/10 lyrics by Naeto C


Hook
Things are not the same
Things are not the same as before
Things are not the same….no
Things are not the same as before


Chorus
Levels don change now. They no fit hold me again now I am ten over ten
Levels don change now. They no fit hold me again cos I am ten over ten
Now I am ten over ten
Ten over ten, ten over ten shikena
Now I am ten over ten
Ten over ten, ten over ten shikena
Shikena shikena shikena o (3x)
Now I am ten over ten
Shikena shikena shikena o (3x)


Verse 1
Me I am no magician
And I change my condition
But I turn things around
I might fit that description
I’m a p like the pyramid
But I am not no Egyptian
I am sitting on prescription
Can turn this conviction
When it comes to the girls
That’s a whole other story
Only keep the ones that can cook and clean for me
So when I get the pot full of soup and the rice that I like
I do like a maggi cube and spice up your life (shikena)
Only cos I am NC
The only MC with an MSc
So don’t be surprised when they jealous me
I know levels don change so they select me (shikena)
O she baba God o
We celebrate as if we just hit the lotto
Hmm, and what you done is a lot o
Because levels don change




Chorus
Levels don change now. They no fit hold me again now I am ten over ten
Levels don change now. They no fit hold me again cos I am ten over ten
Now I am ten over ten
Ten over ten, ten over ten shikena
Now I am ten over ten
Ten over ten, ten over ten shikena
Shikena shikena shikena o (3x)
Now I am ten over ten
Shikena shikena shikena o (3x)


Verse 2
Now am ten over ten
And the money dey extend o
And they cannot comprehend
How I manage to ascend
You know I no go send
Many people go pretend as if say they really friends
But I do not recommend
Cos I know their agenda
Return to sender
Keep on my friend ah
No time to render
Check my calendar
January, February to December
There’s no space I am too blown to the B.S
Am Y-E-S ps
joo o am
Mo ti lo o
Emi o ri won o
Because levels don gather up gan o
They can’t form when they disform
I am still tighter than the weave that their girlfriend fixed on
You know my P
I don’t think you’ll ever X us
Shikena yo wa (yes boss)


Hook
Things are not the same
Things are not the same as before
Things are not the same….no
Things are not the same as before

Levels don change now. They no fit hold me again now I am ten over ten
Levels don change now. They no fit hold me again cos I am ten over ten
Now I am ten over ten
Ten over ten, ten over ten shikena
Now I am ten over ten
Ten over ten, ten over ten shikena
Shikena shikena shikena o (3x)
Now I am ten over ten
Shikena shikena shikena o (3x)




kibabra is BACK
Chorus

young rapper by young D


okay nasonga mdogo mdogo mpaka mwisho wa safari yangu
napiga kubwa kubwa najidaaai mwanangu
kamwe spidi sipunguzi daily D naongeza ujuzi
kwa kufanya mapinduzi ya mauzo ya hizi kazi
bado tunakomaa lamar, gonga kick iliyojaa
Hii nimezidi tambaa, hadi naona raha
kichaa umeshangaa, kama vile napaa
mistari imenijaa, hadi naona karaha
usinisimamishe homie, hebu nipishe
usijilinganishe nami, ili uchekeshe
nasema tena npishe, kinachofuata action
nawatekenya nawawashawasha ka car

remember im after go kama hizo nakaba koo
and i know i make you go wo-a-h ooo
it's right here boy!

remember im after go kama hizo nakaba koo
and i know i make you go wo-a-h ooo

im the tz number one
Young-D, young lover
im the tz number one
I mean Young-D, young star
im the tz number one
Young-D, young lover
im the tz, t, tz number one

Niko street hapo nshaua flow man
nawaza dough, show game sio demu aaand...
nawaza ma 'lipe ada CBE
nawaza nshakua nisiitwe young-D
nawaza mo money naona mo hunnie
so funny, funny he
nawaza niwe juu ila sio rahisi
nawaza niwe fool vitu vikisha miss
kwa hizi ngoma wenye ndevu mtakaa makini tu
namwaga cheche vindezi nawapiga chini puu
nawameza hawaamini, nawabeza kwa madini
ni A mpaka Z, plus A, E, I
ni swagga za Young-D and the House Fish B
ka ka ka BIG jinsi nlivojaa au kama lamar jinsi nnavyo ng'aa
kama D-Star basi mwenye njaa

remember im after go kama hizo nakaba koo
and i know i make you go wo-a-h ooo
it's right here boy!

remember im after go kama hizo nakaba koo
and i know i make you go wo-a-h ooo

im the tz number one
Young-D, young lover
im the tz number one
I mean Young-D, young star
im the tz number one
Young-D, young lover
im the tz, t, tz number one

remember im after go kama hizo nakaba koo
and i know i make you go wo-a-h ooo
it's right here boy!

remember im after go kama hizo nakaba koo
and i know i make you go wo-a-h ooo

im the tz number one
Young-D, young lover
im the tz number one
I mean Young-D, young star
im the tz number one
Young-D, young lover
im the tz, t, tz number one

nimekasirika by Hamidu ft young D and mr.Blue

Bendera inapepea ikiangaza pande zote
hii ni gari inayosogea hadi ndani ya matope
Boom! kwenye air,  hewa ina cocaine
saluti segerea inayofanya watu wanyooke
Bora maskini ila sio kolombweha
ah, demu unayemuamini ndo atakupa gonorrea
niskize mimi uone kama utapotea
hii ni sumu juu ya ulimi afu mtoto amekolea
B:O:B mtu be! na D wa mtu che eh
hatuna dhiki ila sio daily starehe
mishemishe zikikubali party inaanza day break
Vichwa vya msumari, boya boya stay back!
siogopi Mic naeza chana hata Msibani
Hizi vocal za fataki zina hustle darasani
Na swagger ni marashi beat inatoka pwani
Nyimbo inatoka classic sound ka Miami


Nimekasirka!
Nataka niwape flow, na niwapake chalk
wakilisha watu wa ghetto na wasaka dough
nataka niwape flow, mpaka mwisho yoh
now ma baby kwenye floor C'mon let's go
Nataka wenye chuki zao waende likizo
wakilisha TZ chama la bongo
wakilisha yoh, sababisha yoh
vagamisa mpaka mwisho wa maisha yoh


Flow zangu dili kama Bomu za mogadishu
Piga simu leta dili acha bifu
japo watoto wananibip mi ni jembe wao ni visu
I was born 19:87 huku nakaa nyamala
nilianza hustle mdogo mdogo wakaniona fala
Nimeanza ku'make dough kabla ya kujua ku'flow
so, haini'Pain nikikosa kufanya show
Mi ni mjeshi commando ha!
Nashika bango naitangaza namba yangu right? 26!
sina mpango nawanao fagilia maisha yangu right? 26!
wanao sniff na ku smo' (smoke) mi ndo nnao wa control
kitaa kinaaminia mi kiboko ya  mabishoo
Ninja, ringa mbele ya dada zako uone unavyochekwa ujinga
sina sifa ya kuringa, nimepinda
sema kwa kusaka dough,
nta'hustle mwanzo mwisho mpaka mnipe ukomandoo
Mi ni solja sina moyo wa kungoja
Namshukuru muumba
kila nnapo pita nasifika nakubalika sifuasi kusadikika najua binadamu sijakamilika
niliowakosea mnisamehe, na dua njema mniombee
sitoacha kuwakilisha lile chama la wavuja jasho
ambacho
Ninacho sina, sina nnacho, nnacho sina, sina nnacho
nnachokiwaza kichwani mwangu
sipendi kumueleza kila mtu matatizo yangu


Nimekasirka!
Nataka niwape flow, na niwapake chalk
wakilisha watu wa ghetto na wasaka dough
nataka niwape flow, mpaka mwisho yoh
now ma baby kwenye floor C'mon let's go
Nataka wenye chuki zao waende likizo
wakilisha TZ chama la bongo
wakilisha yoh, sababisha yoh
vagamisa mpaka mwisho wa maisha yoh


emergency lyrics by yung d,tiffa,Godzilla,staminah and Godzilla

if you want some more
you ready?
cause i need some dough
tiffa, lets get 'em

[Tiffa]
natakataka nitoke safi, chini kiatu flat
suruali ya black, na vest ya pink
nipulizie marashi, nionekane msafi
Nikitoka kwa street, we unakula bati
we uonekane unavutia, naonekana mrembo
basi niwe mzuri wa tabia, ili niepuke skendo
sio kila mtu namchukia, najua kila jambo
ndio vile star nishakuwa, adabu mweke kando
when it comes in the money, i have to overstand
nigga street ina'burn, hatuambii malani
im a hawker, i represent black
this is what i do, now i do mmenipa. ah?
you just go usione soo, you have a lot at shallow
mi rev up mi but do it do it but sing
mi nashika nakamata, everyday kuiponda ukikata
its okay, tiffa!

[G'Zilla]
skiza punchlines cheki swagga cheki flow
piga emergency call if you want some more
mi nafanya hivi cause i need some dough
niko peace na kila mtu sina ugomvi baby mo
gusa hii number alafu uone
iwe jioni au early in the morning
its just its just ish, its just emergency
its just..

[Y'D]
mziki naufanya bila stick za home
we mbwiga unantishia kivipi, im grown
man im strong ila naheshima machizi
mi ni yung ila im after dough, ni lazima ni mbizi
yeah im busy, but i need a girlfriend now
sio fika, eti fulani akuite boyfriend now
huh huh, wanasema mi sio conscious kwao
hawajajua nnachofanya, mi ndo favorite wao
cause nakaza huku naanza safari ya mziki huu
afu na ladha waliyoanza huku nawapitia kwa juu
he usiogope mi ni mdogo tu
ila nang'akta kama mamba aliyekamata kangaroo
na bomboclat in my head, mi i smoke music
let me smoke it all day and do this beat
mi ni gongo we ni soft drink
tiffa staminah snap tell what you think man!

[G'Zilla]
skiza punchlines cheki swagga cheki flow
piga emergency call if you want some more
mi nafanya hivi cause i need some dough
niko peace na kila mtu sina ugomvi baby mo
gusa hii number alafu uone
iwe jioni au early in the morning
its just its just ish, its just emergency
its just..

[Staminah]
nayachezea haya maneno, utadhani mdomo una pad
nna utajiri wa misemo, hadi ubongo unahitaji guard
wanakipa promo kizuri, huku bora wanakiweka kando
sawa, nna demu mzuri, aliyepata bahasha asiyeenda jando, staminah
biashara sanda, emcee kaa bila promo
hii ndio sauti ya parapanda, mzinzi sikia upate somo
naumulika mwanga, unapontishia kufifia
hizi tenzi nnavyozipanga, mpaka heshima inaniamkia
usimdanganye muongo, ukadhani umeficha ukweli
rhymes zangu pepa za congo, teacher wa kibongo utafeli
siendeshwi na blunt, japo moshi wake nnaujua
punch zingelipiwa VAT, TRA wangenisumbua
ma'hitter wanataka upako, wakidhani mungu ni mzungu
mi ndio baunsa wa ma'rapper, nailinda ikulu na rungu
nguvu za uongo wa video, zinawapoteza vijana
usijiite jembe huku kimeo, wakati pabichi unakwama, haha!

[G'Zilla]
skiza punchlines cheki swagga cheki flow
piga emergency call if you want some more
mi nafanya hivi cause i need some dough
niko peace na kila mtu sina ugomvi baby mo
gusa hii number alafu uone
iwe jioni au early in the morning
its just its just ish, its just emergency
its just...

[Country Boy]
i heard them niggas, stuck already but i really dont care
hadi mwendo wanabadili kisa track ipo on air
game lipo kama msimu we unakuja unapotea
nipo chimbo najipanga magumashi yanaendelea
mi ni mtu che for real, F'Baby where you at?
game right, i make money broke niggas get back
im a talk, niko mbele nyie nigga in the stuck
im the sign of the game, hell yeah thats a fact hey
wana'hate wanataka kuni take care
wanadiriki kuniwekea beef kisa kugombania crown
mtoto wa kiume, tai ikichanika mi ntakuvalisha gown,
wanatamani mimi nife but the kid is still around nigga
im coming up and you better get ready
mi nina imani za kirasta japo sina hata dreads niggas
im coming up and you better get ready
mi nina imani za kirasta japo sina hata dreads ah

[G'Zilla]
skiza punchlines cheki swagga cheki flow
piga emergency call if you want some more
mi nafanya hivi cause i need some dough
niko peace na kila mtu sina ugomvi baby mo
gusa hii number alafu uone
iwe jioni au early in the morning
its just its just ish, its just emergency
its just..


skiza punchlines cheki swagga cheki flow
....if you want some more
....cause i need some dough
....sina ugomvi baby mo
....ubongo uone
...in the morning

its just emergency...haha


binti kiziwi lyrics by Z anto

mhhhhhhh!
ohhhhh!
lalalalalah!
kwakweli nilikuwa napenda sana, mechi za nje za ujana
aliyekuwa mke wangu, analia aaaah
kwakweli nilikuwa napenda sana vibinti
nakuwahonga mpaka magari
waliyekuwa watoto wangu, wanateseka na njaa
mitungi ni kila saa, nyumbani sina time ya kukaa
marafiki nami, night club na mimi ohhh

sasa nimebaki lonely, track redioni hazichezwi
yaani pesa hakuna, marafiki hakuna
hata baby hunitaki tena
sasa nimebaki lonely, track redioni hazichezwi
yaani pesa hakuna, marafiki hakuna
hata baby hunitaki tena

nakupenda, nakupenda sana baby
nakuihitaji mama mama, njoo kisiwa cha malavidavi
nilikutenda, nisamehe ma baby
nakuihitaji mama mama, njoo kisiwa cha malavidavi

Silewi tena niskize ma ah, kwani najua pombe ndo chanzo ah
kilichofanya nikutende, dharau kibao ndani ya nyumba hakuna raha
na kwangu ulikuwa dhaifu niskize ma, kwani najua kweli ulinipenda ah
watoto wangu nliwatenga nisamehe mpenzi, we unasema..
sitaki rudia tena, najuta kwa yote nliyofanya
nisamehe na goti napiga, nalia aaaah

sasa nimebaki lonely, track redioni hazichezwi
yaani pesa hakuna, marafiki hakuna
hata baby hunitaki tena
sasa nimebaki lonely, track redioni hazichezwi
yaani pesa hakuna, marafiki hakuna
hata baby hunitaki tena

nakupenda, nakupenda sana baby
nakuihitaji mama mama, njoo kisiwa cha malavidavi
nilikutenda, nisamehe ma baby
nakuihitaji mama mama, njoo kisiwa cha malavidavi

uje kwenye kisiwa cha malavidavi
uje tupeane mapenzi
usisahau na wanangu..
sahau yaliyopita.... na tugange yajayo

huyo sio demu by Abdu Kiba

Kwanza ukimtazama, anaenda na mambo uliyoyaskia
Moja mzuri sana, na pili yeye anavutia
Kiumbo, yeye anavutia, kisura inshallah mola kamjalia
ana mwendo wa kimiss, mi napenda anavyotembea
hata kama wakimdiss mimi bado namfukuzia
Daily, kazi yenu nyinyi kumpakazia
Daily, sijui lini nyinyi mtampotezea
Daily, kazi yenu nyinyi kumpakazia
Daily, sijui lini nyinyi mtampotezea


Kakudanganya wa oysterbay wakati anakaa manzese
Halafu we mwenyewe una furaha
Usimwamini, kumpa moyo ye... usije kulia
Usimwamini, kumpa moyo we... utaja niambia

yuko juu kwa njia za panya, ni mengi aliyoyafanya oh we angalia
yuko juu kwa njia za panya, ni mengi aliyoyafanya aii we angalia
ye ni bingwa wa viduku, kwenye vikodoro aisee... hana maana huyu demu
ye ni bingwa wa viduku, kwenye vikodoro aisee... hana maana huyu demu

Huyoo, nasema huyo so demu
Huyoo, nasema huyo so demu
Huyoo, nasema huyo so demu
Huyoo, nasema huyo so demu
aaaaa, nasema huyo so demu
mhhhh, nasema huyo so demu
aaaaa, nasema huyo so demu
uuuuh, nasema huyo so demu

I know, siwezi laumu moyo kumpenda yule
alisema mtoto mdogo na bado ye yuko shule
jamani mi, nampendampenda yeye
jamani mi, namtakataka yeye
jamani mi, nampendampenda yeye
jamani mi, namtakataka yeye

ingawa walisema, bingwa wa viduku
nawengine wakanena, bingwa wa vikodoro
ingawa walisema, bingwa wa viduku
nawengine wakanena, bingwa wa vikodoro


Si lengo langu kukupiku Noo, nasema kweli huyu demu soo
Ujipe moyo, utakoshwa roho yule so demu wa kusizi nae mahome noo
nakupenda sana mchizi wangu ndo maana nakuambiaaa
usije iona hii dunia ni chungu, moyoni utaumia
nakupenda sana mchizi wangu ndo maana nakuambiaaa
usije iona hii dunia ni chungu, moyoni utaumia

Huyoo, nasema huyo so demu
Huyoo, nasema huyo so demu
Huyoo, nasema huyo so demu
Huyoo, nasema huyo so demu
aaaaa, nasema huyo so demu
mhhhh, nasema huyo so demu
aaaaa, nasema huyo so demu
uuuuh, nasema huyo so demu

Huyo huyoo, oooohhhh eeeeiiieeee
Huyo huyoo

Huyo so demu, mi mwenyewe namjua
hajui kukataa wanasema kaumia
hana mapenzi ya kweli anachojali ye shillingi
Kudadadeki mapenzi hayashughuliki
kama kweli unampenda we mpende tu maradufu
ila huku kitaa wanamgonga hata kwa buku
huyo sio demu (huyo huyo), demu wa kitaaa
huyo sio demu (huyo huyo), demu wa masela

aaaaa, nasema huyo so demu
mhhhh, nasema huyo so demu
aaaaa, nasema huyo so demu
uuuuh, nasema huyo so demu

(huyo huyo) [Tafuta mwingine, ila kama unampenda komaaa nae,
ila kubembeleza sio kukuambia ku give up, so tell em bro
Love is a beautiful thing, but sometimes love is crazy man.... haha!]

tamaa mbaya lyrics by 20%


sifa ya moyo tamaa, Moyo sifa yake kutamani
Tamaa ya moyo, Inaweza kukuweka matatani
Unatamani kuzaa, wakati bado upo shuleni
tumia akili kukataza, kabla hujawa matatizoni
ile ndoto ya kitandani, achana nayo!
kama unahisi labda, haiwezekani kuendana nayo!
unaweza kuota umejenga angani, angani
kuiihifadhi ndoto ya shida gani, wewe!

tuliza moyo wako
kubali mapungufu yako
rahisisha mahitaji yako
ongeza kipato chako
Chunga, tamaa mbaya
Chunga, tamaa mbaya
Chunga, tamaa mbaya
Chunga, tamaa mbaya x 2

sifa ya macho kuona, yaani kutazama kinachoonekana
ila sio kila unachokiona ukazana kupata inawezekana
nyumbani kuna msichana, njiani utaona wengi wasichana
bora kuishia kutazama, kuliko kujifanya unaweza sana
siri ya maisha yako ipo kwa muumba, muumba
alisema mbuzi ni mbuzi hawezi kuwa simba, kuwa simba!
hawezi kuongea eti anafosi kuimba,
bora kutulia ama kupiga marimba utasikika pia

tuliza moyo wako
kubali mapungufu yako
rahisisha mahitaji yako
ongeza kipato chako
Chunga, tamaa mbaya
Chunga, tamaa mbaya
Chunga, tamaa mbaya
Chunga, tamaa mbaya x 2

mwanzo wa safari nakufuata kijana, nakuja na swali nipe jibu la maana
dunia bila wizi hivi itawezekana, kama haiwezekani siku tukishaonana..
wanipige kabali ki simu changu cha Mchina
vijana wote nitawaona hamna maana, sana
tunarudishana nyuma mambo ya kuibiana
Mwenzenu naona noma polisi kupelekana, yeah

tuliza moyo wako
(eeh, tuliza moyo tuliza moyo mzee)
kubali mapungufu yako (eh kubali kuwa vitu fulani, huna!)
rahisisha mahitaji yako (eh sio lazima uwe na vikubwa!)
ongeza kipato chako (eh ongeza kipato utapata unachotaka)
Chunga, tamaa mbaya (tamaa mbaya!)
Chunga, tamaa mbaya
Chunga, tamaa mbaya
Chunga, tamaa mbaya
tuliza moyo wako (tulizaaaa, tulizaaaa!)
kubali mapungufu yako (kubali kubali)

ningekusamehe lyrics by 20%


uliponitosa mie, nilibembeleza ukataa tena..
sikuwa na kosa mie, mie nahisi sina chapaa
sasa sijapata, hata kama nikipata
nitazidi kutafuta, naomba ondoka
mwenye mapenzi ya kweli, asije akakuta

ningekusamehe ila, ila wewe huna ila
ningekuwa na we, ila, ila unapenda sana hela
eeh

nani? alotaka kunitoa roho, penzi likafika mwisho
mimi, ya kale achana nayo, niko chini ya miguu yako
kwani nani? alotaka kunitoa roho, penzi likafika mwisho
mimi, ya kale achana nayo, niko chini ya miguu yako

mmh
mhhh

basi sikia mpenzi, mbona wanipa kazi
bila wewe siwezi, nitajawa na simanzi
mwenyewe wajua, jinsi gani nimekufia
basi nakuimbia, usiweze kunikimbia
unajua sina ujanja wa kuachana nawe
kuniacha njia panda, nitapata kiwewe
huyo mtimue, mi unirudie eh
usiniache nilie, wewe ni wangu mie
mhhh, eeeh

ningekusamehe ila tayari mi nishampata mwingine
ulitaka uniuwe nitaichwa chizi mi nikikupa nafasi nyingine

nani? alotaka kunitoa roho, penzi likafika mwisho
mimi, ya kale achana nayo, niko chini ya miguu yako
kwani nani? alotaka kunitoa roho, penzi likafika mwisho
mimi, ya kale achana nayo, niko chini ya miguu yako

ni machungu kiasi gani, uliponiacha gizani mi
ulitaka nifanye nini, kama si kusaka kampani
nilidata, nikasaka, na hatimaye nikapata
nashangaa, wanifuata, eti tusahau yalopita

ningekusamehe ila ila, ila sio kimapenzi
ningekuwa na wewe ila ila ila nimeshapata mupenzi

sina habari, sitaki kuwa nawe tena
huna nafasi ndo hivyo nishakutema
nakupa fact unielewe kiundani
sina mapenzi kwako yalikuwepo tu zamani
nenda tu uniache wala usijali
nimempata mwingine ananipa mapenzi ya kweli
ulivyonitenda mi nasema iliniuma
we nenda tu mi sikutaki tena
sina habari mami sikuhitaji tena
mtoto mzuri nipo naye mwenye heshima
na shida zote atavumilia na
atanipa mapenzi ndivyo alivyoniambia
andika story ya kwamba ulikuwa nami
andika story ya kwamba ulikuwa nami
kifo cha panzi ni furaha kwa kunguru
sikutaki tena mami we niache huru

nani? alotaka kunitoa roho, penzi likafika mwisho
kwani nani? alotaka kunitoa roho, penzi likafika mwisho


nivute kwako lyrics by dayna ft barnaba

Nivute kwako Niwe wako mileleNivute kwako, nivute baby
Nivute kwako ,Niwe wako milele
Nivute kwako, nivute
najua unanipenda nami nakupenda wewe
Najua nakupenda ila nakungoja uanze wewe
Moyo wangu, wakupenda wewe pekee
Nivute kwako, Nitoe huu upweke
akili yangu, yakuwaza wewe pekee
Nivute kwako, Nitoe huu upweke
endapo utasema hutokaliwa [wewe!]
endapo utasema hutofikiriwa
endapo utasema utakubaliwa
utakubaliwa baby!
Nivute kwako, Niwe wako milele
Nivute kwako, nivute baby
Nivute kwako ,Niwe wako milele
Nivute kwako, nivute
Kama kukuvuta ntakuvuta, ila upendo wangu kwako usijeshuka
ziko shida nyingi na mabalaa, vumilia hata tukishinda njaa
mola hugawa ridhiki kwa mafungu, subiri zamu yetu atafika kwetu
Uh ziko shida usijali, usijali usijali
mi ni wako tayari, tayari tayari
ziko shida usijali, usijali usijali
mi ni wako tayari, tayari tayari
uhh baby
Nivute kwako, Niwe wako milele
Nivute kwako, nivute baby
Nivute kwako ,Niwe wako milele
Nivute kwako, nivute
kapanga yeye!
mimi kuwa nawe!
uwoga utowe!
ungechelewa ningesema mwenyewe!
Nivute kwako, Niwe wako milele
Nivute kwako, nivute baby
Nivute kwako ,Niwe wako milele
Nivute kwako, nivute