KIPIMO CHA PENZI by AZMA FEAT KITA.


SONG: KIPIMO CHA PENZI
ARTIST:AZMA FEAT KITA
PRODUDUCED BY: MUJWAHUKI
STUDIO: M LAB
LABEL:CHOFACO/TAMADUNI

INTRO
ah ah ah aha ha ah EI ZED EM EI(AZMA) ah ah aha yo yo


VERSE I (AZMA)
Kila men anakuaproach, anataka mikasi,hujui cha kufanya,
Bora umurike kaa unatochi, ujue kipimo ni hasi ,au kipimo ni chanya,
Kama kipimo ni sex,mbona mmefanya wee, na bado mchizi akakuacha,
Kama dereva wa teksi,mbona umesanya wee, waka peez wakakuacha.
Kama love ni glass,basi tugonge chears,
Kama love ni class,basi tufute tears,
Ulishawahi kuwa na mpenzi,akakuacha solemba,
Akakugeuza kama mshenzi,ukavikwa kiremba,
Ukajuiuliza whats wrong, au sijui kupenda?
Unapaswa kuwa strong,japo walishakutenda,
Hakuna love chini ya jua,usiingie kichwa kichwa,
Ni bora leo uka jua,usiishie fichwa fichwa.
Mapenzi yamegeuka fimbo,wengi hatujui kutenda,
Uongofu umegeuka wimbo,wengi hatujui kupenda,
Anayekupenda kisa mwanya,uking’oa itakuwaje?
Anayekupenda unavyofanya ukimuoa itakuwaje?.
yeh u better think twice ah ha ha MUJWAHUKI.


CHORUS (KITA)
Tell me,(tell me) kipi kipimo cha penzi,i wanna know just tell me.(tell me)
kipi kipimo cha penzi, mi nijue
Tell me,(tell me) kipi kipimo cha penzi,i wanna know just tell me.(tell me)
kipi kipimo cha penzi, mi nijue

VERSE II AZMA
Je kipimo ni mita,au ni sentimita?
Je kipimo ni lita,au ni senti lita?
Aliyekupenda kwenye shida,itakuwaje kwenye rahaa?
Pasipo love ni kawaida,kuna kuachwa kwa mataa,
Walioana mchana,usiku wakatengana,
Walipendana kwa sana,hawakuweza kulindana,
Kama kipimo ni imani,wengi walishaaminiana na mwisho wakafumaniana,
Kama kipimo ni amani,wengi walisha ridhiana na mwisho wakatalikiana.
mpenzi anapozembea, ndio mwingine anapokata hamu,
Aanapenda unavyotembea, au anapenda unavyotabasamu,
Mnagombana kisa shory,anayemegwa kila dakika,
Mapenzi yamegeuka story,na hadithi za kusadikika,
Mliokutana kwenye baa,mnaoana kwenye gesti,
Mnainuka na kukaa,mlioshindwa kwenye testi,
Aliyeachana na mkewe,amemuoa house girl,
Usiombe ukawa ni wewe,unayegeuzwa tom and jelly,
Anayekupenda unamkataa, we unapenda kwingine,
Unayemuwaza kila saa, ye anamuwaza mwingine.

CHORUS (KITA)
Tell me,(tell me) kipi kipimo cha penzi,i wanna know just tell me.(tell me)
kipi kipimo cha penzi, mi nijue
Tell me,(tell me) kipi kipimo cha penzi,i wanna know just tell me.(tell me)
kipi kipimo cha penzi, mi nijue

VERSE III (AZMA)
Wanakupenda kisura,ama kisa mavazi,
Mapenzi sio chakula,usifiche maradhi,
Mwanzo washakutapeli,ukabaki umesizi,
Wanakupenda kiukweli,hiyo bado ndio quiz,
Inakuwaje kama una mpenzi,mmeshamaliza sex,anataka umlipe,
Utajuaje kama kuna penzi,huduma imegeuka tex,upande na ulipe,
Kama kipimo ni mtoto,mbona umeshazalishwa na jamaa akasepa?
Kujua kipimo ni ndoto,uongo umeshahalalishwa wanakomaa na paper. love in epa, they love ur paper,
utapay price ukidata na foreign love,think twice before hujafall in love
kama kipimo ni tabia,mbona binti malkia,kaolewa n a muuza gongo?
Waliokutana kwenye bia,leo washanitamkia,penzi lao sio la uongo.
Kuna ulimbo,kwani urembo,umegeuzwa biashara,
Kutoka chimbo,we ni gembo,unanasa kwa ishala,
Wangapi ushawadanganya,eti usiku haujalala?
Wangapi ushawachanganya,haya mapenzi ni jalala?

CHORUS (KITA)
Tell me,(tell me) kipi kipimo cha penzi,i wanna know just tell me.(tell me)
kipi kipimo cha penzi, mi nijue
Tell me,(tell me) kipi kipimo cha penzi,i wanna know just tell me.(tell me)
kipi kipimo cha penzi, mi nijue

LINK YA WIMBO:
http://hu.lk/do80aj6hux34 kinaitwa :KIPIMO CHA PENZI, AZMA FEAT KITA.

maneno maneno by Ben Pol

kila siku n'napoamka, ninapoianza siku mpya
namshukuru Mola kwa kunilinda, nafasi nyingine nikapewa
labda nikijutuma na mi, iko siku wataniletea
nami niwe na vyangu, niepuke ya walimwengu

kukicha ni maneno maneno, wenzangu humuishi kusema
nami sijali yenu maneno, mwanadamu amezaliwa anasema
kukicha ni maneno maneno, wenzangu humuishi kusema
nami sijali yenu maneno, mwanadamu amezaliwa anasema
eh eh oh

kukosa kitu leo sio tatizo, nikitafuta nitapata kesho
na mimi mommy ataniletea, pamoja na magumu ninayopitia
kukosa kitu kwangu sio tatizo, nikitafuta nitapata kesho
na mimi mommy ataniletea, pamoja na magumu ninayopitia

hey
hawajui kuhisi kwao upendo, amani na furaha siku zote
maisha yetu ni uadui tu, hawajui dunia tunaipita tu
na kwenye maisha kuna kuanguka, ila mi sitachoka nitainuka
mpaka siku itakapofika, ndoto zangu zote kukamilika
na kwenye maisha kuna kuanguka, ila mi sitachoka nitainuka
mpaka siku itakapofika, ndoto zangu zote kukamilika

mhh

kukicha ni maneno maneno, wenzangu humuishi kusema
nami sijali yenu maneno, mwanadamu amezaliwa anasema
kukicha ni maneno maneno, wenzangu humuishi kusema
nami sijali yenu maneno, mwanadamu amezaliwa anasema
hey hey oh

kukosa kitu leo sio tatizo, nikitafuta nitapata kesho
na mimi mommy ataniletea, pamoja na magumu ninayapitia
kukosa kitu kwangu sio tatizo, nikitafuta nitapata kesho
na mimi mommy ataniletea, pamoja na magumu ninayapitia

kukosa kitu leo sio tatizo, nikitafuta nitapata kesho

na mimi mommy ataniletea, pamoja na magumu ninayapitia
kukosa kitu kwangu sio tatizo, nikitafuta nitapata kesho
na mimi mommy ataniletea, pamoja na magumu ninayapitia

kukosa kitu leo sio tatizo, nikitafuta nitapata kesho

na mimi mommy ataniletea, pamoja na magumu ninayapitia
kukosa kitu kwangu sio tatizo, nikitafuta nitapata kesho
na naamini mola ataniletea, pamoja na magumu ninayapitia

mbulula by Juru

(chorus)
Mbululu mbululu mbulula
eti sharobaro men kumbe mbulula*2
Mbululu mbululu mbulula*2
eyo nichek facebook kumbe mbulula
eyo nichek bbm kumbe mbulula

(verse1)
Acheki mwendo  wake jinsi anavyotembea
suruali kaishusha utadhani kajinyea
yupo busy mitihani imekaribia
kumbe shule hajaenda hata chekechea
kila siku kitaa na macd
wakati hawezi kuwasha hata tv
ooh sharobaro men kumbe ni mbulula
story zake pizza na hajawai hata kula
shot modo chini viatu  vya china
chek bbm sasa muulze jina
mbaruku bakari rashid mbembe
facebook kaandika jmbembe
vatu vatu kumbe hajui hata kusoma
kuandika jina lake tu ni nouma
msemeshe chacha mwenyewe utakoma
harifu ni gani ''ooh mama''
mbona huonekani  ''nilikuwa kwa Obama''
ebu toka hapa acha kuzingua
 kwanza pita zako ucnbanie pua
we mbulula genge tunakujua
tumecheza wote utoto mpaka umekuwa
''kwani we hujui'' kwan we hujajua
aaah ''eti unanichafua'' men mbulula

(chorus)
Mbululu mbululu mbulula *2
eti sharobaro men kumbe mbulula*2
Mbululu mbululu mbulula*2
eyo nchek facebook kumbe mbulula
eyo nchek bbm kumbe mbulula

(verse2)
toka a city city mpaka dar city city
moko moko mgongon twende m city city
mbele ya macho katoto kakatokea
kanaitwa recho halafu kamejitupia
kama unavyojua zombi aishiwi damu
nkamkonyesha yeye akatabasamu
kabla ya salamu eti unanfahamu
me ndo mamu nchek kwenye bbm  
oky nkampa iphone aandke namba
mara mkononi anatoka jasho jembamba
kumbe ni mbulula haijui iphone
ey boy sorry kwani hii nini
oky very good we ni mbulula
nmekusoma toka a ct ct mpaka dar city city
moko moko mgongon mpaka m city city

(chorus)

Mbululu mbululu mbulula *2
eti sharobaro men kumbe mbulula*2
Mbululu mbululu mbulula*2
eyo nchek facebook kumbe mbulula
eyo nchek bbm kumbe mbulula

Aifola by Linex

Wanteyi inkumbu 
wanteye amalila
Wanteyi inkumbu 
wanteye amalila 
Yeah yeah yeah yeah

Ni kama niliruka majivu na kukanyaga moto

Matusi na kunifedhehesha ikawa malipo ya pendo langu kwako
Mbele za watu nikapiga goti nikaweka pete ya uchumba kwenye kidole chako
Kumbe ulikua chupa ukang'aa
kwenye jua kali
Nikadhani almasi nikakupenda kwa kasi

Baby i don't wanna waste my time
Change how you feel
If you don't want me some will
 
katajilanyinya katajilanyinya
Uwansize nkakazebha muchali 
katagira nyina katagira nyina

Aifola aifola

Kumbe hata jina lake nilidanganywa
Nikajiona me ndio ninapendwa na siwezi achwa
Mwanamke mjinga ataivunja ndoa yake kwa mikono yake ye mwenyewe ye mwenyewe
Mwanaume mjinga ataivunja ndoa yake kwa mikono yake ye mwenyewe ye mwenyewe

Kwa kuziamini hisia zangu
Nikakukabidhi moyo wangu aifola
Kwa kudhania siku moja me nawe tutafunga ndoa aifola
Nitakutafuta hili nilipe japo theluthi ya wema wako
Jicho lako la wema
Kwangu limekuwa pending
Moyoni mwangu
Siwezi kukuvua wema na kukulipa mabaya kwa kosa moja
Siwezi kukuvua wema na kukulipa mabaya kwa kosa moja
Yale maumivu uliyonipa
Nimeshayasahau

Kumbe hata jina lake nilidanganywa
Nikajiona me ndio ninapendwa na siwezi achwa
Mwanamke mjinga ataivunja ndoa yake kwa mikono yake ye mwenyewe ye mwenyewe
Mwanaume mjinga ataivunja ndoa yake kwa mikono yake yeye mwenyewe ye mwenyewe

Baby i don't wanna waste my time
Change how you feel
If you don't want me some will

Sunday mjela na fundi samwenga

Sauti za Africa
The VOA