shut up by Jos Mtambo ft Pipi

song:shut up
artist:Jos Mtambo ft Pipi
producer: j ryder

tongwe records
yo wakigambo
big Jos
yo ola nose d ommy
listen to me shut up

(Verse1)
Kaa kushoto tuliza ubongo nakuja kwako
Hii ngoma ni wazo kutoka kwa mpenzi wako
Ameshaniambia zote siri zako
Mapenzi ushamba men naunoko wako
Kupenda hujui nguo ya ndani haufui
Hupendi na pesa nikabaki hoi
Unakula kula kila sekunde utadhani kuku
una bamba men ndio maana jana akawa kwangu
Nasema unajifanya daktari
Kumbe fix ulikua hufiki hata darasani
Ushatoa mimba ya mshkaji wako
Gesti ya mtaani kwako
Ndipo unapokuwepo

(Chorus)
(Jos Mtambo)
Haufai aaha wa kichina aah
Sikia ngoma ukate roho shut up
(Pipi & Jos Mtambo)
Amesema hata ukipiga simu mara mia yeye wala hatapokea
Hata kuwa buzi haufai tena
Ma men shut up pendindila
Haufai aah wa kichina aah
Sikia ngoma ukate roho shut up
Na ule mkwanja wako mbuzi bado aujaisha tunatumia
Hata kuwa buzi haufai tena
Ma men shut up pendindila

(Verse2)
Ameshaniambia you don't know to make love
Una mparamia kama sio kuwa unamkera
Tena kwanza unaclear jasho
Mjomba tuliza hesabu cut ray
Unaogopa kupiga mbizi baharini unaona kinyaa
Unaogopa kizaa zaa
Utakoma alikupa nani ukacheka akanipa mimi
Usimwite honey hataki anataka nimwite mimi
Unamtekenya hili acheke sa ndio nini
Mara unatembea kijoti men that nt funny
She call me papa
I know you know me men you need a teacher come and see me
Demu anataka mambo na mzee umezidi urembo
hataki tena bata na pozi unamtia shombo
yo wakigambo
big Jos
yo ola nose d ommy
listen to me shut up

(Chorus)
(Jos Mtambo)
Haufai aaha wa kichina aah
Sikia ngoma ukate roho shut up
(Pipi & Jos Mtambo)
Amesema hata ukipiga simu mara mia yeye wala hatapokea
Hata kuwa buzi haufai tena
Ma men shut up pendindila
Haufai aah wa kichina aah
Sikia ngoma ukate roho shut up
Na ule mkwanja wako mbuzi bado aujaisha tunatumia
Hata kuwa buzi haufai tena
Ma men shut up pendindila

(Verse3)
Uongo wako wa kitoto eti unamuona kwenye glass
Ana mashaka hata ndani ya boksi men that fake
Eti ooh una haraka kichizi bureau change
Una noti ya dola elfu tano unaenda kuchange
Alishastuka sema pasua ye sio fala no aliogopa kukuumbua
Fake we ni toy wala aenjoy
Bora mwache asepe angezaa mdoli
Unaita bongo New york na wewe mnyamwezi
Please unaboronga men na swaga huwezi
Uwa huna ..okey alisema nisiseme
Wengine anawaita baby wengine mylove
Kibao dear we nani shut up
Mkwanja ndio unafanya dar kuwa busy city
Na uongo ndio unafanya dar kuwa dar

(Chorus)
(Jos Mtambo)
Haufai aaha wa kichina aah
Sikia ngoma ukate roho shut up
(Pipi & Jos Mtambo)
Amesema hata ukipiga simu mara mia yeye wala hatapokea
Hata kuwa buzi haufai tena
Ma men shut up pendindila
Haufai aah wa kichina aah
Sikia ngoma ukate roho shut up
Na ule mkwanja wako mbuzi bado aujaisha tunatumia
Hata kuwa buzi haufai tena
Ma men shut up pendindila

tongwe records baby
.............................

funga domo lako by Dully Sykes

(Verse1)
Mwanzo wa ubaya mwishoni aibu
We si ndio ulimuita malaya iweje leo unamuona zabibu
Si ulisema mbaya Mbona unaleta tabu
Unachonga domokaya bila sababu
Blah Blah blah
Pacpo kisa matusi kashfa na visa
Kutwa uishi kumtisha
Niachie wangu wa maisha
Blah blah blah
Pacpo kisa matusi kashfa na visa
Kutwa uishi kumtisha
Niachie wangu wa maisha

(Chorus)
Punguza visa blah blah blah
wakati umesha kwisha blah blah blah
Kwangu amekwisha fika blah blah blah
Hutaki tena funga domo lako
Punguza visa blah blah blah
wakati umesha kwisha blah blah blah
Kwangu amekwisha fika blah blah blah
Hutaki tena funga domo lako

(Verse2)
Jembe la kutupatupa linaumiza mikono
Wajipa kuchupa chupa na kutaka mapambano
Umelivamia fupa limekwisha kung'oa meno
Na kila gombania fupa blah blah blah
Blah Blah blah
Pacpo kisa matusi kashfa na visa
Kutwa uishi kumtisha
Niachie wangu wa maisha
Blah blah blah
Pacpo kisa matusi kashfa na visa
Kutwa uishi kumtisha
Niachie wangu wa maisha

(Chorus)
Punguza visa blah blah blah
wakati umesha kwisha blah blah blah
Kwangu amekwisha fika blah blah blah
Hutaki tena funga domo lako
Punguza visa blah blah blah
wakati umesha kwisha blah blah blah
Kwangu amekwisha fika blah blah blah
Hutaki tena funga domo lako

Punguza visa blah blah blah
wakati umekwisha isha blah blah blah
Kwangu amekwisha fika blah blah blah
Hutaki tena funga domo lako

Punguza visa blah blah blah
wakati umekwisha isha blah blah blah
Kwangu amekwisha fika blah blah blah
Hutaki tena funga domo lako
.....Till fade

blah blah by Jaffarai ft Ngwair


(verse1)
Mara ooh nimekaa sana ulaya
Mara ooh naongea na Jakaya
Mara ooh eti me ni mbaya
Kumbe blah blah nyingi
kumbe blah blah nyingi
mara ooh ex wangu jaklin wolper
mtoto linah nataka kumvutia opa
(na bado unaniomba lift time ya kuondoka)
Kumbe blah blah nyingi
kumbe blah blah nyingi
mara ooh eti me msanii mkali
unajisifu ngoma nzima unajipigia mistari
na wakati huna heat ebu kwanza tafakari
izo blah blah nyingi
acha blah blah nyingi
unajifanya kila mtu unamjua
wakati mtaani kwako mjumbe hajakutambua
unaforce umaarufu watu washaona unazingua
izo blah blah nyingi
acha blah blah nyingi

(chorus)
mara ooh nshatembea na Fulani na Fulani ananitaka
unaongea sana na hakuna anayekutaka
blah blah nyingi
blah blah nyingi
blah blah nyingi
mara ooh me na nyumba mbezi naagiza Mercedes benz
unaongea sana na huna kitu mfukoni
blah blah nyingi
blah blah nyingi
blah blah nyingi

(verse2)
blah blah nying hadi kwa madingi
usione mtu ana kitambi ukadhani ana shillingi
unaweza kupigwa sound nyingi ukaingizwa king
kama wanasiasa wa sasa na vyama vingi
kila sister du eti nasoma IFM
cha kushangaza mara do namuona kila sehemu
nmeshaclem hawa mademu sitaki wa name
sitaki wa game sitaki wa fame still the same
mtaalam nasoma game
wengi wanaact kama wanacash tele
mishe nyingi famba kumbe wengi wao machepele
fake swagger
fake bling
fake swing
pisha mbele
me na keep real kama sina naongeza misele
mara ooh eti me mnyamwezi
usilete ubitozi wakati mambo huyawezi
unashinda bar kutwa kujilipia bill huwezi

(chorus)
mara ooh nshatembea na Fulani na Fulani ananitaka
unaongea sana na hakuna anayekutaka
blah blah nyingi
blah blah nyingi
blah blah nyingi
mara ooh me na nyumba mbezi naagiza Mercedes benz
unaongea sana na huna kitu mfukoni
blah blah nyingi
blah blah nyingi
blah blah nyingi

jaffarai nikubali halafu we mjanja
mwisho wa siku unagongea buku ya ganja

sio mimi by Madee

Kololo kolo mawena na tip
Sheneida

(verse1)
Bana ndugu ebu leta tulivyo kabla mimi sijaondoka
Wanatuhadithia tatizo wakati si tushamoka
Weka bia tatu kwenye meza pale
Hiyo bili atalipa babu tale
We neema nenda ukalale
Si bado tupo mpaka mishale
Kila kitu barida
Unachotaka agiza
Chali muite Farida
Aje kabla sijamaliza
Bia nyingi nshakunywa nshalewa
Fala ukinisukuma ukinisachi mawe

(chorus)
Nani kamwaga pombe yangu
si mimi eeh (nauliza) si mimi eeh*4

(verse2)
nilitoka mara moja kwenda toi nkakuta vioja
kademu na kamen wanatumiaga choo kimoja
mnanipa wasiwasi bia yangu imebaki nusu glasi
mbona mnanigasigasi natumia hela si makaratasi
mbona unasumbuka sumbuka unaniangalia
kama hauna funguka funguka nitakulipia

acha zako za kibabe
bia zako za mazabe zabe
ukiondoka nauage wasije machizi wakukabe eeh

(chorus)
Nani kamwaga pombe yangu
si mimi eeh (nauliza) si mimi eeh*4

mi nina hasira we unacheeka
mi na hasira we unacheeka
mi nina hasira we unacheeka
mi na hasira we unacheeka
si tupo mpka mishale vituko mpaka mishale
si tupo mpaka mishale milupo chapa ikalale
si tupo mpka mishale vituko mpaka mishale
si tupo mpaka mishale milupo chapa ikalale

(chorus)
Nani kamwaga pombe yangu
si mimi eeh (nauliza) si mimi eeh*4
i go by the new name shaneida
sio mimi eeh…..till fade

my by Ally Nipishe

Pishe pishe pishe ally nipishe
Imam ze boy
Pishe pishe pishe ally nipishe
Pishe pishe pishe ally nipishe

(verse1)
Mawazo kina yametawala kichwa changu
Ila uwezo sina kulitazama jicho langu
Sina nukta mimi katika mapenzi yangu
Wala sina koma kula penzi langu
Najua kupenda me sijui kuumiza
Nishampenda hata kama ni bartender
Najua kupenda me sijui kuumiza
Nishampenda hata kama ni bartender
Jamani moyo moyo una macho nao
Jamani moyo umemuona yeye
Nasema moyo una macho nao
Jamani moyo Moyo wangu mimi

(chorus)
Japo kwenu mbali nitakuja siku moja
My usijali usichoke kuningoja
Japo kwenu mbali nitakuja siku moja
My usijali usichoke kuningoja
Na ninavyohisi tunda langu utalitunza
Wajua sababu niko mbali nakumisi
Na ninavyohisi tunda langu utalitunza
Wajua sababu mamama niko mbali nakumisi

(verse2)
Tatizo moyo
Umeniangukia mimi
Uko ulipo naomba my ujiamni
Natamani unipe mapenzi uko ulipo
Usijali niombee inshalah nitakuja
Natamani unipe mapenzi uko ulipo
Usijali niombee inshalah nitakuja
Kisa sina pesa
We ndio wangu wa haki
Ona naishi kwa kukesha na ndoto hazikati
Ona tunatoana roho kwa yalab mapenzi aliyoacha baba
Ona tunatoana roho kwa yalab mapenzi aliyoacha baba
Ally mimi ally mimi

(chorus)
Japo kwenu mbali nitakuja siku moja
My usijali usichoke kuningoja
Japo kwenu mbali nitakuja siku moja
My usijali usichoke kuningoja
Na ninavyohisi tunda langu utalitunza
Wajua sababu niko mbali nakumisi
Na ninavyohisi tunda langu utalitunza
Wajua sababu mamama niko mbali nakumisi

hello by Grace Matata

title:Hello
Artist:Grace Matata
producer:Duke

(Verse1)
Hello hello baby kila kitu ndivyo sivyo
Ila Nimekuja tu mi nilivyo
Itakuaje
I Was thinking maybe
Tukienda taratibu
Tutapata majibu
unaonaje
Maisha ni magumu tumekwama humu
Itakuaje itakuaje
Hawajali walimwengu wakali
Tupo mbali na nyumbani
Tukiwa wawili najua hatutafeli
Kaa nami imba nami

(Chorus)
Taratara tara tata tata imba nami
imba nami imba nami baby*4

(Verse2)
Yeah eeeeeh
Hello hello baby hofu mimi ninahisi
Kupendana sio rahisi
Itakuaje
I Was thinking maybe
kama tukiamua
pamoja
Tutakuwa
We can grow
Nje baridi nayo inazidi
Inazidi inazidi
Tukiwa wakweli tutafika mbali
Kaa nami
Imba nami

(Chorus)
Taratara tara tata tata imba nami
imba nami imba nami baby*4

imba nami imba nami imba nami baby*4

---------
thanks to Grace Matata

uswazi take away by Chege ft Malaika

title:Uswazi take away
artist: Chege ft Malaika
producer:Tuddy Thomas

Tuddy thomas
Tuddy thomas

Chegerap

Onanananana eeh*4

(Verse1:Chege)
Unaonekana mpole na kwenu umefunzwa
Kila siku nawaza uwe wangu wa kuniliwaza
Tukale kuku wa kupaka
baadae tukaluke majoka
Usiku tufurahie (furahie)
Mbona muda unaenda hutokei (you my baby girl)
Simu napiga haupokei (baby wapi ulipo)
Usipokuja utanikwaza
Bora ungesema
Kama hupendi uswazi tungeenda sinza take away

(Chorus:Malaika)
Tukutane uswazi take away
Where we do meet everyday*2

(Bridge:Malaika)
tukutane uswazi
Uswazi take away
we do meet everday
Tukutane uswazi
tukutane uswazi
We do me meet everyday

(Verse2:chege)
Mbona muda unaenda hutokei
Simu napiga haupokei
Siku moja moja mpenzi
Sio vbaya Kujichanganya uswahili
Mbona kama kawaida
Tuzunguke huku na kule
Uswazi mbona mwake
Kama nyama ni ile ile
Hakuna kinachochange inside
Si utakuja na linda lazima atapapenda
Tukutane mida ile ile tuliyokutana jana night

(Chorus:Malaika)
Tukutane uswazi take away
Where we do meet everyday*2

Mbona naona unazingua bdada unazingua
Mbona naona unazingua bishosti unazingua

Uswazi mbona fresh kila siku bata
Uswazi mbona ndio kwetu kila kitu unapata

(Chorus)
Tukutane uswazi take away
Where we do meet everyday*2

tukutane uswazi
Uswazi take away
we do meet everday
Tukutane uswazi
tukutane uswazi
We do me meet everyday

Everday everday everday
We do meet everyday me na we...till fade

always on time by Country boy ft T.I.D

song:always in time
artist>country boy ft T.I.D
producer:messen



(chorus:T.I.D)
Sipati shida na wewe
Naomba unielewe girl
Always on my mind time time
Sipati shida na wewe
Naomba unielewe girl
Always on my mind time time

(verse1:countryboy)
Sikupi sifa mwisho wa siku ujisifie
Unachonipa hakika umenifanya nikuimbie
Nakuita malaika acha shetani nmkimbie
Speed yako inaonyesha umeridhika kuwa na mie
Ni kweli umenikubali haraka sema unazuga
Uko fasta nikikuita unakuja nyuma ya muda
Hupendi mashuuda kuja kwa tukio
Huchoreki na wakuda ghetto unavyoingia mbio
Kama namba nakupa moja,
we ni zaidi ya mwamba,
ngoja nkuanikie story zikakauke juu ya kamba
eti wanakuita mshamba,awajui umenibamba
ulivosec sitoziba pua hata ukijamba
waza kwanza kabla ya maamuzi
Hushobokei mikwanja We sio mbwa augeuki kwa miluzi
Upo on time nikikutaka sina wenge
Una nipa nachotaka sasa kwann nisikupende

(chorus:T.I.D)
Sipati shida na wewe
Naomba unielewe girl
Always on my mind time time
Sipati shida na wewe
Naomba unielewe girl
Always on my mind time time

She got the vibe never seen before
Ananipa knock knock na washkaji
She got the vibe never seen before
Ananipa knock knock na washkaji
Na washkaji na washkaji yeah yeah country boy

(verse2:country boy)
Huna muda wakupoteza ya kesho unafanya leo
nikichoka ushaleta pweza sa kwanini nisikupe vyeo,
we ni mtu wa vitendo kipi nimekosa mumeo,
mkwepa skendo hupend kuharibu taifa la leo,
na unaupeo wa kuisi kama umeumbwa na machale,
upendo uzidi kisha tupige story za kale
nipe hisia za mapenz na mizuka ya kupale,
we ndo ndoto npe hisia za usingizi nkalale,
sifanyi mabaya naisu unaniona nilipo upo
ontime mbaya chunga usiwahi pka kifo,
acha nikupende meridhika kua na ww maa,
dunia adaa,walimemwengu darasa la mtaa,
sifany mabaya naisi unaniona nilipo,
upo on time mbaya chunga usiwahi paka
kifo,acha nkupende nimeridhika kua na ww mamaaa

(chorus:T.I.D)
Sipati shida na wewe
Naomba unielewe girl
Always on my mind time time
Sipati shida na wewe
Naomba unielewe girl
Always on my mind time time

brought by Country Boy

shabiki by Mansu li


what is it now
what is it now

Ubeti1:
Nilimuona shabiki tu ambaye ananikubali
na wala sikutaraji angeweza kufika mbali
mara miezi inapita tunajuana kiundani
Shabiki akawa rafiki anakuja mpaka nyumbani
Siri moyoni sielewi ana nia gani
mara akinikosa hewani kwake tafrani
kumbe shabiki alisha-fall in love
lakini ni too late men, oh my God
Anasema hawezi bila mimi
nilishamteka akili na hajui afanye nini
huku nae mamaa anahisi namzunguka
sio mimi wa zamani anadai na-change hulka
Shabiki gani anayepiga hata usiku
ukiuliza kwanini anasema i miss u
kwanini mamaa asipoteze amani
na huku anajua fika hili penzi limashakani

(kiitikio)
what is it now shabiki
you wanna be my baby
i dont real get what you want
what is it now shabiki
you wanna be my lady
i can never do that
what is it now shabiki
you wanna be my baby
i dont real get what you want
what is it now shabiki
you wanna be my lady
i can never do that

Ubeti2:
Anadai mara ya kwanza aliniona kwenye tv
kwenye video ya KINA KIREFU long T
kisha akaniona kwenye TUKO PAMOJA
na hapo ndipo akachoka kungoja
Siku ya siku ilikuwa kwenye show
akajikaza kisabuni pasina kuona soo
excuse me,inakuaje bro?
sio siri nimependa vile unavyo-flow
Nikasema asante kisha tukaachana
kumbe haikuwa mwisho baada ya kuagana
sijui ni wapi alipopata yangu namba
ndivyo hivyo akaanza kuniganda
Anataka tuchat saa zote
anasema ni mimi naemuondoa upweke
hata kama ninae anasema, i don't care
mazoea yana tabu na yeye alishanizoea

(kiitikio)
what is it now shabiki
you wanna be my baby
i dont real get what you want
what is it now shabiki
you wanna be my lady
i can never do that
what is it now shabiki
you wanna be my baby
i dont real get what you want
what is it now shabiki
you wanna be my lady
i can never do that

ubeti3:
You’re so cute
But I can’t be with you
sitaki kukuchezea halafu nikipe kitu
Maybe just a friendship kama kwako sio ishu
Please understand me I’ll never be with you
Sikujua ukweli unaosema ungezusha vita
Sms za matusi zikaanza miminika
Akunielewa alihisi tu naringa
Bora lawama acha anione mjinga
I keep gangster girl I keep it real
Am so sorry I can imagine how you feel
Vipi utajiskia nikiku nikakuacha
Am not a player am street hustler
Inataka moyo kuwa kioo cha jamii
Sometimes tunateleza sisi sio manabii
Hapa ndipo wengeni uzalendo unapowashinda
Na isiwe tabu basi wanafanya kibingwa

(kiitikio)
what is it now shabiki
you wanna be my baby
i dont real get what you want
what is it now shabiki
you wanna be my lady
i can never do that
what is it now shabiki
you wanna be my baby
i dont real get what you want
what is it now shabiki
you wanna be my lady
i can never do that

brought by Mansu li

Nigande by Doctor fazi ft Amychiba

 INTRO
(dr fazi)
G2G RECORDS Very new Very cool
Heeeeh x2
aaaaaaah x2 nikiwa nawe napata raha x 2

CHORUS
Kwenye shida na raha (kwenye shida na raha)
Nivumilie usiniache (usini/ usiniacheeee)
Nigaaande nikugande/nipende nikupende x2 Baby

Verse 1 (Dr Fazi)
Mambo vipi Super Baby? (poa) Niliondoka nimerudi,
kutimiza ahadi nilizokuahidi, hutajanidai daiiii
Penzi letu la ukweli wala si kifisadi,
safari ya mbali ili7bishwa nawewe, nihekima zako,
zilizonifanya niende niwewe ,
uliyebadili mwenendo wangu na tabia,
ile mizinga ya mara kwa mara ilinikosesha rahaaaa,
nilijituma saana kikazi ili nikupe pesa,
kwa hizo pesa ulivinunua hadi vyombo vya geto,
ulining'arisha na pamba mtaani nikapata ujiko,
kila mtu hilo ndio jiko (oaaaaaa)
kule hilo ndio jiko oaaaaaa
masela hilo ndio jiko oaaaaa
nyumbani hilo ndio jiko oaaaaaaaa x 2

Verse 2
(Amychiba)
Kwanini una nipenda hivi unapenda hivi Baby ??

 (Doctor Fazi)
Unanifurahiaaaaa (Hata bila cash cash)
Tulia na mimi Dear ( Tutaishi fresh fresh)
Posa ya kukuoaaa (Kwenu walipa yes yes)

Rap
Usimu ige huyu huyo yule, Usiwaiiige wale,
usiwaige wa wapenda Ankara papara ya Hera,
Tamaa ya hera huisha kwa hasara,
tulia namimi mama,
kwenye maisha ya juu na chini Mama x 2
ukamilifu hatuna wengi ungekuwepo ningehonga,
wivu ni kidonga hasa ukipeeenda,
udaku wa magazeti usifanye ukanitenga,
ukaniacha solemba, egamia kifuani
pangu nikupe furaha na nikufute machungu,
wewe ndio Mama wa wanangu
njoo tushee furaha na karaha,
njoo tugeuze shi shida kuwa raha,
uwe Baba niwe Mama Bibi niwe BABU ;
Kwa raha na tabu,

Bridge,
Nikiwa nawe napata rahaaa x 2

Yumba (yumba kibabe babe,
Yumba (Kibabe babe)
Tikisa mwili kizube zube
Tikisa Kizube Zube,
Kizube zubeeee

Chorus
Kwenye shida na raha (kwenye shida na raha)
Nivumilie usiniache (usini/ usiniacheeee)
Nigaaande nikugande/nipende nikupende x2 Baby

OUTRO
Inna di combination E Records, Kingson, na
Producer Ahaz, Doctor Fazi, Amychiba, G2G Records
Very new very cool noma noma

brought by Doctor fazi

promise by Shaa



Song:Promise
Vocals by:Shaa
Author:Barnaba
Producer:Maneck

(verse1)
Nimepewa moyo wa kupatana na wewe
Nimepewa huruma najikuta na share na wengi
Ulikosea nikakusamehe ukarudia vilevile
Oh oh oh Ukarudia vilevile
Ukanipa jina mama huruma
Baada ya kusonga mbele narudi nyuma

(chorus)
Naah wala sikushangai nimejifunza na we ndio mfano hai
Kilichoniumiza ni promise za uongo
Naah kumbe ulinilaghai na kunifanya niamini na kufurahi
Kumbe ni maneno tu
promise za uongo 

(verse2)
Kosa gani nililofanya mpaka ugomvi unalazimisha
Kila siku usiku na mchana uishi kusema
Nieleze unataka niweje niwe na kitu gani
Au nini kwako nifanye niwe na thamaniiiii uuuuh
Nieleze nini nifanye

(chorus)
Naah wala sikushangai nimejifunza na we ndio mfano hai
Kilichoniumiza ni promise za uongo
Naah kumbe ulinilaghai na kunifanya niamini na kufurahi
Kumbe ni maneno tu
promise za uongo 

(verse3)
Mwenzako nimepewa moyo wa kuridhika na wewe
Kwahiyo naomba nielewe nitaenda utakavyo wewe
Ukinipiga it's okey
Ukinitukana vilevile
Nakusamehe nitakusamehe nishakusamehe
Nitavumilia naamini yatapita
Nitakuombea mola uweze jirekebisha

(chorus)
Naah wala sikushangai nimejifunza na we ndio mfano hai
Kilichoniumiza ni promise za uongo
Naah kumbe ulinilaghai na kunifanya niamini na kufurahi
Kumbe ni we ndio promise za uongo
Naah wala sikushangai nimejifunza na we ndio mfano hai
Kilichoniumiza ni promise za uongo
Naah nimekosa amani amani imetoweka nyumbani
Kilichoniumiza ni Promise za uongo
Promise za uongo promise
Promise za uongo promise
Promise promise
Ahadi (promise) za uongo
Ahadi
Ahadi
Promise
Promise………. repeat till fade







hakuna matata by Sugu



(chorus)
Nataka swagger za hakuna matata
Kama nataka flows pia matata
Nataka peace hakuna matata
Kama unataka beef pia hakuna matata

(verse1)
Bado nachana kama nina miaka ishirini
Kuna time mpaka mwenyewe siamini
Kwenye hili game tulishakula yamini so kuliacha haiwezekani
Aibu kwao waliosema hatutaweza
maana tumeweza
na tumeweza hadi tumepitiliza
Kwa wana wote sitaacha kusisitiza mambo yanapokuwa magumu
Kinachotakiwa kukaza komaa kaza msuli
Kumbuka daima mungu yu na mwenye kusubiri
Sionekani sana dar
Sababu naishi jimboni kama sipo jimboni labdai nipo mjengoni
Daily barabarani njiani
Ndani ya land cruiser amazoni
Kinachopunguza uchovu ndani nina television

(chorus)
Nataka swagger za hakuna matata
Kama nataka flows pia matata
Nataka peace hakuna matata
Kama unataka beef pia hakuna matata

(verse2)
Hakuna matata lakini ukinigusa tu nakuletea utata
Ndio maana mitaa ya kati wananiita mtata
Kwa wanaonijua wengi wananikubali
Na ndio maana sijali kama we unikubali
kwani wanaonikubali wananitosha
sugu anatisha a.k.a baba sasha
miaka yote maisha yangu ni kubisha
na inshallah ndoto zangu zote nitazikamilisha
mjengo mkali
wife mzuri
na mungu kanijalia nina kabinti kazuri
na ingawa nipo bungeni
bado ni mwanajeshi na general vitani
ukileta namna gani jua nakupa namna gani
na sio sababu natembea gun
 ila sababu wananiita president wa kitaani

(chorus)
Nataka swagger za hakuna matata
Kama nataka flows pia matata
Nataka peace hakuna matata
Kama unataka beef pia hakuna matata

Sugu nah ii kwa mashabiki waliokuwa wanaulizia track one for the road Deiwaka


hili toto by Kitale ft sharo milionea and mide



Hoya c9 ganja inakatazwa lakini dawa ya sikio

(Chorus)
Hili toto bwana linawekera watu
Hili toto bwana linaamsha watu
Hili toto bwana linawaboa watu
Nimelituma chipsi kaniletea viatu
Nimeletewa kesi limemwaga bagia za watu
Hili toto bwana linawekera watu
Hili toto bwana linawaboa watu
Hili toto bwana linaamsha watu
Nimelituma chipsi kaniletea viatu
Nimeletewa kesi limemwaga bagia za watu

(verse1:kitale)
Sepetu sepetu (maepe)
 mtoto akilia mlete
Sepetu sepetu (maepe)
 mtoto akilia mlete
Mtoto amekuwa na jina amepewa
Mtihani wa la saba mwanangu amebukua(jiniazi)
Hata walimu wake shuleni wanamjua(mwanangu huyo)
Akipewa pepa  lazima ataibia(duuh)
Tatu mara tatu tisa
Tisa tisa mia
hoya masela tatizo mwanangu ana ugonjwa wa kusahau
You crazy and your dad too men
Ooh mama

(chorus)
Hili toto bwana linawekera watu
Hili toto bwana linawekera watu
Hili toto bwana linaamsha watu
Hili toto bwana linawaboa watu
Nimelituma chipsi kaniletea viatu
Nimeletewa kesi limemwaga bagia za watu
Hili toto bwana linawekera watu
Hili toto bwana linawaboa watu
Hili toto bwana linaamsha watu
Nimelituma chipsi kaniletea viatu
Nimeletewa kesi limemwaga bagia za watu

(verse2:kitale)
Mwanangu amekuwa na jina amepewa
Na mpaka sasa mwanangu anajitegemea
Cha ajabu nashangaa wanamshobokea
Nilichogundua wanataka kumuondoa
Mwanangu amekuwa anataka kuoa
hoya baba sio kuoa me nataka kuolewa
Hoya masela tatizo mwanangu akitoka kulala anajilopokea

(sharo milionea)
Ooh my God
Shika piga chapa chapa
Piga mgongo shika chini piga paka paka
Toto lile lile pale
Toto hili la kitale
Toto linapenda sana kunywa pombe
Toto linapiga ngeta we usiombe
Linapenda mambo yake ya utata
Vita vita linapiga ngeta
Linadundika linapita na nyavu linakata
Ana visa Linajiita komando mtata
Toto linapenda sana kunywa pombe
Toto linapiga ngeta usiombe
I got you hasira hasara hasira hasara
I got you hasira hasara hasira hasara

(chorus)
Hili toto bwana linawekera watu
Hili toto bwana linaamsha watu
Hili toto bwana linawaboa watu
Nimelituma chipsi kaniletea viatu
Nimeletewa kesi limemwaga bagia za watu
Hili toto bwana linawekera watu
Hili toto bwana linawaboa watu
Hili toto bwana linaamsha watu
Nimelituma chipsi kaniletea viatu
Nimeletewa kesi limemwaga bagia za watu

Mwanangu ebu waambie shuleni ulkua unapenda kipindi gani (mapumziko)

(verse3)
Umekosa kazi sababu ya hili toto
Umekosa mke sababu ya hili toto
Hili toto bwana linawakera watu
Hili toto bwana linawaboa watu
Hataki kusoma anataka kucheza
Muda wa shule anajificha chini meza
Sasa hataki kuoa anataka kuolewa
Muda wa shule anajificha chini meza
Sasa hataki kuoa anataka kuolewa
Moro nyumbani ndipo ulipotokea
 hata siku moja hujaenda kusalimia
Moro nyumbani ndipo ulipotokea
 hata siku moja hujaenda kusalimia
Nasema utakufa nacho kijiba cha roho
utakufa nacho kijiba cha roho
utakufa nacho kijiba cha roho


Ustadh juma juma na msoma
Mtoto wa wachupa mtoto wa pakacha mtoto wa kuchoma vidaleki shashibela
Mtoto wa wachupa mtoto wa pakacha mtoto wa kuchoma vidaleki shashibela
Mwananyamala nyumbani nipo mbali kidogo na kituo cha polisi
Mbuzi kafia kwa muuza supu

nikupe nini by Noorah ft Ali Kiba



Fish crub music
Ni baba k ali k once again

(verse1)
Nikikupenda unaanza niringia
Nikipunguza upendo unaanza nililia
Au ndo mwalimu wako kipofu
anakufunza kula mfupa palipo minofu
Kama bado unajali hujali we bado hujapata majibu nikuache ukatarii tu
Maana huachi kuaribu haribu vile kama unalisaka bifu
Tunapendana au tunapima au tunashindana
aah unachisana aah tunabishana aah
Umekuja kunipenda au uje kunitawala
Me mwenzio nakuheshimu ujue
 kama hupendi tunavyoenda tuvunje mkataba
Nijue moja nisijisumbue

(chorus)
Unapenda migogoro gogoro
Kila siku migogoro gogoro
Me na we migogoro
Ndani migogoro
Hivi nikupe nini ufurahi me na wewe twende sawa
Nimeshatapeli wajanja wa town nusu niende jela
Kila siku migogoro
(verse2)
Na masharo uwezo wanakula zaidi
Sijui ni utoto au uko ndio unafaidi
Unavyozidi kutumika thamani yako inashuka
Me ntaumia ntasikitika baadae sitakukumbuka
Nikiwa gentleman me bwege
 unajisifu eti ushanikamata eeh
Nikichange kwa bed me kicheche
Utaanza mapepe hadi wajinga watachapa
Unataka nikupe mapenzi hadi usiyoyahitaji
Au nikutumie kwa sex then nikudischarge
Sijui sisi ni wapenzi au maadui
Au labda mapenzi me ndio siyahitaji
Vitu vingapi nihuvipati
Sema Vitu vingapi si huvitaki
Mapema siku ni ngapi zimebaki kunitema
Jibu now usinigasi tena

(bridge:Ali Kiba)
Nikiwa na kosa unafoka foka
We ukiwa na kosa ndio tulivyoumbwa
Me nikiwa na kosa unatishia kuondoka
We ukiwa nakosa hata huna msamaha

(chorus)
Unapenda migogoro gogoro
Kila siku migogoro gogoro
Me na we migogoro
Ndani migogoro
Hivi nikupe nini ufurahi me na wewe twende sawa
Nimeshatapeli wajanja wa town nusu niende jela
Kila siku migogoro

Noorah a.k.a baba styles ali k

mama yeyo by G-nako ft Ben Pol



(chorus:Ben pol)
Iwe milele mama yoyo  yoyo iwe milele mama yoo
She rock my world you rock ma you rock my world
Your colour is like coco coco coco
coco bata girl
She rock my wooorld dunia yangu ooh

(verse1:G-nako)
Muda unaruhusu tupete
ang’ang’anii pete
Hana hizo pepe
namjaza mabusu si mateke
mrembo teketeke
Hatuandikii mate
tuliza mwanangu ujue ni mseke
Kanipeleka higher napaa bila ndete
Napaa bila kete
Mtaani habari tete
Nipo mbali na vcheche vcheche havmpendi
Mpaka mtoto wa kihuni nicheche
Chec he ruka unavyoweza
Geuka nguva au pweza
Nipo gereza la mahaba
Ni dhati unanikumbusha michezo ya kibaba baba mama
Your colour is like coco ni drama unanichanganya mnako
Ooh my God

(chorus:Ben pol)
Iwe milele mama yoyo  yoyo iwe milele mama yoo
She rock my world you rock ma you rock my world
Your colour is like coco coco coco
coco bata girl
She rock my wooorld dunia yangu ooh


(verse2:G-nako) 
Kabinti na hela zangu
Kabinti na hela zangu
Kabinti na hela zangu
Kabinti na hela zangu
Kumzungumzia yeye ni kutengeneza heat
Iende mtaani irudi kwangu mimi nileteeni hela zangu
Kama kumuimbia demu wangu ni dhambi nipelekeni motoni
Katenga sufuria ananipikia chakula cha jioni
Baada ya hapo ni tendo litakalompeleka mtoto peponi
Chuki usiku mwema mpo ndotoni
Kama kumuimbia demu ni dhambi
Wacheni nichomwe mimi mimi against the world
Genge gentlemen
you rock my world girl
What neno
Maneno kuntu juu ya instrumental
Ni vizuri najisikia kuona unajisikia vizuri
Ingawa me si bosi kama mick mill
Hainishindi kulipia meal
Mbinu ya utajiri ni ubahili
Natumia kutia akili
Wambea siwaoni na sizifuati dalili
Maana halisi ya pair nikki wa pili

(chorus:Ben pol)
Iwe milele mama yoyo  yoyo iwe milele mama yoo
She rock my world you rock ma you rock my world
Your colour is like coco coco coco
coco bata girl
She rock my wooorld dunia yangu ooh


(verse3:Gnako) 
Kabinti na hela zangu
Kabinti na hela zangu
Kabinti na hela zangu
Kabinti na hela zangu
Kumzungumzia yeye ni kutengeneza heat
Iende mtaani irudi kwangu mimi nileteeni hela zangu
Hamna mwanamke bila mwanaume mwanume bila ya mwanamke
Hata uwe kama nduli iddi amini dada
Umenibadilisha jina ati mr lover lover (shaba)
Ananiweka kwenye wanks bunner kilele cha raha
Una big mwanya

(chorus:Ben pol)
Iwe milele mama yoyo  yoyo iwe milele mama yoo
She rock my world you rock ma you rock my world
Your colour is like coco coco coco
coco bata girl
She rock my wooorld dunia yangu ooh