Gere by Weusi


[Intro - Joh]
Yeah!
You know whats happening when Weuse meets
Nahreel, right?

Oyayoo...ooohoo
A city in the house!
Oyayoo...ooohoo
Lets go!!

Chorus[Gnako]
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!

[Joh Makini]
Kubadili hizi mboga mbili tu tabu kwa mswahili
Mganga hana mashairi jomba ni bure kupiga
ramli
Flow Weusi ni mbele, kanzu tobo ka Pele
Mboyoyo mingi kelele, kamata tupa kule
Wajukuu wa Nyerere, chuki zako ni bure
Kiunoni ni sime njele, juu sipendi kelele
Mavumba ni baba Fere, Temeke huita michele
Karibu gheto ni sherehe, Weusi hatuna kwere
Nina kibali juu ya mdundo huu so sina sorry
Sinyasori wapi Shaa sina story
Wivu ni kidonda umeshiriki ugua pole
Chakati juu kiki...woo woo!...pole pole

Chorus[Gnako]
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!

[Nikki Wa Pili]
Sio gweraa hii jombaa Nikki yule yule
Nilivyovaa, nilivyong'aa ni kimulimuli
Viburi flow Idd Amin like nduli nduli
Brain kubwa, ndoto kubwa za manguli nguli
Watoto nao ni kibao siku hizi sipigi puli
Usijikombe chonde chonde na makonde bure
Punguza njaa lia ubao jomba kaza msuli
Kwenye hela ndo watoto wanatulia tuli
Benchi mnasugulia ha..hamna carrier
Ah! mziki kama mbege kwangu suna kulia
Ah! Yesu na Maria! Ah! Ndo tunatulia
Ndo nguna inaliwa, imebarikiwa
Get it?

Chorus[Gnako]
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!

[Gnako]
Kimbiza kimbiza...Usain Bolt
Tupo center ya mchezo...centre bolt
Hatuna penda love, Weusi mtu tano
Center half no beef..no..no..no!
Tulifanya ndafu, mchezo unatupa bread
Mda wa chai ujuzi unasambaza umbea
Mkuda hakai, hatuongei ongei
Tunafanya hatufanyi fanyi, tunafanya kazi
Mungu hakupi roho mbaya
Sshh! Umeipandikiza
Kichwa chako passport, uwezo wako ndo Visa
Aaah! Tuna viburi eeh? Tuna flow vizuriii

Chorus[Gnako]
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
...kwere!
...gere!
...kwere!
...gere!

[Outro]
*kinanda kinanyongwaaaa*

Serebuka by mwasiti

(Verse1)
Wengine wanalia sababu ya kupenda
Lakini wameachwa (wameachwa)
Wengine wanapigwa bado wang'ang'ana
sababu ya mapeenziii
Wengine wafumania lakini waendelea
Sababu ya kupeendaaa
Wengine wajiua wao walipendwa
lakini wameachwa leo

(Chorus)
Labda tunapenda tusipopendekaa
Tusipotakiwa tunavumilia
Labda tunapendwa tusipopapendaa
Tusipopataka tunasubiria yeah yeah
Serebuka serebuka
unaweza pendwa tena
Serebuka serebuka
unaweza penda tena
Serebuka serebuka
unaweza pendwa tena
Serebuka serebuka
unaweza penda tena

(Verse2)
Wengine wao waua hili wapendwe maishani
Mwishowe wateseka (watesekaa)
Wengine walishahapa hawatawapenda milele
Wakarudia yale yaleee
Wapo walioroga kushinda kwa waganga
Kupigania penzi lao lao ooh
Wengine zao kuhonga
Wao walipendwa pesa zao zikaisha wewe

(Chorus)
Labda tunapenda tusipopendekaa
Tusipotakiwa tunavumilia
Labda tunapendwa tusipopapendaa
Tusipopataka tunasubiria yeah yeah
Serebuka serebuka unaweza pendwa tena
Serebuka serebuka
unaweza penda tena
Serebuka serebuka
unaweza pendwa tena
Serebuka serebuka
unaweza penda tena

(Bridge)
Maisha ndivyo yalivyo
Kupata na kukosa
Maisha ndivyo yalivyo
Kutenda na kutendwa uuh
Lakini yote mipango ya mola
Alichopanga
La!la!la!la eeh

(Chorus)
Labda tunapenda tusipopendekaa
Tusipotakiwa tunavumilia
Labda tunapendwa tusipopapendaa
Tusipopataka tunasubiria yeah yeah
Serebuka serebuka
unaweza pendwa tena
Serebuka serebuka
unaweza penda tena
Serebuka serebuka
unaweza pendwa tena
Serebuka serebuka
unaweza penda tena

Weka chini shida zako wewe
Weka chini shida zako wewe
Weka chiini

........Drums plays till fade

Unanichora by BenPol ft Joh Makini

Yeah
With best rnb singer
Kumbe wanichora
Ni king Jo
Yeah
(Verse1:Joh Makini)
Siri me na we ni lazima iwe serious
Show ni me na we na sioni ulazima ulete shazi
Soo ni ni me na we na sioni kama uongo ni kazi
Usione kama urafiki ni vyeti upate kazi
Sioni rafiki wa mbuzi eti keti mkune nazi
Urafiki mkia wa mbuzi mfupi na nyeti wazi
Nakushangaa u baniani mhaya
We na baniani mbaya
Waubani vipi haya
Yachumbani yakimwagika hadharani ujue ni haya
Haya wanashika nini washkaji washika mabaya
Yanawika jogoo ajawika alfajiri
Washayaanika kariakoo
Hawakai maneno yamewakalia koo
Kumbe nao wanataka kunikalia oooh
Mpaka kwa nyumbani yangu wakiparty no
Mpaka moshi unavuma juu ndani ni pamoto

(Chorus:Benpol)
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona bwege

(Bridge)
Mama baba yereeeeee
Mama baba yereeeee

(Verse2:BenPol)
Utulie home nakupa vitamu
Usinitenge nazi kama embe la msimu
Utulie home nakupa vitamu
Na me nikulinde nizidi pata utamu
Najuaa Hawapendi kuona uko na me
Na wanasema mengi mradi uniache mimi
Hasa kwanini mpenzi unakana
Wao Hawapendi kuona uko na me
Na wanasema mengi mradi uniache mimi
Sasa kwanini mpenzi unaongea naoo

(Chorus:Benpol)
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona bwege

Yere zere yere zere...........till fade