Showing posts with label joh makini. Show all posts
Showing posts with label joh makini. Show all posts

waya by Joh Makini


swiitch RuRroofer

(Intro)
Eeeenhe ama gona halla at you
ama gona halla at you
Eeeenhe ama gona halla at you
eeenhe

(Chorus)
Excuse me miss can I get your number
Can I get your number?
Excuse me miss can I get your number
Can I get your number?
Eeeenhe ama gona halla at you
ama gona halla at you
Eeeenhe ama gona halla at you
ama gona halla at you

(verse1)
Na nikivuta waya waya
Ujue nshajikoki koki
Na nikivuta waya waya
Ujue nshajikoki koki
Wacha izo mbana bwana
Me sina ma story mob story ni moko tu
Temana na zile mob story mitoko  tu
Story mikoko tu
Marafiki mapopo full
Demu full you wanajifanya wamelewa
Na kumbe wanastress za kuolewa boo
Subiri maisha yawapigie buuu
Nipe namba me nicome through
Makini sio aru aru
Nshazichanga changia mawazo tujenge ekaru
It’s been a looong time hustle
Tz JayZ raso
Wallah kwako mimi Nachotaka nilipaki
mazima mama k national park
baba k mama k I know you smart
joh nimebarikiwa wala sio kismat
you play smarter
rafikizo walisema nini it doesn’t matter
ulimbo nimenasa kaumbo ni swadakta
ulingoni sikuachi zile fimbo me nachapa
malingo ndo kabisa unazidisha nikikupata
deal zangu ndefu hazina ukingoni
natabasamu kama kidoti wa kingoniii
wapinzani hawaemi maji shingoni soo

(Chorus)
Excuse me miss can I get your number
Can I get your number?
Excuse me miss can I get your number
Can I get your number?
Eeeenhe ama gona halla at you
ama gona halla at you
Eeeenhe ama gona halla at you
ama gona halla at you

(verse2)
hata walete compee compee
ushindani siogopi
mweusi ni kampuni
shori me silopoki na nikivuta waya
ujue nshajikoki
self made pesa ya starehe sikopi
cash flow kwenye mzunguko me sitoki
kesho haitakuwa na shaka  siongopi
poteza muda ila sio hii bahati
ati usinipotezee katikati binti
nipoteze kwenye moyo
mangi mtamu nitakuruhusu kuwa mchoyo
sikuja kula tunda nimekuja kupanda mbegu ya matunda
sisi tuwe mizigo maisha yawe punda
kwa lugha ya nyumbani nikuKunda
leo nimegonga lite kesho nitapenda
si unajua kupenda kweli sio kupendaga
vile unakaa ni co star kwenye hili movie
na vile me ni star haswa it’s gona be a movie shoreee

(Bridge)
ama gonna halla at you
ama gonna halla at you

(Chorus)
Excuse me miss can I get your number
Can I get your number?
Excuse me miss can I get your number
Can I get your number?
Eeeenhe ama gona halla at you
ama gona halla at you
Eeeenhe ama gona halla at you
ama gona halla at you

(outro)
Na nikivuta waya waya
Ujue nshajikoki koki
Na nikivuta waya waya
Ujue nshajikoki koki 
Na nikivuta waya waya
Ujue nshajikoki koki
Na nikivuta waya waya
Ujue nshajikoki koki

…….beat plays till fade


Gere by Weusi

[Intro - Joh]
Yeah!
You know whats happening when Weuse meets
Nahreel, right?
Oyayoo...ooohoo
A city in the house!
Oyayoo...ooohoo
Lets go!!

[Gnako]
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!

[Joh Makini]
Kubadili hizi mboga mbili tu tabu kwa mswahili
Mganga hana mashairi jomba ni bure kupiga
ramli
Flow Weusi ni mbele, kanzu tobo ka Pele
Mboyoyo mingi kelele, kamata tupa kule
Wajukuu wa Nyerere, chuki zako ni bure
Kiunoni ni sime njele, juu sipendi kelele
Mavumba ni baba Fere, Temeke huita michele
Karibu gheto ni sherehe, Weusi hatuna kwere
Nina kibali juu ya mdundo huu so sina sorry
Sinyasori wapi Shaa sina story
Wivu ni kidonda umeshiriki ugua pole
Chakati juu kiki...woo woo!...pole pole

[Gnako]
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!

[Nikki Wa Pili]
Sio gweraa hii jombaa Nikki yule yule
Nilivyovaa, nilivyong'aa ni kimulimuli
Viburi flow Idd Amin like nduli nduli
Brain kubwa, ndoto kubwa za manguli nguli
Watoto nao ni kibao siku hizi sipigi puli
Usijikombe chonde chonde na makonde bure
Punguza njaa lia ubao jomba kaza msuli
Kwenye hela ndo watoto wanatulia tuli
Benchi mnasugulia ha..hamna carrier
Ah! mziki kama mbege kwangu suna kulia
Ah! Yesu na Maria! Ah! Ndo tunatulia
Ndo nguna inaliwa, imebarikiwa
Get it?

[Gnako]
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!

[Gnako]
Kimbiza kimbiza...Usain Bolt
Tupo center ya mchezo...centre bolt
Hatuna penda love, Weusi mtu tano
Center half no beef..no..no..no!
Tulifanya ndafu, mchezo unatupa bread
Mda wa chai ujuzi unasambaza umbea
Mkuda hakai, hatuongei ongei
Tunafanya hatufanyi fanyi, tunafanya kazi
Mungu hakupi roho mbaya
Sshh! Umeipandikiza
Kichwa chako passport, uwezo wako ndo Visa
Aaah! Tuna viburi eeh? Tuna flow vizuriii

[Gnako]
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Weusi hatuna...kwere!
You just go...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
Kama unachukia vaa miwani usione gere...gere!
...kwere!
...gere!
...kwere!
...gere!
[Outro]
*kinanda kinanyongwaaaa*

Unanichora by BenPol ft Joh Makini

Yeah
With best rnb singer
Kumbe wanichora
Ni king Jo
Yeah
(Verse1:Joh Makini)
Siri me na we ni lazima iwe serious
Show ni me na we na sioni ulazima ulete shazi
Soo ni ni me na we na sioni kama uongo ni kazi
Usione kama urafiki ni vyeti upate kazi
Sioni rafiki wa mbuzi eti keti mkune nazi
Urafiki mkia wa mbuzi mfupi na nyeti wazi
Nakushangaa u baniani mhaya
We na baniani mbaya
Waubani vipi haya
Yachumbani yakimwagika hadharani ujue ni haya
Haya wanashika nini washkaji washika mabaya
Yanawika jogoo ajawika alfajiri
Washayaanika kariakoo
Hawakai maneno yamewakalia koo
Kumbe nao wanataka kunikalia oooh
Mpaka kwa nyumbani yangu wakiparty no
Mpaka moshi unavuma juu ndani ni pamoto

(Chorus:Benpol)
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona bwege

(Bridge)
Mama baba yereeeeee
Mama baba yereeeee

(Verse2:BenPol)
Utulie home nakupa vitamu
Usinitenge nazi kama embe la msimu
Utulie home nakupa vitamu
Na me nikulinde nizidi pata utamu
Najuaa Hawapendi kuona uko na me
Na wanasema mengi mradi uniache mimi
Hasa kwanini mpenzi unakana
Wao Hawapendi kuona uko na me
Na wanasema mengi mradi uniache mimi
Sasa kwanini mpenzi unaongea naoo

(Chorus:Benpol)
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona bwege

Yere zere yere zere...........till fade