Showing posts with label madee. Show all posts
Showing posts with label madee. Show all posts

hela by madee



it's time for manzese music baaby

(Chorus)
Heeee laa
Heeee laa
Heeee laa
Heeee laa
Heeee laa
Heeee laa

(Verse1)
Habari zenu jamani
Na Hali ni gani
Mliopo duniani mna raha heeh
Game hatushindani na  hatubishani
Nani ni Bingwa wa raha heeeh
Siku hizi ela inakupa u star
Ni rahisi kumpinga hata Jah
Mwenye ela atakuhamisha Dar
Na akitaka hata jela utakaa
Hela imeleta hata vita imeua majita
Hali mradi balaa
Hela imevunja kanisa
Leo hakuna misa tunashinda bar
Yule kijana wa home sio star
Anatukana hata waliomzaa
Wivu tamaa na njaaa
Ukiendekeza juu ya kidole utakaa Llaa

(Chorus)
Heeee laa
Heeee laa
Heeee laa
Heeee laa
Heeee laa
Heeee laa

(Verse2)
Hii dunia ni njia na nishapitia
Na nakaribia kusepa 
Wengi wanaisifia ila mi naichukia
Na naona ni ngumu pia kuikwepa
Basi nyinyi watoto someni
Ya akina wema kadinda komeni
Kesho mufike kule bungeni
Msiendekeze ya mabrazamen
Mengi nimepitia nikiwahadithia
Wengine mtalia sana
Ina mengi dunia usipoangalia
Watakutatisha tamaa
Eti Masaki kuna Mungu Watu
Nje Jongoo kumbe nani Chatu
Hivi nyie darasa la tatu
Mshaisoma hadithi ya kibantu Heeee Llaaa

(Chorus)
Heeee laa
Heeee laa
Heeee laa
Heeee laa
Heeee laa
Heeee laa

(Verse3)
Enyi nyinyi wadada wa mjini
Mnauza chini mnataka nini hela
Siwezi weka akilini chumvini mimi
Alafu nikupe hela
Kama wewe una act Tom Boy
Hata kunshike kwa wapi huchojoi
Hata ufungue hii nati sienjoy
Nakula bati kuliko hata toy

(Chorus)
Heeee laa
Heeee laa
Heeee laa
Heeee laa
Heeee laa
Heeee laa

it's time for manzese music baaby

tema mate by Madee

Made umebadilika
yeah sisomeki

Wachaga zoba Wachaga zoba Wachaga zoba
Mimi mimi madee x2

(verse1)
Aliyepanga ni mungu
Wanaleta majungu
Me nawapa uchungu
navyowapanga kwa mafungu
Unaniiga unanifuata
Me nipo nzese nakula bata
Demu wako sijamtaka
Ukimkuta ghetto we ondoa shaka
Wanatememeka wanaweweseka
Wanavyoenyeka ninavyopeta nawatesa
Wanatetereka wanavyomegeka wanakekereka

(chorus)
Tema mate tuwachape
tuwachape tuwachape wooza
Tema mate tuwachape Wale wajinga mabongolala X2

(bridge)
Wengi madogo
Kaz kusema uongo
Ndivyo walivyo wabongo
Na zao longologno

(verse2)
Wanachuki na wivu
Wanact marafiki fake
Me bahari sipigwi deki
.....(Madee umebadilika) ye sisomeki
Wananuna nuna tu jinsi me navyovuma
Wanabuma buma tu
Kuwa mbao me ntabaki chuma tu
Me sinaga habari zao
Kusema semaga tabia zao
Ntawatusi kwa mama zao

(chorus)
Tema mate tuwachape
tuwachape tuwachape wooza
Tema mate tuwachape Wale wajinga mabongolala X2

Yani leo tukeshe
Yani leo mpaka siku iwe nyingine
Kama vuta nyonga ilimradi tufurahi leo
Kama unaweza gonga mademu wako ndani leo

Kama vuta nyonga ilimradi tufurahi leo
Kama unaweza gonga aaah

 
(chorus)
Tema mate tuwachape
tuwachape tuwachape wooza
Tema mate tuwachape Wale wajinga mabongolala X2


haya haya haya haya haya haya........
wamekata kabla ya corner
(beat plays till fade)........