Serebuka by mwasiti

(Verse1)
Wengine wanalia sababu ya kupenda
Lakini wameachwa (wameachwa)
Wengine wanapigwa bado wang'ang'ana
sababu ya mapeenziii
Wengine wafumania lakini waendelea
Sababu ya kupeendaaa
Wengine wajiua wao walipendwa
lakini wameachwa leo

(Chorus)
Labda tunapenda tusipopendekaa
Tusipotakiwa tunavumilia
Labda tunapendwa tusipopapendaa
Tusipopataka tunasubiria yeah yeah
Serebuka serebuka
unaweza pendwa tena
Serebuka serebuka
unaweza penda tena
Serebuka serebuka
unaweza pendwa tena
Serebuka serebuka
unaweza penda tena

(Verse2)
Wengine wao waua hili wapendwe maishani
Mwishowe wateseka (watesekaa)
Wengine walishahapa hawatawapenda milele
Wakarudia yale yaleee
Wapo walioroga kushinda kwa waganga
Kupigania penzi lao lao ooh
Wengine zao kuhonga
Wao walipendwa pesa zao zikaisha wewe

(Chorus)
Labda tunapenda tusipopendekaa
Tusipotakiwa tunavumilia
Labda tunapendwa tusipopapendaa
Tusipopataka tunasubiria yeah yeah
Serebuka serebuka unaweza pendwa tena
Serebuka serebuka
unaweza penda tena
Serebuka serebuka
unaweza pendwa tena
Serebuka serebuka
unaweza penda tena

(Bridge)
Maisha ndivyo yalivyo
Kupata na kukosa
Maisha ndivyo yalivyo
Kutenda na kutendwa uuh
Lakini yote mipango ya mola
Alichopanga
La!la!la!la eeh

(Chorus)
Labda tunapenda tusipopendekaa
Tusipotakiwa tunavumilia
Labda tunapendwa tusipopapendaa
Tusipopataka tunasubiria yeah yeah
Serebuka serebuka
unaweza pendwa tena
Serebuka serebuka
unaweza penda tena
Serebuka serebuka
unaweza pendwa tena
Serebuka serebuka
unaweza penda tena

Weka chini shida zako wewe
Weka chini shida zako wewe
Weka chiini

........Drums plays till fade

Unanichora by BenPol ft Joh Makini

Yeah
With best rnb singer
Kumbe wanichora
Ni king Jo
Yeah
(Verse1:Joh Makini)
Siri me na we ni lazima iwe serious
Show ni me na we na sioni ulazima ulete shazi
Soo ni ni me na we na sioni kama uongo ni kazi
Usione kama urafiki ni vyeti upate kazi
Sioni rafiki wa mbuzi eti keti mkune nazi
Urafiki mkia wa mbuzi mfupi na nyeti wazi
Nakushangaa u baniani mhaya
We na baniani mbaya
Waubani vipi haya
Yachumbani yakimwagika hadharani ujue ni haya
Haya wanashika nini washkaji washika mabaya
Yanawika jogoo ajawika alfajiri
Washayaanika kariakoo
Hawakai maneno yamewakalia koo
Kumbe nao wanataka kunikalia oooh
Mpaka kwa nyumbani yangu wakiparty no
Mpaka moshi unavuma juu ndani ni pamoto

(Chorus:Benpol)
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona bwege

(Bridge)
Mama baba yereeeeee
Mama baba yereeeee

(Verse2:BenPol)
Utulie home nakupa vitamu
Usinitenge nazi kama embe la msimu
Utulie home nakupa vitamu
Na me nikulinde nizidi pata utamu
Najuaa Hawapendi kuona uko na me
Na wanasema mengi mradi uniache mimi
Hasa kwanini mpenzi unakana
Wao Hawapendi kuona uko na me
Na wanasema mengi mradi uniache mimi
Sasa kwanini mpenzi unaongea naoo

(Chorus:Benpol)
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona bwege

Yere zere yere zere...........till fade

hold me back by navy kenzo

Chorus: Nahreel
They hold me back,
they hold my luck,
but am gonna be what am destined to be,
run on the road that will set me free,
live to the dreams that will rise from me x2


Verse 1: Aika
They call me loser,call me beezy
Then hi!! haters, i keep moving
Call me burner, call me loser
Then hi!! suckers, i keep movin
This ma time and am gon make it
as a matter of fact i made it,
am a sister of all acts
My country made me big,so i prep maself bigger
these niggaz say that,i aint got no fans
Am gonna loose,lets leave this to the fans,
am 99%of my sucess and defence
They tryna push me away say that,
am just a girl tryna get famous
am more prescious than the diamonds in the sky,
Am A hero haya maneno mnayoongea ni muda unapotea
 mi nazidi songa mbele, you cant hold me back.

Chorus: Nahreel
They hold me back,
they hold my luck,
but am gonna be what am destined to be,
run on the road that will set me free,
live to the dreams that will rise from me x2

Verse 2: Weestar
I wanna be free,
get fame, get dough, stay fly
runaway from haters while they watchin me pass by
mama gimme blessins for your kid to always stay high
long live to haters so they see me gettin payed right,
riiiiight they runnin out of confidence,
 i told u right u see the consiquence,
killin nigaz wit ma flow and obliterate,
i love wat yall haters do but ya’ll gat to wait,
how long are your chains gonna hold me?
and how long are your words gonna bold me? ……..
pliz gimme a minute and you might as well go on hating i aint mad at you i get it aaaa

Chorus: Nahreel
They hold me back,
they hold my luck,
but am gonna be what am destined to be,
run on the road that will set me free,
live to the dreams that will rise from me x2


Bridge: Nahreel
Lord have mercy kwa wale walionitenda
japokuwa bado nawapenda,
kama wewe umeshapanga
Lord Have Mercy eeehh eeehh eehhh ehh ehhh eehh

Verse3: Aika
This music part of me,i sail on like am goin barbados
dont diss me like your toy.
i made you go international
U gatta be A man
Maisha mi kusaka pesa,pata pesa,kula pesa.
Sio kupiga domo maneno maneno
kuongea kila saa
kukicha,kila dakika nyota kuzima.
Watever that is, i dont care,
this is how we gon deal with it,
sleep with it,eat with it, ahahahaaa die with it.

Chorus: Nahreel
They hold me back,
they hold my luck,
but am gonna be what am destined to be,
run on the road that will set me free,
live to the dreams that will rise from me x2


!!!! NAVY KENZO !!!!

my baby by Quick racka ft Ngwair

Intro;
Yeah man its yo boy Switcher lemmi talk to this girl 1 time,Listen.

Verse 1;
First time tumekutana ilikuwa kitaa,
Nikiakuita kukupa hi ukapoteza tambaa,
Sema kweli ili touch sikukata tama,
Nikapiga moyo konde utakuwa wangu mamaa,
Second time tulivyo meet ilikuwa kwa club,
You were dancing with yo friends n looking so fab’,
Ukanicheki nikakukonyeza then u gave me a smile,
Excuse me can I buy u drink,ukasema alright,
Baada hapo we started talking n dancing,
Getting to know u n u know me joking n laughing yeaah!,
So that’s how it went may baby girl n now girl yo mine.

CHORUS;
Baby yo mine*3 Ahuuuuuuaaaa!
Baby yo mine*3 Ahuuuuuuaaaa!

VERSE 2;
*(Yeah I’m so lucky to have girl,when I’m with u I feel so alive….Love u.)*
Daima uli-stay true hukubabaika,
Waliokuja na magari kukutishia pesa,
Hukutetereka my baby ukanikumbata,
Kamoyo kalidunda japo nilijitunisha,
And now we are finally here n we’re about to get married,
Do u remember that day when I told u,
That nitakuoa uwe mke wangu wa ndoa,
Ni mimi nawe wewe na mimi milele yote,
Now u walking down the aisle with a sweet sweet smile,
Ushapendeza baby girl u look so fine,
I do u do tushavishana pete (Lelyeleee) vigelegele kote,

CHORUS;
Baby yo mine*3 Ahuuuuuuaaaa!
Baby yo mine*3 Ahuuuuuuaaaa!

VERSE 3 (Ngwair);
*(Yeah I’m so glad yo mine baby,it’s been a long gtime coming…Cowizzy)*
Mara ya kwanza tu nakuona wow! Nikakuelewa,
Nikaamua kupropose fasta sikuchelewa,
Cause nili-fall in love na sio kukutamani,
Najivunia leo nimekuweka ndani,
Japo wanaleta beef hawa masharo wa mtaani,
Vitisho vingi vya mapedejshee flani,
Sijali namshukuru Mungu aliye juu,
Kwangu wewe ni zaidi ya dreams come true,
Kila tunapotembea pamoja kama pair,
Majina yetu ya mwisho wote leo yanaishia na Ngwair,
Tunashine upo fine napenda unavyo-design my valentine,
N I’m so glad yo mine…..

CHORUS;
Baby yo mine*3 Ahuuuuuuaaaa!
Baby yo mine*3 Ahuuuuuuaaaa!

OUTRO;
Yeah I go by the name of Rocka Quick…Hahahaha
I got ma big brother cowbama
Yeah tunamwimbia motto mzuri….Mashallah!
I love u baby…Mwaaaaah!

SHAA Harmonising;
Baby yo mine*6

NAKUPENDA MAMA BY MABROUK


VERSE-I
We ndio mungu wangu wa  dunia
mama najivunia,kwa kila ninachofanya mama nitakusujudia.
Siwezi kukukana we ndio wangu mama,
usiku na mchana jua nakupenda sana.
Sijui nifanye nini au  nikupe nini,
yaani chenye uthamani wa kunileta duniani.
Miezi tisa nimekaa tumboni  mwako mama,
hukutaka kunitupa kisa ulinipenda sana.
Mama ulivumilia kwenye shida na raha,
ukavuta subira mpaka ulipo nizaa.
Ukanileta vyema na ukanipeleka shule,
ukutaka baadae nije nisumbuliwe.
 Kidogo ulichopata ulikula na mimi,
kikubwa nacho ukipata unamshukuru zaidi manani.
 Mama kwangu  unathamani tena zaidi maishani,
yani  kama dereva we umeshika usukani. 

CHORUS
Oooonhooo yeeeeeehhh,
i love you mamaaaaa
Sifa zote mimi  nakupaaaa,
kwa malezi bora sanaaaa
Toka siku uliyonizaaaa,
mpaka leo ni  mkubwa nimekuaaaaa*2      
VERCE-II
 Asubuhi na mapema mama unadamka,
unapita kuhangaika kote kutafuta pesa.
 Mvua inakunyeshea mpaka jua linakuchwea,
kote unahangaika ridhiki kujitafutia.
 Mama we ni dira yangu katika maisha yangu,
hasa ni mwongozo wangu katika maisha yangu.
 Bila we mimi sina mafanikio tena,
bila we mambo yangu yatakwenda mrama.
 Bila we mi si lolote si chochote,
ndio maana muda mwingi napenda tuwe sote(mamaa).
 Nikikumbuka kipindi cha utotoni,
kipindi ambacho homa zilikuwa haziniishi mwilini.
 Mama ulihangaika kila kazi ulifanya,
ulipita kuhangaika ili upate kuniponya.
 
CHORUS
Oooonhooo yeeeeeehhh,
i love you mamaaaaa
Sifa zote mimi  nakupaaaa,
kwa malezi bora sanaaaa
Toka siku uliyonizaaaa,
mpaka leo ni  mkubwa nimekuaaaaa*2
VERSI-III
 Shukrani zangu nakupa  mama yangu,
we ndio  ulionileta katika huu ulimwengu.
Mama ulikila udongo eti kwasababu yangu,
ulitafuna mpaka mkaa na haukujari wake uchungu.
Mama ulichukia samaki  na aina zingine za  mboga,
na mama nilikuchosha kila sehemu ulinibeba.
Pole kwa  usumbufu mama  niliokupatia,
tangu ujauzito kunizaa na  kunilea.
 Wengi walitamani kuwepo mpaka  leo,
lakini mama zao waliwaua kama kitoweo.
Hakuna mtu nnayempenda duniani  kama mama yangu,
nitazidi kukutukuza mpaka mwisho wa maisha yangu.
Mama  yangu ni mzuri mpole na msikivu,
tena ni mchamungu mtafutaji na mtulivu.
Mama nakupenda sana siwezi kusema kiasi gani,
sijui niseme nini kwa jinsi ninavyo kuthamini.
       
CHORUS
Oooonhooo yeeeeeehhh,
i love you mamaaaaa
Sifa zote mimi  nakupaaaa,
kwa malezi bora sanaaaa
Toka siku uliyonizaaaa,
mpaka leo ni  mkubwa nimekuaaaaa*2
     
 OUTRO
Aaaanhaa nakupenda sana mama aina cha kukulipa ila shukrani  zangu  pokea
 Ila amini nitakutunza,nitakulinda kwa wema ulionitendea
 Mabruki hapaaaa!!!
 Ambassador wa nachingwea