Ball player by Izzo business ft Ngwair,Quick Racka and Ruth



Yes it's fishcrub cok out
You know how we do yeah
Another one
Lamar in the same beat

We rise
It's fish crub cok out
izzo b quick racka ngwair

What you say man

(Chorus)Quick Racka
I galla keep on moving
And my hood still sunshine
I galla keep on moving
And my hood still sunshine
Cause I Move like ball player
I Move like ball player
Cause I Move like ball player
I Move like ball player

(Verse1)Izzo Business
Baba mama wananiombea niweze fanikiwa
Hata watu wangu wa mbeya hivyo hivyo pia
Kama snitch we jipange jipange tena sana
Salute kwa mama mwakapange umetulea mama
Nimekuja dar sina gheto
Ila now nahishi kwangu
Day na mambo mpeto
Namshukuru mungu
Big up kwa salehe gadau
Na beka masonga
Kiukweli me sitosahu
Na mbele tunasonga
Plan zipo mpaka Z
ila ndio kwanza nipo plan A
hustle hard everyday
Ukinikuta kariakoo utasema sio mimi
Kwenye pesa toa macho ndio kanuni ya mjini
Kama kweli unanckia siku hizi mchongo pesa
Hata uwe mbaya wataaminia
Masister doo utawatesa utaitwa handsome
Hatakama sura mbaya
Hii ndio daslam unakana kwenu huna haya
eti am Flexin everyday,
nigga unajikuta Mike Kimei...

(Chorus)Quick Racka
I galla keep on moving
And my hood still sunshine
I galla keep on moving
And my hood still sunshine
Cause I Move like ball player
I Move like ball player
Cause I Move like ball player
I Move like ball player

(Verse2)Ngwair
Cowizz
Me nahustle hard ndio swagger zangu everyday
Big beats zina heat kwa streets bila dre
Kumbuka nilizaliwa mbeya mwanachemba wa east zoo
Mbili ni bora zaidi ya moja na tatu
Ndio dangerous
Mwanajeshi ambaye mpaka usingizini nimejikoki
Maisha siwezi kuyachekea
Kozi yangu sio ya joti
Me huu muziki uwa naudai ndio maana uwa sichoki
A.k.a mimi bado naimbwa kitaani kwa karioke
Wakati umezubaa unanidis kwa mtaa
Mi nafanya business zangu na quick kwa lamar
Kwanza nikifika uwa nakunywa navuta kama nipo bar
Then kwa booth natoa sauti za busara kwa zanzibar
We hujui nilivyohustle mpaka leo kuwa ngwair
So ongea ongea hizo diss.com nishazoea
Unaeza paka unavyotaka me sijali ukininyea
We unabeep njoo gheto dogo nitaku#*&&

(Chorus)Quick Racka
I galla keep on moving
And my hood still sunshine
I galla keep on moving
And my hood still sunshine
Cause I Move like ball player
I Move like ball player
Cause I Move like ball player
I Move like ball player

(Verse3)Izzo Business
Izzo ndio mbeya
Iko wai waulize na wanajua....
Haifichi iko wazi we dafu na nakufua
Salute kwa kaka zetu japo wachache wenye love
Hawatupendi si wa sasa kumbe kisa cha kipumbavu
Kurudi kweli ntarudi ntarudi kusalimia
Hapa kazi sala juu ukibana basi utaumia
Huu muziki sijaanza juzi usipagawe me nashine
Muuza nyago zako makuzi
Usijaribu kucombine
Mishe mishe hustle hard kama kawa
Mbeya niwavalishe hawa waduanzi wanapagawa
Demu wako shabiki wangu kisa kipi sasa we unanuna
Itakuaje sasa akisafisha rungu si utaomba nirudi mazima
Am music enteprenuer
You can call me izzo businaa
Wasap yaya
Salute kwa washua kwa kunikuza me
Wanafki wanaochonga me sawasikii
Izzo naongeza bidii

(Chorus)Quick Racka
I galla keep on moving
And my hood still sunshine
I galla keep on moving
And my hood still sunshine
Cause I Move like ball player
I Move like ball player
Cause I Move like ball player
I Move like ball player

I move like ball player....
(Repeat till fade)

yatakwisha by Ben pol ft Linah


(Verse1)
Ala moja aikai panga mbili nimeamini nilidhani nitaweza kuwamudu wote wawili
Ye hawepo na we niwe wako
Kwake nipate na we nipate penzi lako
Kweli sitaweza kuacha uende nibaki nilie
Bora kupoteza mali nipate moyo wako nitulie
Kweli sitaweza kuacha uende nibaki nilie
Bora kupoteza vyote nipate moyo wako nitulie
...
(Chorus)
Ulisema umeamua kunisamehe na yatakwisha
Leo tena unataka kunitesa na kuniumiza
Jua kwamba leo me mwenzio kesho wewe
Na mateso unayonipa me mwenzio utapata kwa mwengine
Ulisema umeamua kunisamehe na yatakwisha
Leo tena unataka kunitesa na kuniumiza
Jua kwamba leo me mwenzio kesho wewe
Na mateso unayonipa me mwenzio utapata kwa mwengine

(Verse2:Linah)
Ukweli wote ulijificha ukuweka wazi
Fadhili zote kumbe bure nani atanienzi
Ningejua pendo lako wala nisingelipokea
Naumia penzi mimi sitaweza kushare
(Ben pol)
We ndio wa moyoni
Siwezi nitafanya nini
Kuishi mbali nawe kwangu naona kazi bure
Labda uhai niutoe
Niwe chizi nipagawe
Kama timamu nielewe
Labda uhai niutoe
Niwe chizi nipagawe
Kama timamu nielewe

(Chorus)
Ulisema umeamua kunisamehe na yatakwisha
Leo tena unataka kunitesa na kuniumiza
Jua kwamba leo me mwenzio kesho wewe
Na mateso unayonipa me mwenzio utapata kwa mwengine
Ulisema umeamua kunisamehe na yatakwisha
Leo tena unataka kunitesa na kuniumiza
Jua kwamba leo me mwenzio kesho wewe
Na mateso unayonipa me mwenzio utapata kwa mwengine

jambo jambo by Steve RnB


(Chorus)
Nasema jambo jambo mama
Habari gani nzuri sana
Ukiniacha ntaumia
Mwenzio nshakuzimia
Nasema jambo jambo mama
Habari gani nzuri sana
Ukiniacha ntaumia
... Mwenzio nshakuzimia

(Verse1)
Uzuri wako umenifanya
Niwe nawe ka kabisa
Tabia ndio imenivuta
Niwe karibu
Moyoni niwe na furaha baby
Na furaha baby
Hakuna atakayenitenganisha atakayenitenganisha
niwe mbali na we mama
Ni mungu mwenyewe anaweza
Anapenda wote tuwe na furaha baby
Na furaha baby

(Bridge)
Without you
Without you
Love me o I can't be
Without you
Without you
No steve rnb
Without you
Without you
Love me o I can't be
Without you
Without you
No steve rnb

(Verse2)
Natamani niwe nawe kila saa
Usiku na mchana kuna njaa
Ukiwapo we pembeni kweli najivunia
Karibu ndani yangu washa taa
Ndani giza nene washa mshumaa
Sikia hizi hisia
Karibu ndani naumia yeeah

(Chorus)
Nasema jambo jambo mama
Habari gani nzuri sana
Ukiniacha ntaumia
Mwenzio nshakuzimia
Nasema jambo jambo mama
Habari gani nzuri sana
Ukiniacha ntaumia
Mwenzio nshakuzimia

Without you
Without you
Love me o I can't be
Without you
Without you
No steve rnb
Without you
Without you
Love me o I can't be
Without you
Without you
No steve rnb

closer by Vee

Verse 1:
Let me ask you a question,
What would it take for me to get your attention.
You're my kinda guy and I think you're fly,
Your shoe game alright, prolly kick it for a while.
I kinda like your style,
But most of all your smile.
I saw you on facebook so I know how your face look.
... Relationship status is single,
Ready to mingle.

Bridge:
Waulize washkaji ninashindwa kunywa maji inakuwa sana kazi, haujui.
Najaribu kuhifadhi chozi langu kama maji inakuwa sana kazi, haujui. x2

Chorus:
I wanna get you closer, closer, closer, closer to me.
Closer, Closer, Closer, Closer to me x 3

Verse 2
So I try to catch your wave,
And look for you at every rave,
It's almost addictive and slightly submissive,
Not usually how I behave.
I kinda like your style,
But most of all your smile.
I'm done catching feelings its time for the dealing,
My heart is now willing, Yeeeeaaah!

Bridge:
Waulize washkaji ninashindwa kunywa maji inakuwa sana kazi, haujui.
Najaribu kuhifadhi chozi langu kama maji inakuwa sana kazi, haujui. x2

Chorus:
I wanna get you closer, closer, closer, closer to me.
Closer, Closer, Closer, Closer to me x 3

Baby please come a little closer to me you're the air I breathe.
Honestly - ay ay ay ay ay
It's been a while I've been longing this feeling.
Nataka uwe wangu wangu niishe nawe siku za maisha yangu.
I just wanna wake up every morning to your beautiful kiss,
And get you closer.

Chorus:
I wanna get you closer ( Closer baby, into your heart) closer, closer ( I wanna make you feel so good) closer to me.
Closer, Closer (hold you closer, closer to me now) Closer, Closer ( Come a little closer ama show you something baby)

Closer I'm talking close aah
I wanna feel your heartbeat baby.
Close enough so I can taste u now ah ah ah ah
Closer baby, I wanna have you closer, closer, closer to me.

Fades Out
Kwenye track hii ya Hermy B
Thanks

wazo la leo by Staminah ft Fid Q


Intro...
U know what majani?? Nice to meet you Homie
Its MORO Town Baby,,, SHOROBWENZI

Verse 1. (Stamina)
Elimika Nyangema, maisha hayaendeshwi na nguo
Pesa ni vazi la mgema, haliwezi kuwa na mpasuo
Vaa uaminifu,tupa boksi la kondomu
Hip hop haijengwi na bifu,underground usijaze fomu
Maisha ni kujipanga, mganga usigawe irizi
Viongozi msizuie ganja, huku mnachukua ushuru wa rizz
Ridhiki ina kamba, ivute ili ikupe noti
Mkulima rudi shamba,dec mbegu siku hizi hazioti
Maisha njia panda,mtembezi chagua pa kwenda
Uchumi vazi la bwanga,ukishuka uvishe suspenda
Shiba kwa nia,ukiwa mlafi wa malengo
Usikufuru we shukuru ukifaulu kila tendo
Punguza pupa,mpendaji uingie ndoani
Mapenzi yamevaa bukta,uswazi mapaja hadharani
Usilale kijinga,kwenye kitanda cha ushamba
Unaweza kuwa shabiki wa samba,na ukaishi mwembe yanga

Chorus. (Fid Q)
Hiki kijiko unachokiona,baada ya kula kwa mkono
Ndomu usiyoiona,mpaka ukishafanya ngono
Neno la kuponya,lilokosa mdomo
Na hili bonge la ngoma,kwenu kwangu ni kama somo
{Hilo ndo wazo la leo}-inshu usingizi wa furaha,mzinzi jenga kibanda cha angaza utoe nasaha.
{hilo ndo wazo la leo}-usiishi kwa vikwazo,weka wazo kwenye vyanzo vyako-{hilo ndo wazo}

Verse 2. (Stamina)
Underground panga tenzi,ustar hauji kwa promo
Hakuna tajiri wa mapenzi,kapuku punguza ngono
Bora uitwe mfalme jua,kwenye utawala wa kishamba
Mapenzi yakikusumbua,tafuta daktari wa kitanga
Vazi unaloishi,mwenyezi yeye ndio disegner
Shetani akikushawishi, mvute kwake kama dayna
Dunia duara,jitahidi uizunguke
Mla bata starehe hasara,,wekeza hadhi isishuke
Huna undugu na bakhersa,niaje aje unakula unga
Mateja wanahitaji sensa,taifa la kesho linavunda
Dogo jifunze,heshima sio upaparazi
Mwambie na dada ajitunze,mlango wake asiuache wazi
Kama unajijua ni mchoyo,basi usingoje kupewa
Tafuta pesa kwa moyo,sio kwa ushindi wa ngekewa
Sharo mpe salamu,the great braza kanumba
Mwambie bongo sio tamu,na lulu bado wamemfunga


Chorus (fid Q)
Hiki kijiko unachokiona,baada ya kula kwa mkono
Ndomu usiyoiona,mpaka ukishafanya ngono
Neno la kuponya,lilokosa mdomo
Na hili bonge la ngoma,kwenu kwangu ni kama somo
{Hilo ndo wazo la leo}-inshu usingizi wa furaha,mzinzi jenga kibanda cha angaza utoe nasaha.
{hilo ndo wazo la leo}-usiishi kwa vikwazo,weka wazo kwenye vyanzo vyako-{hilo ndo wazo}


Verse 3. (Stamina)
Utamu wa ndafu ya harusi,sio wa ndoa we kilaza
Mbuzi atabaki mbuzi,hata mle hadi mkasaza
Nchi tayari imekonda,mwananchi tafuta ulaji
Life ngumu hadi omba omba,kidonda anafanya mtaji
ukipata mazuri,jipange kuikwepa hasara
kijana vazi la msuli,haliwezi kukuvisha busara
ukiishi kwa hisia,kila stone litakubanza
cha msingi ni kuweka nia,ujivue kuwa mtanza
kata ya kijiji,haibebi maji ya maendeleo
katibu tunza mkwiji,msuli ukishuka kimeo
uchumi umeshika tama,kwenye shavu la mlanguzi
raia usilaumu chama,shiriki kwenye uchaguzi
unaweza ukavaa kinga,ila ukafa kwa uaminifu
mzinzi usigawe ujinga,sambaza ujumbe wasifu
hakuna snitch kama pesa,ukiwa nae fanya vya maana
akiondoka atakutesa,utamsaka usiku na mchana


Chorus. (Fid Q)
Hiki kijiko unachokiona,baada ya kula kwa mkono
Ndomu usiyoiona,mpaka ukishafanya ngono
Neno la kuponya,lilokosa mdomo
Na hili bonge la ngoma,kwenu kwangu ni kama somo
{Hilo ndo wazo la leo}-inshu usingizi wa furaha,mzinzi jenga kibanda cha angaza utoe nasaha.
{hilo ndo wazo la leo}-usiishi kwa vikwazo,weka wazo kwenye vyanzo vyako-{hilo ndo wazo}