roho by fid q ft christian bella

(VERSE 1:FID Q)
Nilipommiss Hakutokea, ili kunigea kiss au kuni-hug/
Hakuni-care huyu binti, aliendelea kunimwaga/
Sijawahi penda kama hivi lakini mapenzi yakaniditch/
Nilisurvive vipi sikumuita 1st LOVE B@#$?/
Ninahisi.. nilipata vibe ya kuipa truth a facelift/
‘Haupati love bila michuzi hauna cash Fid ‘/
Nikakesha ndani ya booth.. HUYU NA YULE ikawa 1st hit/
Show kila mkoa haikosi groupie kwa guest list/
Life ikawa poa.. lakini u-Playa siuwezi Fid/
Sikufichi inaboa ile mbaya kuvaa jezi nyingi/
plus.. hawara anapasha kitanda moto/
Na haifanyi upweke ukaniacha kiasi cha kumganda huyu mtoto/
Na kuimba mahaba niue.. with a smile on my face/
Haijalishi kama ana uzuri wa kumturn hadi Gay straight/
Mapenzi ni kama ‘ ligi ya mbuzi ‘ Striker anaweza potea/
Wengi wanawa-cheat na kuwaudhi wachache wanao-Play fair/


CHORUS ( CHRISTIAN BELLA )
Mapenzi ni matamu lakini ninahofia kuumizwa moyo/
Nashindwa kujaribu.. roho inaniuma/
roho inaniuma x 5

BRIDGE ( CHRISTIAN BELLA )
Ninahofia.. kuumizwa moyo, bila hata kupewa pole/
dudu liumalo, kwanini nilipe kidole?/
ooh moyo.. roho inaniuma mie/

VERSE2 ( FID Q)
Dear hustle.. ni wazi penzi lako ni safi na huniacha happy kila wakati kubaki nawe ni kisamati baby/
Kipi sipati? ninahiti kwa chati.. waliotashtiti mziki haunilipi.. wako wapi? waniache.. mkate nipate baby/
Money makes a man.. lakini love ni hustle/
You know who you love but you dont know who love’s you/
Wakuniletea Baraka kama Michelle/
Na Tabasamu zaidi ya wafungua mlango wa 5 star hotel/
Dawa sio chungu ndugu.. chungu maradhi/
Hakyamungu tena.. chuki humchoma anayeihifadhi/
Kumsahau siwezi.. ni sawa na kumkumbuka nisiyemjua/
Mapenzi yalifanya nikaumbuka.. ninachoshukuru hayakuniua


CHORUS ( CHRISTIAN BELLA )
Mapenzi ni matamu lakini ninahofia kuumizwa moyo/
Nashindwa kujaribu.. roho inaniuma/
roho inaniuma x 5

No comments:

Post a Comment