Manchester united mdebwedo

hatimaye liverpool fc imeibuka kidedea kwa kuitandika goli 3 kwa 1 timu ya manchester united......Kuyt katumbukiza goli zote 3 ..n kwa upande wa man utd chicharito amewapa kidooogo amani ya moyo man utd...

neno la leo:

sio wote wanaolia kwa uchungu msibani walikuwa wanampenda sana marehemu hivyo wana huzuni hawatakua nae tena,wengine wanalilia madeni yao waliomkopesha marehemu............''neno la kev sio sheria''

kiduchu tu...kama mimi vile on 3rd.march...

k.simple moja moja......kimara maskani kwenyewe..

me n liverpool damu damu

one of ma first work...in 2006

ucku flani nje ya ktanda na ndani ya jezi ya the kop


.......mo to come..me,family,friends and world in generally...kip in tuch...3.3.11