Manchester united mdebwedo

hatimaye liverpool fc imeibuka kidedea kwa kuitandika goli 3 kwa 1 timu ya manchester united......Kuyt katumbukiza goli zote 3 ..n kwa upande wa man utd chicharito amewapa kidooogo amani ya moyo man utd...

neno la leo:

sio wote wanaolia kwa uchungu msibani walikuwa wanampenda sana marehemu hivyo wana huzuni hawatakua nae tena,wengine wanalilia madeni yao waliomkopesha marehemu............''neno la kev sio sheria''

happy birthday to me..

hii picha ilipigwa mwaka 1992.....katika ukumbi wa vantella inn uliopo Iringa mjini...ulkuwa karbu kabsa na nyumba ambayo wazazi wangu walkuwa wakiishi kipindi kile...hiyo nyumba ilkuwa inajulkana kama castagnola villa....jina la hotel maarufu sana zilizopo ulaya.......

...okey ni siku yangu ya kuzaliwa leo tarehe 03 mwezi wa 03......namshukuru mungu,mama,baba,ma yung broz...(bingo,evancwe na kaka bunny) fo being wit me all the way,marehemu aunt yangu,,(Schola ..R.I.P aunt)....also ma friends mwikombe,nelly,asha,blandina,j6,salima,jak melong,JULLY,,,,kumbukumbu pre xul(2002),oysterbay pre xul(2002),old kichangani pre xul(2002),st.Mark's sec xul woooote,msangani hi xul wooote,Benjamin w.mkapa hi xul(2009),(2010) tia's member,ngome street,k'simple's,kino blok 41....daaah jamani ni weeengi mno yaani unnumbered, cwez andka wote..am so sor  bt nawa'apreciate na nawapenda to the maxmum..in short marafiki zangu wote wa mahali popote mlipo hapa duniani thanx a lot n lov yu...may God blec yu all ...Mungu nibariki mimi na kazi ya mikono,miguu,akili,mdomo na pua yangu kwa mwaka wangu mpya(23)..amen...................at last happy birthday kwa wale woooote mliozaliwa leo the best 3.3

kiduchu tu...kama mimi vile on 3rd.march...

k.simple moja moja......kimara maskani kwenyewe..

me n liverpool damu damu

one of ma first work...in 2006

ucku flani nje ya ktanda na ndani ya jezi ya the kop


.......mo to come..me,family,friends and world in generally...kip in tuch...3.3.11