KUPANDA NA KUSHUKA by NIKKI MBISHI FEAT ONE,SONGA&LADY JAYDEE

Tamadunimuzik.....Yeah
Combination sounds....
Combinenga.....

Chorus:JD
Siku ikifika tukubali,tuwe macho
Kupanda na kushuka zote hali,tuwe macho x2

Verse 1:Nikki Mbishi
Vaa wema vua shari safari hatua,
Round hii mbishi niko gengeni na jua kali,
Siuzi nyanya vitunguu wala pilipili hoho,
Too little too late ushachelewa Jojo,
Wakiniona mi nashine wanachonga,
Ndo maana kila line wanaponda,
Vipi nikisign na Anaconda,
Busy kwenye show mi nashow biz na kwa flow hizi si ndo time ya kusonga,
Hahahahaaa!!! hii ni hit ya kubaki,
Mwenyei kaniumba fit ndo maana lift sitaki,
Nabang kila session mpaka morning groove,
Eti niko chini hunioni juu?,Mi ni leader wa performing crew,
Nizungue ubaki mweupe design ya hair style ya Monikuu,
Haah Nikki Mbishi Songa One The Incredible,
Komando Yosso ni mzozo ngoma ni terrible,
Karibuni..

Chorus:JD
Siku ikifika tukubali,tuwe macho
Kupanda na kushuka zote hali,tuwe macho x2

Verse 2:One the inredible
Wanasema wanapenda vile mi hubonga kila kitu,
Rap sonara madini huwa nachonga kila siku,
Sina fleva za kibongo naonja kila kitu,
Bila woga wanaloga niwe kioja kila siku,
Kama unaipenda push play ama itose,
Everyday iwe kush nei ama okayyy,
Wazushi msichoke naghushi ninyooshe,
Nipe changamoto sio kila nikigusa tu okayyy
Kuna watu wangependa nigote kwenye misele,
Iwe kwere kote Moko nisote nisiende mbele,
Nichoke niwe kero kokote au niende selo nisitoke,
Ila msiogope nipo milele,
Kwani muumba ndo mpaji kutunga kipaji,
Niko macho wanataka kuniua niwe mtaji,
Niko Anaconda na hii ndo ile siku niko mcaho,
Ila wengi watakesha kila siku..

Chorus:JD
Siku ikifika tukubali,tuwe macho
Kupanda na kushuka zote hali,tuwe macho x2

Verse 3:Songa
Chungu kichungu natema sumu kisumu,
Hali ni mgumu je utabeba dumu kidumu,
Na kidumu mpaka wasaa utapotambaa,
Na kushangaa kwamba kufika humu ni ngumu,
Ukicheck chance hola,unawaza utaishi vipi endapo majambazi wakipora,
Basi bora,kuwa na wasi kama polisi ni sawa na wazazi wenye bastola,
Heeey.. na bado utakosa njozi,kazi hakuna utanuna utashona gozi,
Niite Songa endapo utakosa pozi,
Au nyong'onyea zaidi ya mgonjwa aliyekosa dozi,
We si kiongozi...ndio,
Mbona maji hakuna wananchi mtaani wanaoga chozi....
(kicheko]

Chorus:JD
Siku ikifika tukubali,tuwe macho
Kupanda na kushuka zote hali,tuwe macho x2

NISEME BY YAMOTO BAND




(Intro)
Hasara baba Yule,sadick baba Yule,Shukuru baba Yule
Baba baba uyo
Baba baba uyo

(verse1)
Ale baba uyo katoka kazini zawadi mkononi kaleta na ungo
Ale baba uyo katoka kazini zawadi mkononi kaleta na ungo
Tusipate tabu ya kupeta mchele
Ale baba umerudi nipe soda nikaringishe uko nje
Amina Salai waringie na mimi niringe nitambe
Ila baba mama na mjomba jitu wamepigana
wamemwaga maji kitandani kwako na shuka wamechana
Ila baba mama na mjomba jitu leo wamepigana
wamemwaga maji kitandani kwako na shuka wamechana
nililia sana aah ooh
Dad kwan shabani mwanao 
analaliaga kifua cha mama kwani na yule mwanao
acha anko mangi Yule wa banda la video 
anapenda kujaga usiku kwani Yule ni nduguyo
tena dad ukitoka na mangi anaingia 
ananiletea bazoka na pesa ya kutumia
ila shabani simpendi  hapendi kunipa hela
kazi kumpiga mama na pesa anachukua
wanakaa sisi wakionana kwenye mabano wanachofanya 
atanipiga nikikwambia alishasema
wanakaa sisi wakionana kwenye mabano wanachofanya 
atanipiga nikikwambia alishasema mama

(Chorus)
niseme nisiseme sema ooh niseme ooh
niseme nisiseme sema aah niseme ooh
niseme nisiseme sema ooh niseme ooh
niseme nisiseme sema aah niseme ooh

(Verse2)
heshima kwako baba vipi Maputo na pipi umeniletea
dukulanikaba unakotoka ni dhiki kututafutia ooh baba yoo
unapokwenda kazini uja mgeni mfupi kimo 
ana madevu kama osama sijui nani ila bishoo
anakujaga nyumban kufuata nini mbilikimo
Mama kaniambia nimuite anko Jon
bora leo baba uko mama uko me nataka niongee
kuna jambo lanitatizaga pa nyuma ukiondoka baba
bora leo baba uko mama uko me nataka niongee
kuna jambo lanitatizaga pa nyuma ukiondoka baba
mwenzako mama ananitumaga chakula nipeleke gengeni
pale  kwa  mzee kutafuna hapa kati sijui kuna jambo gani
siku nyinginwe natumwaga na zaga kama nyanya na vitunguu
siku nyingine hadi pesa napewaga nipeleke kwa mama ooh
siku nyinginwe napewaga na zaga kama nyanya na vitunguu
siku nyingine na pesa napewaga nipeleke kwa mama ooh


(Chorus)
niseme nisiseme sema ooh niseme ooh
niseme nisiseme sema aah niseme ooh
niseme nisiseme sema ooh niseme ooh
niseme nisiseme sema aah niseme ooh

Beat plays till fade…………..


bongo hiphop by Fid Q ft Majani

VERSE 1:
Ulianza wewe.. wakaja waimbaji na wabana pua
Wale mwewe.. Franga wawindaji wakatusua
Kwakuwa.. wanajua mshikaji unaishi kwa miko
na zako itikadi.. ziko kimziki na sio mshiko
Kama haileti hela..basi haimake sense.. no sweat kisela mie nikakomaa tu na lako penzi
Sikusound garbage au kuchange suddenly..
Mie ni mjeshi so naweza fight savagely
Hiphop ya ukweli.. ukapigwa radioni/sometimes malaika wa heri nao hutembelea motoni
Penzi ni kipofu na anayemuona halioni
sikuwa na hofu.. mama alinipenda tangu nikiwa tumboni
I started young.. I made my mother's womb a drum
My umblirical chord a guitar.. muhoji aliyenizaa
BONGOFLAVA mzuri kiasi.. hiphop we ndo my queen
my 1st.. my last & everything in betweenjj
 
Chorus:
Mimi na wewe.. tangu long time
Kabla ya hizi pesa kabla haijaja hii Fame
Cha ajabu haujabadilika na upo kwenye mainstream… BONGO HIPHOP X2
 

VERSE 2:
Kama kukupenda wewe ni dhambi.. basi shetani yu nami
na kamwe sintonyea kambi ili niwabambe dukani
For a million little pieces naweza kumcon Oprah ka James Frey
Na watasema sitishi wakati wanaogopa nisitokee
Waufuate mkumbo huu wa wasomi.. wa midundo na mistari
ukiwa na nyundo mkononi.. ni rahisi kupigilia msumari
Sio tu bongo.. mpaka Ng'ambo hakuna uhuru wa habari
 kuna uhuru wa mwenye chombo.. mitambo na mwenye mali
Kujifanya hawasikii.. haiwasaidii.. wala haiwajengi
unachosema ni.. kamwe IPP haitompinga Mengi
Unawakumbusha wazazi wa uswazi.. chati ya uteja imeingia
na Mapusha wanauza drugs ili walishe familia
Mbaya.. kuhifadhi fuvu la mtu ndani ya kabati
mbaya zaidi ni kuwa na ndugu.. halafu kichwa maji
Amka bongo lala.. hiphop sio ufala.. ni lazima uifate
Uaminifu ni kama mshahara.. fanya kazi ili uupate

Chorus:
Mimi na wewe.. tangu long time
Kabla ya hizi pesa kabla haijaja hii Fame
Cha ajabu haujabadilika na upo kwenye mainstream… BONGO HIPHOP X2

VERSE 3:
Mapenzi ya sikuhizi.. bila kugombana yanakua hayana stimu
Pia ni ruksa kushikana lakini sio kushikiana simu
Inanipa wazimu.. kusikia kimwana haujaachana na Hasheem
Na bado mnawasiliana..una mpango wa kuchanganya timu?
Nakupenda hiphop.. ndo maana ninarap ile mbaya
Naspit fire bila hennessy.. au kula kaya
I want my art to be my legacy.. kabla sijaretire.. waanze nigwaya hawa enemies.. anyways NI HAYO TU
Beef huletwa na wivu.. na wivu sio hiphop

walalahoi by Izzo business


Intro:
Walala hoi…
Walala hoi…
Walala hoi

Chorus:
Walala hoi sisi ndio Walala hoi (Walala hoi) x 4
moja haikai mbili haikai mbaya wako ni jirani babu (Walala hoi) x 4

Verse 1:
Tunaunga unga maisha yetu ni safari bado tunataabika (Walala hoi)
tunakomaa maisha ni safari imani ipo bado sisi mbali tutafika (Walala hoi)
tumazaliwa kwenye njaa njaa imetulea sisi home mali hatujakuta (Walala hoi)
mama Yanga baba Simba upinzani babu ndani yani kila dakika (Walala hoi)
kupinda ni sheria usishangae huku kwetu mbona imeshazoeleka (Walala hoi)
hatujasoma dili chafu leta pesa babu hata iwe dili ya kuteka (Walala hoi)
 tunaonekana hatuna maana tunatengwa kona zote twa dharaulika
majina yote sisi Vidampa wapumbavu wezi majambazi yote wametupachika 
Rhumba kali wewe utadata
soma pata ondoa shaka
faster umenipata chafu tatu maisha karata
maisha bondi kukosa na kupata
jela nyummbani hakuna kuogopa sheli tunamoka
sisi machizi kama kaboka
uchungu wa meno na kucha kamuulize Ulimbok

Chorus:
Walala hoi sisi ndio Walala hoi (Walala hoi) x 4
moja haikai mbili haikai mbaya wako ni jirani babu (Walala hoi) x 4

Verse 2:
Roba za mbao mtaani ni nani kaleta? (Walala hoi)
kulogana logana tu bila sababu mtaani? (Walala hoi) 
majungu fitina unafiki umbea na chuki? (Walala hoi) 
kazi ngumu tunapigika lakini ujira ni mdogo babu (Walala hoi)
toa kazi tumalize hatulazi kitu hapa sisi mwendo ni wa CHAP-CHAP
kwenye Bar hatukai zetu vilabuni yes sisi mwendo ni MATAPU-TAPU 
bila sababu tunakudiss tukijua umetuzidi sisi wala hatukukwepeshi
chuki roho mbaya jadi yetu Mungu hapendi lakini sisi tumerithi
kila time tupo simple watu wa Mingle mawazo yetu kwenye Bingo dr.Kingo ngoma zetu ni Segere na Msondo
sisi ndio wachezeshaji tuite Redondo
Rest in Peace James mtoto wa Dandu 
hii game bado kwako japo upo kando 
big brother the Chase muulize Nando
kama Zay-B vile watu wapo gado

Chorus:
Walala hoi sisi ndio Walala hoi (Walala hoi) x 4
moja haikai mbili haikai mbaya wako ni jirani babu (Walala hoi) x4

Outro:
Walala hoi…
Walala hoi…
Walala hoi…
Walala hoi x 3…
hoi hoi hoi Walala …
hoi hoi hoi Walala…
hoi hoi hoi Walala.

mpaka kuche by Chidi Benz ft A.Y and Diamond Platinum

:Diamond
Guantalamelaah!
Ohh Guantalamelaah!
Guantalamelaa

:Chidi
Mzee mzima, who got the key to my beamer!
Leo mpaka mama pima amezima
Kitu kikali, makali wembe vikali
Kemikali mwaga tembe
Bamzigi bamzigi yeah
Chidi benz dully sykes la familia
Mikono hewani watu yeah ah eh
Baishoo cheza kibega wakatae
I got ki'ching got kijuu got ki whoo haaa!
Ka kininja naruka nakutua
Ile michezo tunaitambua, ila tunauchubua
Tunaendelea na mbele inakua
We wacha kuzingua, tutakufunua
Mamii achana nao , nanikamate nizungushe!

Ahh leo yaani mpaka ususe, mpaka ususe
Hainaga kulala
Na tena yaani
Mpaka kuche mpaka kuche Tandale na Ilala

Ahh leo yaani mpaka ususe, mpaka ususe
Hainaga kulala
Na tena yaani
Mpaka kuche mpaka kuche Tandale na Ilala.