ni amini lyrics by Ditto


Intro…
ahhh!! aiyaaaaaaaaa
ahhh!! aiyaaaaaaaaa
ahhh!! aiyaaaaaaaa
haaaaaa aaaaa x 2

Verse 1
Uhitaji elimu kubwa Kutambua
Mapenzi Yamekuangukia
Na Hakuna atayainua
Kuyatoa Viganjani Mwako Ohhhhhh
mhhhh ohhhh ouhoooo ohooo
Upaswi Kuhofia Peke Yako Unanijua
Hakika Nalinda Usihofu Utochukuliwa
Nasali Kila Siku Ipitayo
Tufani tuepukane Nayoooooo
ohhhhhhhooooooooooooo

Chorus
Niamini Nataka Uwe Na Mimi
Watu Wenye Fitina Wanaleta Majungu Uachane Na Mimi
Hivi Kwa Nini Utaki Kuwa Na Mimi
Nyoyo Ziwe Pamija Mpaka Siku Ya Mwisho
uanze Wewe Au Mimi X2

Verse 2
Ohooo ohooo ouohooooooo
Yapo Mazuri Yangu
Yapo Mabaya Pia
Lakini Mazuri Na Mabaya Yakiungana Yanamaanisha
Kuna Binadamu Kwenye Dunia
Bileke Bigende Mwaaaaaaaa!!
Duniani Kwa Kupatia
Duniani Pa Kukoseaaa
Muhimu Kusamehana
Na Maisha Yaendelea
Duniani Kwa Kupatia
Duniani Pa Kukoseaaa
Muhimu Kusamehana
Na Maisha Yaendeleaaaaaaaaaaa

Chorus
Niamini Nataka Uwe Na Mimi
Watu Wenye Fitina Wanaleta Majungu Uachane Na Mimi
Hivi Kwa Nini Utaki Kuwa Na Mimi
Nyoyo Ziwe Pamija Mpaka Siku Ya Mwisho
uanze Wewe Au Mimi X2

upepo lyrics by Recho



upepo wangu wakupuliza wewe, mwenye joto kali
usijaribu kuvaa sweta, utaongeza ukali
nachotaka mimi ni kuwa na wewe, naomba unielewe
uhh baby

upepo wangu wakupuliza wewe, mwenye joto kali
usijaribu kuvaa sweta, utaongeza ukali
nachotaka ni mimi kuwa na wewe, naomba unielewe
uhh baby

Moyo unaniuma mpaka nasema, mpaka najihisi sio mzima
nafsi inaniuma siishi kwa wema, mpaka najihisi sio mzima
Unaniumiza, unaniliza
Unaniumiza, mpaka najihisi kwamba sio mzima

mbona umen'goa ng'oa ng'oa , (soli, soli ya kiatu)
mbona umen'goa ng'oa ng'oa , (soli, soli ya kiatu)
Ona umekimbia, umejichoma, (aah umejichoma)
Ona umekimbia, umejichoma, (aah umejichoma)
Ona kwa aibu, umejichoma, (aah umejichoma)
Ona umekimbia, umejichoma, (aah umejichoma)

ai yeah yeah yeah yeah

umeniachia vidonda moyoni, vitapona lini
niwe tabibu mwenye tiba yakini, kwa yangu afueni
nnachotaka mimi ni kuwa na wewe, naomba unielewe
uhh baby

umeniachia vidonda moyoni, vitapona lini
niwe tabibu mwenye tiba yakini, kwa yangu afueni
nnachotaka mimi ni kuwa na wewe, naomba unielewe yeah
uhh baby

Moyo unaniuma mpaka nasema, mpaka najihisi sio mzima
nafsi inaniuma siishi kwa wema, mpaka najihisi sio mzima
Unaniumiza, unaniliza
Unaniumiza, mpaka najihisi kwamba sio mzima

mbona umen'goa ng'oa ng'oa , (soli, soli ya kiatu)
mbona umen'goa ng'oa ng'oa , (soli, soli ya kiatu)
Ona umekimbia, umejichoma, (aah umejichoma)
Ona umekimbia, umejichoma, (aah umejichoma)
Ona kwa aibu, umejichoma, (aah umejichoma)
Ona umekimbia, umejichoma, (aah umejichoma)

leka dutigite lyrics by Kigoma all stars

Kigomaaa aee kigoma weeh tunayo furaha leka dutigite
Tunayo furaha kuwa wazawa wa kigoma leka dutigite wishala mwineke
Tunayo furaha kuwa wazawa wa kigoma leka dutigite wishala mwineke
Tunayo furaha kuwa wazawa wa kigoma leka dutigite wishala mwineke

(ommy dimpoz)
K k k k town kasulu ndipo baba alipozaliwa ooh japo nipo Dar 
Naupenda mkoa wangu kk kigoma kama vi
paji tumejaliwa
Kaseja na linya fahari mkoa wangu
Amawesele hivilibwani hivikunakadwumba (pozi kwa pozi)
Kigoma mkoa wangu ndio fahari yangu

Ardhi yenye rutuba ya kustawisha chelewa
Gombe na mahali wenye sokwe wasiolewa
Kigoma inapendeza sanaaa
Tunashukuru hivi ndio ninavosema
Nina furaha mbuga zetu
Nina furaha mafuta yetu
Ninafurahi eei ninafuraha

Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke

(chege)
Kigoma ndipo nilipotoka nimekuja dar kutafuta
Siku zote ntawakumbuka
Najivunia na sitajuta (nakumbuka)
Nakumbuka mama alisema ( nakumbuka)
mkataa kwao mtumwa dutigite

Kigoma inatambaa Tanganyika inabamba
Tufurahi tusherehekee pamoja
Twajivunia kigoma
Tunamshukuru maulana

Kigoma lango la Tanzania
Bandari kwa kahawa shaba kwa matania
Amani kwa wazawa kasulu kibondo ubunza

(baba levo)
Avandu bakundi vikogwaaa
Ziwa refu tunalo
na madini tunayo
Tuna mbuga za wanyama kama gombe na mahale
Ardhi safi tunayo na vipaji tunavyo
Sauti safi tena tamu tamu tamu tamu
Vigelegele na mashumamushamu
Kigoma yetu mambo bambambam

Meli ya lyemba wanasiasa mashujaa
Watetezi wa taifa kigoma tunatoka wote mastaa
Miss Tanzania K-lynn
Kaseba champion

leka dutigite wishala mwineke
Tunayo furaha kuwa wazawa wa kigoma leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke

Wese na ugali wa mhogo aakha wa muhogo
Ndivyo vimenifanya niwe diamond
Kwa vitenge na mashuka na chumvi kidog
Tena na muda nikawa mfalme
tena kigoma ya sasa sio kama ya zamani kigoma ya leo imesonga mbele
tena kigoma ya sasa sio kama ya zamani kasulu ya leo imesonga mbele

Amani na upendo ndio lugha ya kigoma
Kigoma ishaghoma kigoma yaenda mbele
Rangi yako ya kijani upepo wako ni mwanana
Kigoma nakupenda kigoma unanipenda

Amani itawale kigoma
amani itimie kigoma
amani inyumba kigoma shigoma kigoma
Amani itawale kigoma
amani itimie kigoma
amani inyumba kigoma shigoma kigoma

Kigoma shukrani kigoma
Kigoma nyumbani kigoma

Tunayo furaha kuwa wazawa wa kigoma leka dutigite wishala mwineke
Tunayo furaha kuwa wazawa wa kigoma leka dutigite wishala mwineke
Tunayo furaha kuwa wazawa wa kigoma leka dutigite wishala mwineke

Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
…….till fade

hawalali lyrics by Dullayo


Ooh ohh

Waleo wamekuaje mapenzi hayana muelekeo
Waleo wamepoteza dira kwa mapenzi ya kwenye video
Waleo wanaweza wakafanya ukaumia moyoni
Waleo siku hizi hawalali
ooh siku hizi hawalali
ooh siku hizi hawalali
ooh siku hizi hawalali
ooh siku hizi hawalali

Kila kitu kinakwenda kwa mipango mipango ambayo umejipangia mwenyewe
Kila kitu kinakwenda kwa malengo malengo ambayo umejipangia mwenyewe
Chezea mabinti wa mjini wewe utaumia mwenyewe
Chezea mabinti wa mjini wewe itakucost mwenyewe
Siku hizi wenyewe hawalali hawalali wanatafuta salary ooh
Na kama unajua unakitu mwenzangu na mie utapelekwa mbioooo
Chezea mabinti wa mjini wewe utaumia mwenyewe
Chezea mabinti wa mjini wewe itakucost mwenyewe
Hapendwi mtu inapendwa pochi mapenzi yao ni photocopy
Hapendwi mtu inapendwa pochi  aah Waleoo

Waleo wamekuaje mapenzi hayana muelekeo
Waleo wamepoteza dira kwa mapenzi ya kwenye video
Waleo wanaweza wakafanya ukaumia moyoni
Waleo siku hizi hawalali
ooh siku hizi hawalali
ooh siku hizi hawalali
ooh siku hizi hawalali
ooh siku hizi hawalali

siku hizi demu akawa kibega na bwana wawili watatu mpaka wanne
haijalishi siku ya kutoka jumapili jumatatu mpaka jumanne
pia haijalishi umri wake anasoma au hasomii
ety mdogo yeyee utalia mwenyewe
anatoka na vigogo utaumia mwenyewe
wa kwanza wa kumchuna
wa pili anavitafuna
watatu anamkuna
utalia mwenyewe

Chezea mabinti wa mjini wewe utaumia mwenyewe
Chezea mabinti wa mjini wewe itakucost mwenyewe
Siku hizi wenyewe hawalali hawalali wanatafuta salary ooh
Na kama unajua unakitu mwenzangu na mie utapelekwa mbioooo
Chezea mabinti wa mjini wewe utaumia mwenyewe
Chezea mabinti wa mjini wewe itakucost mwenyewe
Hapendwi mtu inapendwa pochi mapenzi yao ni photocopy
Hapendwi mtu inapendwa pochi  aah Waleoo
Waleo wamekuaje mapenzi hayana muelekeo
Waleo wamepoteza dira kwa mapenzi ya kwenye video
Waleo wanaweza wakafanya ukaumia moyoni
Waleo siku hizi hawalali
ooh siku hizi hawalali
ooh siku hizi hawalali
ooh siku hizi hawalali
ooh siku hizi hawalali

mademu lyrics by mpoki ft barnaba


It’s talk of the time classic
Fish crab music lamar
Fish crab representing mpoki barnaba
Fish crab cook out
aaaah
(verse1)
Mwanamke lazima awe na sifa kubwa tatu
Kwanza awe anajiheshimu mtaani
Mbili hodari jikoni
Na tatu mtundu chumbani
Kwa hapa Dar wanawake wamegawanyika katika sehemu kubwa mbili
Wapo wanawake wa  uswahilini na wapo wanawake wa kishua
Hapa ndio patamu
mademu wa temeke hawa wameweka sana usela mbele
maana hata uwanja wa taifa uwa wanaruka ukuta
mademu wa ilala hawa wanapenda sana chips
sijui sababu kwao kila mitaa kwao wanauza chips
ndo maana wengi ni waarabu japo hawana ndugu uarabuni
mademu wa kigogo hawa wengi wanavigimbi
kwasababu ya kupandisha   vilima kwenda visimani kuchota maji
dada zangu wa manzese ukimtongoza tu
atataka muende mkapge picha darajani

(Chorus)
Hiki Tunachokisema si kwa wote kabisa
Kama asilimia mia wao wamefika tisa
Aah ebu acheni kabisa
Aah ebu acheni kabisa


(verse2)
naingia sinza sasa eti wenyewe mnapaita kwa wajanja
mbona hata sijaona ujanja wenu
kwanza mademu wa sinza kwao kuoga mara moja kutokana na shida ya maji
mademu wa kijitonyama nao hivyo hivyo wanapenda starehe kuliko kazi na kuvaa vizuri
ukiwatongoza tu ooh nipangie nyumba upande mzima wakati hawana hata godoro
sasa ndio utajua wimbi la nyuma haliangushi chombo
mademu kwa mtogole kwa bonge gereji somanga na bila kusahau kwa bibi paka
wao hawana hata makuu wanakusubiri kwenye kitchen party hili uwapelekee vyombo
bila kusahau madada zangu wa mwembe chai wanaopenda wenzao wazae hili wawapelekee beseni
wamesahau mzao wenyewe wa binti kondo mbuzi kalamba reli

(Chorus)
Hiki Tunachokisema si kwa wote kabisa
Kama asilimia mia wao wamefika tisa
Aah ebu acheni kabisa
Aah ebu acheni kabisa


(verse3)
sasa tunaingia kwa mademu wa kishua hawa kama huna usafiri ndugu yangu uwezi kuwapata
maana wamezidi kujishembedua muda wote wanahadithiana kuhusu muvi
na kila mtu anajifanya mambo safi kuliko mwenzie
na hata kama hawana deal lazima uwaona mjini
ukiwauliza ooh unasomea nini  me nasomea airticketing mbona hamsomei busticket
ndugu yangu kama uliuza nyumba ya uridhi jiandae kujichimbia kaburi
na hata ukituma vocha ya elfu kumi hawawezi kukujibu
ukimpigia ooh me natizama prison break ngoja na me nkatizame prison clutch
kumbuka huwezi kuhairisha hitma kwa kukosa ndimu
na pesa haitolewi photocopy
nawashangaa sana tena sana hawa amdemu wa kishua
asubui wengi ni weusi na usiku wenakuwa na rangi nyeupe
huwezi amini wanavaa bukta zenye mahips kama magolikipa hili waonekane wanamahips
kidogo ooh coz yes no yes no
huwezi kwenda kwa jirani bila kutokea kwako
na mambo yakienda kombo yaache usiende nayo
mapenzi yana nguvu kuliko breakdown
watanzania kama kocha wa uiengerza alikua anaitwa Fabio kapelobasi
 sisi timu ya taifa tumtafute kocha anaitwa Fabio kibarakashia

(Chorus)
Hiki Tunachokisema si kwa wote kabisa
Kama asilimia mia wao wamefika tisa
Aah ebu acheni kabisa
Aah ebu acheni kabisa



(outro)
eeh watanzania kumbukeni kabisa bado tupo pamoja
hapa unampata mpoki na barnaba kama kawaida bado tupo kwa lamar
ningependa kuwakumbusha kitu kunguru naye ni ndege ila hapandishi abiria

hello lyrics by Prof J ft Dully Sykes

hello
nasema hello, hello
wale wanaocheza nami, ruka juu kama yero kwa mdundo huu, say helllo
kama ngurumo za tsunami hata kama huna jero, basi njoo karibu nami
wale wanaocheza nami, ruka juu kama yero kwa mdundo huu, say helllo
kama ngurumo za tsunami hata kama huna jero, basi njoo karibu nami

hey yoh talk is cheap, mdundo kwa spika
kwetu inaeleweka dawa ya deni kulipa ah
ni new flavor mpaka utamu unamwagika
na leo mambo yanajipa hata kwa beat ya mapipa ah
tushatoboa hii ni international level inakuboa
nakutoa kwenye kambi ya devil
mwenye kisu kikali daima hula nyama
mwenye pesa zaidi daima ndio huonekana
shake baby shake baby wala usijiulize
ni handsome wa ma handsome na Prof. Jizzy
ninauvua shoka mpini unabakia
amani kwa wanaotoka unatoka huyu anaingia
nichumu nikuchumu haina usharo wala ugumu
nipe nikupe nipe nikupe bila kero
juu kwa juu ruka kama masai yero
chini kwa chini komaa kama taxi vero

hello, hello
wale wanaocheza nami, ruka juu kama yero kwa mdundo huu, say helllo
kama ngurumo za tsunami hata kama huna jero, basi njoo karibu nami
wale wanaocheza nami, ruka juu kama yero kwa mdundo huu, say helllo
kama ngurumo za tsunami hata kama huna jero, basi njoo karibu nami

michakato ipo sawa watu wote wanapagawa
nipo macho 24hours kama Jack Bauer
watu wapo high utadhani wana mabawa
unapotaka kubanana banana kisawasawa
ruksa kukata kama una kiuno chepesi
nini marathon bata hata zengwe haina kesi
lord of mercy give me power give me strength
we live toghether but we die separate
usiende macho juu we jichanganye udate
gusa unase, hustle upate ndo maana yake
mikono juu tunese kama tiara
and shake what your momma gave you kama ciara

hello, hello
wale wanaocheza nami, ruka juu kama yero kwa mdundo huu, say helllo
kama ngurumo za tsunami hata kama huna jero, basi njoo karibu nami
wale wanaocheza nami, ruka juu kama yero kwa mdundo huu, say helllo
kama ngurumo za tsunami hata kama huna jero, basi njoo karibu nami

huwa siongei sana mara nyingi nipo counter
ninaposimama mimi nyangema wote wanafyata
jipe raha mpaka nafsi inatakata
na mikito na midundo ya ukweli thats what im after
usinibip kama kipo kipo washa
ninapo'keep peace nipo deep kama rasta
side to side now back your force
NASA we put them hands in the air
here we go

hello, hello
wale wanaocheza nami, ruka juu kama yero kwa mdundo huu, say helllo
kama ngurumo za tsunami hata kama huna jero, basi njoo karibu nami
wale wanaocheza nami, ruka juu kama yero kwa mdundo huu, say helllo
kama ngurumo za tsunami hata kama huna jero, basi njoo karibu nami

za moyoni lyrics by Dogo Janja ft PNC

wala mimi sina hila, ila nafsi yangu inanituma kusema ya moyoni
wala sina kisasi, namshukuru mola huko nilikotoka na sasa nilipofika
kitanashati haswa, natiririsha ngoma
shukrani pia ziende kwa Ustadhi Juma Musoma
kitanashati haswa, nakinukisha pale
shukrani pia ziende kwa Ustadhi Juma Musoma

Verse zangu mi naziacha mungu atawasomea
Jasho langu kwenye shamba lao, walifanya Mbolea
Hawakujali nilikotokea, shida zajibebea
wakanifunga akili huku miguu inatembea
Mama akasema mwanangu kaza msuli
Ukitaka zikwa na watu vua koti la ukiburi
Dawa ya Jeuri kiburi, mimi sio mzuri
Pesa ndio kivuli nalea mapenzi kama hujui
kudai haki yangu kumejenga uadui
napenda 'madugu' zangu na ndugu siwabagui
mtanizika na simjui, ntapoelekea asubuhi
nani mwenye upendo wa ukweli hata nikishuka haupungui
Bado nasukuma kete, weka nami niweke
chomeka nichomeke ngumi dabo na teke
kwenye maseke ya makeke
mfukoni mambo bado kama Chege wa Temeke!

wala mimi sina hila, ila nafsi yangu inanituma kusema ya moyoni
wala sina kisasi, namshukuru mola huko nilikotoka na sasa nilipofika
kitanashati haswa, natiririsha ngoma
shukrani pia ziende kwa Ustadhi Juma Musoma
kitanashati haswa, nakinukisha pale
shukrani pia ziende kwa Ustadhi Juma Musoma

Naamua kukaa kimya, ila nina domo la kaya
Hata we niliyekuamini, leo unanisema vibaya
stoneshi kidonda binadamu ka' kinyonga
ukitaka kuishi wanavyotaka, he utakonda
wako waliofurahi, wakasema naenda kuteseka
kumbe kwangu bora maana hata nikilala kwenye mkeka
siwezi kukataa nimetoka kwenye njaa
kama hakuna manufaa siwezi ng'ang'ania Dar
Jasho nililomwaga halijachonga hata kitanda
watu wanaendesha magari na kumiliki vinanda
Inshallah, Mungu ndiye anayepanga
Machungu naya'rewind kwenye mind kama kanda
Nashukuru asubuhi kumekucha kwenye mwanga
Mungu ananilinda ananikinga na Majanga
Namuomba safari hii isiishie njiani
waje sema maisha yangu bila wao haiwezekani

wala mimi sina hila, ila nafsi yangu inanituma kusema ya moyoni
wala sina kisasi, namshukuru mola huko nilikotoka na sasa nilipofika
kitanashati haswa, natiririsha ngoma
shukrani pia ziende kwa Ustadhi Juma Musoma
kitanashati haswa, nakinukisha pale
shukrani pia ziende kwa Ustadhi Juma Musoma

Mziki kwenye ala, nawasukuma kama mpira
kama nafunga kushoto kumbe kulia..Bila!
Ndege mjanja tundu mlinzi tatu..Bila!
Janjaro bado yupo kama desturi na Mila

Right!
Niko makini, kwenye game sitong'oka
Japo kuna wanga wanaotaka kuzima nyota
kuna wanaodiriki, hata fala mi kuniita
ila mridi nipinde, wao wabaki wakipeta
ila nimeshtuka, siri ndo imefichuka
mwanzo walipoona fani na sasa wapo jukwaani
walo.sema ni uhuni watu imewaingia damuni
wengine bila haya

wala mimi sina hila, ila nafsi yangu inanituma kusema ya moyoni
wala sina kisasi, namshukuru mola huko nilikotoka na sasa nilipofika
kitanashati haswa, natiririsha ngoma
shukrani pia ziende kwa Ustadhi Juma Musoma
kitanashati haswa, nakinukisha pale
shukrani pia ziende kwa Ustadhi Juma Musoma

mia lyrics by mtu chee


Mtu chee! haha, Young Dar es salaam
Country Boy na Staminah! haha

[Young D]
yeah
ah sina hela, ila siwazi biashara ya karanga
ma alijua nitakuwa sela, tangu niko mtoto mchanga
akaniambia, nitatoka nikijipanga
daddy pia alinihusia, nisioe demu wa kichaga
nikamwambia maisha ya karata
akaniambia nani anachanga
ha nahisi napiga picha na yesu
mara naota nahitajika sana kwetu
njia safi ila naogopa kwenda peku
nishakunywa maji ya baraka, huwezi nipa hukumu
mi ni paka rapper ukinifwata, ha! nakupa pumu
kila ninapopita, naona pagumu
nimepigika afu sina majukumu
oh ona, life sio easy bila speed lazima uteseke
im so busy busy hadi nashindwa kuwa kicheche
napenda rasta niichore nna rangi nyeusi chache
napenda kuwa mlokole where the church at?

kuanzia ilala temeke hadi ngarenaro, 100!
kijenge juu niko kwa masharobaro, mia!
whats up jembe? hii track b'ana iko, mia!
ka vipi iitwe..mia, mia, mia!

kinondoni masaki hadi kigamboni, mia!
tandale hadi kimara makoroli, mia!
whats up jembe? hii track b'ana iko, mia!
ka vipi iitwe..mia, mia, mia!

[Staminah]
ah mi ndo jua la utosini, sizuiliki na miwani
ukitaka battle na mimi, omba kibali kwa diwani
usijisifu una mbio, sifu na anayekukimbiza
ndio nazifanya sio, hadi mwanga unaogopa giza blaza
mziki una graph, we shuka ninapopanda
kwa hizi tenzi nawa'surf bila bundle na wanasanda
mi kinyesi kwenye bafu huogi bila kunitoa
mnaojiita mna level chafu hizi Jiki zinatia madoa
mziki mechi ya viziwi, siuchezeshi na filimbi
mchezo hautabiriwi, pweza ameshanipa ushindi
kocha kavunjika nyonga, kepteni naongoza ligi
huu ndio mlima wa kitonga we reli usije kwa spidi
ah , Boomshakaraka walio chini wataningojea
sio prrrrr mpaka maka sitelizi nikapotea
staminah, nasukuma kete hata dafti waliweke bondi
muosha maiti bora usepe leo umepewa maiti ya zombie
ah

Iringa na tanga zenji mpaka bagamoyo, mia!
Mji kasoro ndani ndani kwa mkoyoyo, mia!
whats up jembe? hii track bwana iko, mia!
ka vipi iite..mia, mia, mia!

Rchuga na mwanza mbeya mpaka musoma, mia!
DSM Dodoma mpaka Kigoma, mia!
whats up jembe? hii track bwana iko, mia!
ka vipi iite..mia, mia, mia!

[Country Boy]
ah ili unijue inabidi  uwe spy kama ndama unisumbue
baadae kwenye game we kamanda na ugundue
wenzako wanashuka mi napanda nifafanue
kuna tofauti ya kati ya shuka na sanda
conscious rappers tuko wachache wengi wao hawako real
kwa hizi stanza waache wadate mpaka haters wata'feel
yap, women lie men lie, know  i speak the truth
na sober boy siko high straight ndani ya booth
mistari yangu kama kisu fake emcees nawakeketa
wakijitusi tu wakijileta mi nawatwanga nawapepeta
nahitajika, sio kimapenzi nichokwe kama shetta
nina uhakika, kama deal kimziki si tunapeta na kuandika
mpaka peni imeanza tetemeka, na imebainika
tangu nitoke wengi wao wanateseka, ninatafutwa kama hela
utaponiona we niokote, mziki kama mkate wa bwana so inabidi tule wote
niaje gangster, sharobaro tupieni kiduku
washtue, machizi wa ngarenaro leo mambo iko huku
hii track, basi iitwe mia
nyie wanafiki imewateka
wanaogopa kushangilia huku vichwa vyao vinanesa
C'mon

until mashabiki ma'promoter wa muziki, mia!
machizi ma'miss na marafiki, mia!
whats up jembe? hii track bwana iko, mia!
ka vipi iitwe..mia, mia, mia!

aka mi na'underground wote na ma'legendary, mia!
gangster, snitches na ma'ordinary, mia
whats up jembe? hii track bwana iko, mia!
ka vipi itwe..mia, mia, mia!

hehe as usual, we create they follow
mtu chee we in the house baby
manecky, this beat is the real thing
aight, ah, FBaby!

marry me lyrics by Rich Mavoko

tulivo kama mapacha, hawapendi wanasema
pindi tupo karibu, walitamani nipate ukilema

walisema penzi limeni'oversize, so kweli
mbona machoni nime'realize, washafeli
mbona, na nimepanga nikirudi, ntakuletea zawadi
iwe dhahabu au rubi, utaikuta kwa mama richard
ila nimempanga nikirudi, ntakuletea zawadi
iwe dhahabu au rubi, utaikuta kwa mama richard

'will you baby, marry me?'
'oh baby you marry me'
' I think baby you'll marry me'
'oh baby you marry me'

'will you baby, marry me?'
'oh baby you marry me'
' I think baby you'll marry me'
'oh baby you marry me'

haya, will you marry me?
haya, i think you'll marry me
haya, will you marry me?
haya, i think you'll marry me

Puliza kama ya moto, hebu punguza utoto
hawakufunzwa mkoleni, wanapenda chokochoko
ah bado ka muda kadago, sitachelewa kurudi
punguza hasira za mbogo, wala sifanyi kusudi

walisema penzi limeni'oversize, so kweli
mbona machoni nime'realize, washafeli
mbona, na nimepanga nikirudi, ntakuletea zawadi
iwe dhahabu au rubi, utaikuta kwa mama richard
ila nimempanga nikirudi, ntakuletea zawadi
iwe dhahabu au rubi, utaikuta kwa mama richard

'will you baby, marry me?'
'oh baby you marry me'
' I think baby you'll marry me'
'oh baby you marry me'

'will you baby, marry me?'
'oh baby you marry me'
' I think baby you'll marry me'
'oh baby you marry me'

haya, will you marry me?
haya, i think you'll marry me
haya, will you marry me?
haya, i think you'll marry me

will you marry me? 
i think you'll marry me
yeah oh oh uh uh uhhh
yeah oh!

'will you baby, marry me?'
'oh baby you marry me'
' I think baby you'll marry me'
'oh baby you marry me'

'will you baby, marry me?'
'oh baby you marry me'
' I think baby you'll marry me'
'oh baby you marry me'

haya, will you marry me?
haya, i think you'll marry me
haya, will you marry me?
haya, i think you'll marry me