roho by fid q ft christian bella

(VERSE 1:FID Q)
Nilipommiss Hakutokea, ili kunigea kiss au kuni-hug/
Hakuni-care huyu binti, aliendelea kunimwaga/
Sijawahi penda kama hivi lakini mapenzi yakaniditch/
Nilisurvive vipi sikumuita 1st LOVE B@#$?/
Ninahisi.. nilipata vibe ya kuipa truth a facelift/
‘Haupati love bila michuzi hauna cash Fid ‘/
Nikakesha ndani ya booth.. HUYU NA YULE ikawa 1st hit/
Show kila mkoa haikosi groupie kwa guest list/
Life ikawa poa.. lakini u-Playa siuwezi Fid/
Sikufichi inaboa ile mbaya kuvaa jezi nyingi/
plus.. hawara anapasha kitanda moto/
Na haifanyi upweke ukaniacha kiasi cha kumganda huyu mtoto/
Na kuimba mahaba niue.. with a smile on my face/
Haijalishi kama ana uzuri wa kumturn hadi Gay straight/
Mapenzi ni kama ‘ ligi ya mbuzi ‘ Striker anaweza potea/
Wengi wanawa-cheat na kuwaudhi wachache wanao-Play fair/


CHORUS ( CHRISTIAN BELLA )
Mapenzi ni matamu lakini ninahofia kuumizwa moyo/
Nashindwa kujaribu.. roho inaniuma/
roho inaniuma x 5

BRIDGE ( CHRISTIAN BELLA )
Ninahofia.. kuumizwa moyo, bila hata kupewa pole/
dudu liumalo, kwanini nilipe kidole?/
ooh moyo.. roho inaniuma mie/

VERSE2 ( FID Q)
Dear hustle.. ni wazi penzi lako ni safi na huniacha happy kila wakati kubaki nawe ni kisamati baby/
Kipi sipati? ninahiti kwa chati.. waliotashtiti mziki haunilipi.. wako wapi? waniache.. mkate nipate baby/
Money makes a man.. lakini love ni hustle/
You know who you love but you dont know who love’s you/
Wakuniletea Baraka kama Michelle/
Na Tabasamu zaidi ya wafungua mlango wa 5 star hotel/
Dawa sio chungu ndugu.. chungu maradhi/
Hakyamungu tena.. chuki humchoma anayeihifadhi/
Kumsahau siwezi.. ni sawa na kumkumbuka nisiyemjua/
Mapenzi yalifanya nikaumbuka.. ninachoshukuru hayakuniua


CHORUS ( CHRISTIAN BELLA )
Mapenzi ni matamu lakini ninahofia kuumizwa moyo/
Nashindwa kujaribu.. roho inaniuma/
roho inaniuma x 5

salome by Diamond Platinumz ft Ray Vanny

[Verse 1: RayVanny]
Kioo hakidanganyi mama
Umejipodoa umepodoka
Mwendo na shape vyote mwanana
Mi suruali yanidondoka
Tukimbizane nini Salome wangu?
Hiyo michezo ya jogoo
Mbona watizama chini Salome wangu?
Ukimuona jongoo
Inama kidogo
Shika magoti
Mi nimesimama kama ngongoti
Mtoto jojo sio roboti
Chumbani bingiribingiri ‘samasoti’

[Chorus: Diamond Platnumz]
Unantenkenyaga ukinyonga Salome
(Unantekenyaga ukinyongaa)
Unantenkenyaga ukinyonga kweli
(Unantekenyaga ukinyongaa)
Aaah orera bakuru vani
Orera ngambee
Orera na Zari ma
Orera ngambe

[Verse 2: Diamond Platnumz]
Utamu kolea a porokoto
Ting’ali ting’ali ndani kwa moto
Ntamnyongea msokoto
Nteme sumu kali kama koboko
Eeh mapenzi yananipa shida
(Shida mama)
Ni donda lisilokuwa na tiba
(Tiba bwana)
Usije baby ukanicharanga
Ukanichambua moyo kama karanga
Mie baby kwenye msambwanda
Huwa siendagi nge nge ni nga nga nga

[Chorus: Diamond Platnumz]
Unantenkenyaga ukinyonga Salome
(Unantekenyaga ukinyongaa)
Unantenkenyaga ukinyonga kweli
(Unantekenyaga ukinyongaa)
Aah orera bakuru vani
Orera ngambee
Orera na Zari ma
Orera ngambe

[Verse 3: RayVanny]
Miee mwenzako nyang’anyang’a
Miee binzari we ndio nyanya
Baby kwang’waru
Nisimamie kama kangaroo
Ibane kangwaru
Babu Juma mpige kwakwaru
(Kwakwarukwa)

[Bridge]
Asa chambua kama karanga sasa
(Chambua kama karanga)
Ichambue kama karanga Salome
(Chambua kama karanga)
Asa washa, washa, moto washa, washa
Songa, songa, ugali songa, songa
Mpaka chini ka chi
Mpaka chini ka chi
Wenye wivu wajinyonge leo
(Wenye wivu wajinyonge)
Aaah wenye wivu wajinyonge sana
(Wenye wivu wajinyonge)
Wenye wivu wajinyonge kweli
(Wenye wivu wajinyonge)
Oooh wenye wivu wajinyonge sana
(Wenye wivu wajinyonge)

[Outro]
Wanakodoa kodo!
Wanakodoa
(Macho kodo!)
Wanakodoa kodo!
Wanakodoa
(Wale kodo!)
Wanakodoa kodo!
Wanakodoa
(Ukinyonga)
Wanakodoa kodo!
Wanakodoa
(We ukisonga)
Wanakodoa kodo!
Wanakodoa