punch after punch lyrics by staminah, izzo business ft godzilla


punch after punch niko slim ka' shady
nakaza mwanzo mwisho hata nusu silegezi

[Staminah]
sishushi mikono chini kama katuni wa konyagi
nazidi tema madini kama mgodi wa buzwagi
hiki kichwa kina google karibu usiache mistari
wapinzani mashimo ya chudo nawachezea kwa kamari
ah, mi sio robot nafanya nnachokipenda
nna uchu na hizi noti mpaka natokwa na udenda
hii track ina umeme, usipime bila tester
flow zangu zina majotro katafute thermometer
nawaacha midomo wazi nakuwakilisha mtu che
mistari yangu ina vitanzi nchokoze nikunyonge
Moro imenipa kibali niiongoze Dar es salaam
Ndo maana, mi naitwa mkali zaidi ya moto wa jehanamu
wanantishia, kuning'oa meno wakati tayari nna mapengo
wanantukana kwa maneno, nasamehe kwa vitendo
ki mziki mi nna hasira zaidi bikra mwenye ukimwi
nawatoa tatu bila wanaotaka bifu na mimi man


[Zilla]
punch after punch niko slim ka' shady
nakaza mwanzo mwisho hata nusu silegezi
kwa hizi style lazima niggaz wote guguzi
you google me baby, i said you google me baby
kwa hizi style niggaz in the town let go
mp3 number one download
you google me baby, i said you google me baby
ukianza na number moja mi naanza na kwenye zero


[IZZO B]
Raia wanahitaji hoja sio visa na migogoro ah
ngoja ngoja kwenye matumbo ni kero
Mziki uvuke border, sio  Mbeya uiishie Moro ah
nipo ugenini, wenyeji hazikabi
mi mkali tangu zamani, hapana mi si mzugaji
tangu niko form four, na'hustle kimpango wangu
oh oh oh no, usi'mess na dili zangu
kesheni mkiomba mungu, so mnaomba hizo kufeli
ridhiki huja kwa mafungu sichoki kupiga dili
nachukua nauli zao, siwafikishi wanapokwenda
washa'salute wengi wao, wanapata wanachopenda ah
Mbeya mbarikiwe, mbarikiwe tena sana
nikikosa msichelewe, msichelewe kunikana
kuna A mpaka Z, kwenye hizi alphabet
mi ni mTZ, long tyme nishaji'set
ah ah like Dipset!

[Zilla]
punch after punch niko slim ka' shady
nakaza mwanzo mwisho hata nusu silegezi
kwa hizi style lazima niggaz wote guguzi
you google me baby, i said you google me baby
kwa hizi style niggaz in the song let go
mp3 number one download
you google me baby, i said you google me baby
ukianza na number moja mi naanza na kwenye zero
(http://www.thebongolyrics.blogspot.com/)
[Staminah]
verse zangu za kiDaudi,  zinawadondosha magoliath
mori zangu kama hood, zinafuka kwa hisabati
I was born to like this, difficult climb
fake emcees nawa'bite kwa punch wana'resign
mi ndo, ujana wa aloe vera daima siishiwi ukakasi
ubongo una chembe za hela, hauna ndoto za bunuwasi
nina, ujinga kidogo, maujanja ndo vifurushi
ndo maana, kipindi mdogo nilivaa nepi za gucci
okay, hizi blow, hii game haihitaji papara
ndo maana sichagui show, nakamua hadi kipaimara
wanaringia swagga na mi'Suppra ya Korea
staminah namsound mchaga ila kwa flow wanapotea
mziki kwangu sio viatu mpaka niseme naujaribu
sitaki kuishia tatu moja itanipa majibu
siwasikii, wanafiki nawafuta bila duster
all i need is snare na kick ili street nilete disaster

[Zilla]
punch after punch niko slim ka' shady
nakaza mwanzo mwisho hata nusu silegezi
kwa hizi style lazima niggaz wote guguzi
you google me baby, i said you google me baby
kwa hizi style niggaz in the song let go
mp3 number one download
you google me baby, i said you google me baby

mateso lyrics by Country boy ft Linah


mateso yamezidi offside mitaa, haina filimbi
mahakama iko chini ya Jaji, mtuhumiwa hapati ushindi
haki ya maskini imefichwa, kwenye soksi ya tajiri
na pesa pesa hazina pini, hujifungi mtoto wa batili
watoto wanatelekezwa, matatizo yanapobidi
ukimwi unateketeza, vijana babu na bibi
mziki pia hauna ofisi, vijana wanaikana shule
wakihit unawafilisi, huku future inaenda kule
ah, ndoto za yatima, usiku zinashika tama
pesa kwao, zinapo gima hukumbuka baba na mama
mapenzi na pesa, ni swali lisilojibika
watoto wa shule ninapowatesa, wanapotongozwa na watu wa rika
kauzibe, alizaliwa kijijini bila dokta
leo hii, anahukumiwa kwa kuunga wa mama nota
anayetuma, hii salamu kwa mola atoe miujiza
mwanga bado una damu, huku dunia imejaa giza
ah



mateso yamezidi mpaka najihisi sina haki duniani
kila panapokucha afadhali tu ya jana
mradi siku inakwenda, tunashukuru kwa maulana, ah

yeah
www.thebongolyrics.blogspot.com
bado vijiji vina mafua, na lesso ndo ziko mijini
wanalima tunanunua, bado wanakufa masikini
miundo haina barabara, na mbinu hazijawekwa lami
na wale wanaofanyiwa tohara, kwa visu vya kubania ***
wanaobakwa na watoto wa vigogo, hawafikishwi kortini
shehe ana imani ndogo, muumini vipi amuamini
labor hapaheshimiki wakati amezaliwa Raisi
mafataki hawahesabiki, kwenye shindano la ma'miss
na njaa au ufukara, ndani bahari ya dhiki
asiyenacho hathaminiki, tunaishi kama maiti
pata picha kumekucha, asubuhi na mapema
Jua limechomoza, kwenye giza mfano hakuna
watu wanahangaika, wamekosa cha kutafuna
mi naimba kwa hisia, cause roho inaniuma
tujikusanye kwa pamoja, tuimbe wimbo wa taifa

mateso yamezidi mpaka najihisi sina haki duniani
kila panapokucha afadhali tu ya jana
mradi siku inakwenda, tunashukuru kwa maulana, ah

siku zinakwenda
ila usikate tamaa mmh
...usilie mama
...usilie baba
usilie wewe wewe wewe wewe!

mateso yamezidi mpaka najihisi sina haki duniani
kila panapokucha afadhali tu ya jana
mradi siku inakwenda, tunashukuru kwa maulana, ah


mateso yamezidi mpaka najihisi sina haki duniani
kila panapokucha afadhali tu ya jana
mradi siku inakwenda, tunashukuru kwa maulana, ah

katika maisha kila siku
kuna mengi yanatokea
ila Mungu ndo anayepanga right?
cha msingi usikate tamaa

its yo boy country boy baby, pretty girl linah ah
F-Baby

ielewe mitaa lyrics by Fid Q


uh, yeah
sipo kama nilivyokuwa, haimaanishi niko tofauti
iwe kiroho kimwili kiakili mashairi na hii sauti
mi niacheni emcee shupavu mwenye verse adimu
asiwe hygenic ni ile chick ya life left nim
sistaduu ukiibiwa moyo, usilie mfanye awe official
kidume atulie umuibie jina la mwisho
we skeevy taking this world
kuna friends na foes
kuna snake fake niggaz na ma gigaloo
ukiwa wa ukweli hau'bounce na hautofeli
ubingwa unashika fasta ka mimba na mahausgeli
wananiita mamlaka ya reli kwa hii treni on thoughts
ni kawe rebirth ya makaveli brain drain niondoke
haikiwi fixed bila juhudi nisichokiamini haki happen
naeza lala na bundi na ukaamka mwenye bahati
usilale fofofo, ruzuku itakwisha
utatembea hovyo ka kuku aliyekatwa kichwa
maisha yako fast na yana speed ya light
unaeza freeze kama ice ndani ya fridge ice ice
ukienda mbio, na muda mtapishana
mafanikio, huja kwa kupenda ninachokifanya

ielewe mitaa kisha, ielewe sanaa
napita mmekaa, natisha jamaa
ukibisha ntakushangaa
kukufundisha mi nafaa
nalisha wenye njaa
naweza rudisha masaa

ielewe mitaa (ielewe ikuelewe), ielewe sanaa
napita mmekaa, natisha jamaa
ukibisha ntakushangaa
kukufundisha mi nafaa
nalisha wenye njaa
naweza rudisha masaa
ielewe mitaa

usiache ulichotaka maishani, ghafla tu na kufuata kile ulichotamani
ielewe ikuelewe, kama oxygen na carbon
hauwezi game bila pain muulize saigon
naishi kiboss na usanii haupotei
natumia noti, tangu ina sahihi ya mtei
niletee mabumunda, mjeshi nikiwa vitani
nikikuta mnaabudu punda, ntawapelekea majani
wangapi huji'stress, hujitia mapozi na hawajielewi
msiache nutcase, inaeza ka divorce ya hail mary
funny huh?, sijui serious yuko wapi
i make cred gos in the front row forward left
ni ngumu kuitafuna? usiimeze haraka
sumu ushakunywa, jiandae tu kucheza salsa
urembo na uzuri upo ndani kwa nje mnajiongopea
muuza sura usikose amani makunyanzi yakikutokea
badili mwendo mkwepe skendo, mwache aende zake
au muonyeshe upendo, tembo hachoshwi na pembe zake
ujinga ni mjukuu wa uoga yule aliyemzaa chuki
vina vinanipa nyota unaonifaa kama mkuki
simmwagii chumvi konokono asiye na gamba
na simkumbatii nyuki kwa maono ya asali kuilamba
ilewe ili usionewe usinyonywe usipuuzwe tena
unyonge uondolewe, usonge mbele wewe uishi vyema


ielewe mitaa kisha, ielewe sanaa
napita mmekaa, natisha jamaa
ukibisha ntakushangaa
kukufundisha mi nafaa
nalisha wenye njaa
naweza rudisha masaa

ielewe mitaa (ielewe ikuelewe), ielewe sanaa
napita mmekaa, natisha jamaa
ukibisha ntakushangaa
kukufundisha mi nafaa
nalisha wenye njaa
naweza rudisha masaa
ielewe mitaa

ielewe ikuelewe!

sirudi tena lyrics by Mabeste ft Jux


sirudi teee..
tena na tena na tena na tena
tena na tena na tena na tena, ha!
sirudi teee..


na locality hii syllabus
bora peke yangu zaidi ya yule mama abas
wapi safe place progress
mitikasi no stress
confidence money power, heavy influence
mi sirudi tena nikirudi ni accident
exchange rafiki job ni evidence
kwangu holiday
niko na ghafi na boogie dance
nipo kwa away place na ndugu wengine sense


mi sirudi..
nikikumbuka nilikuwa benchi kwenye mechi
nani na messi kilaga sio pancha
mpaka mapeche
flow ndani ya flow naziwekea ma dress
niko interested zaidi ya ku'copy tu na ku'paste
na bado pia ikawa ngumu ku understand mi
and by the way ah, hili game liko under mi
mi sirudi tena unifate maybe ndo reality
ni mipango tu mki stand kama boss usije uka panic!


sipotezi masaa, nakimbiza chapaa
kwenye dhiki mi sirudi te..te..te,,,te
tena na tena na tena na tena
sirudi te..te..te..tee
tena na tena na tena na tena


sipotezi masaa, nakimbiza chapaa
kwenye dhiki mi sirudi  te..te..te,,,te
tena na tena na tena na tena
sirudi te..te..te..tee
tena na tena na tena na tena




hii ni rap mathematical  high preach
rapa tino hermy B collabo ni hybrid
ray city sirudi tena na bullshit kule haiko fit
[mashairiBongoflava.blogspot.com]
jamaa wako luv mi nabaki huku haiko dhiki
mi sirudi tena super duper bite beat
hakuna ku hit viti ni bubblegum you haiko deep
you got!? siri imefichuka tena haiko zipped
mi sirudi tena i know najua ntafeel guilty
cause dah i saw jamaa wako na jealous
kama ikibidi nirudi no sipendi haterz
against enemy n only treaty ndo mitindo
na kwenye forest mbinu sumu ya ulimi ndo fimbo
sirudi ukipenda follow my lead ya tell us
si hivyo huwa unajua ntarudi no
huku niko niliko mungu amenijalia afadhali
sirudi tena my boys mi mshale


sipotezi masaa, nakimbiza chapaa
kwenye dhiki mi sirudi  te..te..te,,,te
tena na tena na tena na tena
sirudi te..te..te..tee
tena na tena na tena na tena


sipotezi masaa, nakimbiza chapaa
kwenye dhiki mi sirudi  te..te..te,,,te
tena na tena na tena na tena
sirudi te..te..te..tee
tena na tena na tena na tena


sirudi tena pale kwa jana, sio
ishara ndo inanifanya niogope nitoke mbio
nitacheka nikiondoka nikirudi kilio
mi nahepa mbio sirudi why? tega sikio
mi nakereka na mabaya tukio
magharibi naona mashariki mi ndo kimbilio
sirudi tena moyo umri umeshani cost
wa karibu yangu jamaa hata my big brother
ah, afadhali nikijifariji
mi nasonga kando kuepuka magaidi
no future mtu ila mungu ndo shahidi
walificha nikachunguza vema ka CID
bado nahitaji kwenda mbele mi si reverse
kilichofichwa kimefichuka siri basi
sirudi tena pale mbele naongeza kasi
mi siko normal ulishaniumiza sana ile level..so!


sipotezi masaa, nakimbiza chapaa
kwenye dhiki mi sirudi  te..te..te,,,te
tena na tena na tena na tena
sirudi te..te..te..tee
tena na tena na tena na tena


sipotezi masaa, nakimbiza chapaa
kwenye dhiki mi sirudi te..te..te,,,te
tena na tena na tena na tena
sirudi te..te..te..tee
tena na tena na tena na tena

party don't stop lyrics by Camp mulla

This party don't stop...


Verse 1
Here we go
see I'm loving what you do to me so if it's cool (let me know)
we can take it to the VIP because the (party don't stop till three)
meaning you're in the crib all over me
C.I.P.T.R.I.P, P.E.R and we are
C.A.M.P to the Mulla
we blow this, bazooka
it's crazy baby, how I'm on you like slim through shady
OK, so lemme see your head bop
cause this party don't stop
cause tonight
you better bring somebody to the club
cause tonight
we calling everybody so get up alright

Chorus
this party don't stop...
this party don't stop...
it goes on and on
this party don't stop...
this party don't stop...
it goes on and on

Verse 2
lemme give your body a job, employing you (take me)
work it, rock it like a cradle in bed I need a (freak)
wait a minute lemme clarify
the way you maneouver I can't deny
so scream
from the top of your lungs and maybe I'll pacify ya
take over
my baby
it ain't over
no fat lady
navigate to the floor make your way
now you like it be more A-OK
it ain't fair
the way you're shaking it and moving it baby
make them stare
step up in the building, everybody hand go up
and they stay there
cause tonight
you better bring somebody to the club
cause tonight
we calling everybody so get up alright

Chorus
this party don't stop...
this party don't stop...
it goes on and on
this party don't stop...
this party don't stop...
it goes on and on

Verse 3
so get your hands up
get ready to party
on the dancefloor jamming till six in the morning
so get your drinks up
don't spill on nobody
hit the bar, get some glass cause the bottles we poppin
but I'm a
little bit too bubbly
so all the ladies look lovely
but can't tell if they ugly
can someone get these girls off of me
meet me by the bar baby girl round three now lets go get some shots
drink up, drink up cause you know the party don't stop
cause tonight
you better bring the party to the club
cause tonight
we calling everybody so get up alright

Chorus
this party don't stop...
this party don't stop...
it goes on and on
this party don't stop...
this party don't stop...
it goes on and on

karibu saaana

           
karibuni kwenye dunia iliyo mpo kidooooogo ...jina jipya sasa,mambo mapya sasa na mwendo mpya sasa ..kitu cha CAUTION! nOn StoP LyRiCS  twende pamoja majamaa

ameen lyrics by MwanaFa ft Dully sykes


Ni MwanaFA
Yupo na Dully Sykes
Silent Ocean
Inna Mi Yard
Keeping The Good Music Alive
Yessayah

Chorus:
Ameen/Ameen Ameen/Mungu niongezee/
Ameen/Ameen Ameen/
Nishike mkono niongozee *2

Verse 1..
Ziende,on and on kama Eryka Badu/wafahamu sababu/ni heshima kwa Mungu/natembea kifua mbele yote sababu ya wewe/wote wanaojipindua mwisho wanasanda wenyewe/binamu yangu Masumbuko ananisikia hata akiwa jela/jinsi nakinukisha na bado juhudi na sala/naomba hekima za Suleiman/sio miguvu ya bure/hata kauli zangu ndogo zionyeshe nilienda shule/maadui wafunge mikono nimewazidi wape ishara/wape akili za hasara wachezee kazi na mshahara/ikidunda sana inakaribia kupasuka/yangu ikeshe isiishe leo hata wajukuu wanaikuta/bora kuchekwa kuliko kuchekwa sana wanaonipinga waumize,Mungu nakomba sana/uwape umri mrefu wa kwangu na wa babu yangu/ili roho zao ziumie wakiona mabalaa yangu/Amen..

Chorus:
Ameen/Ameen Ameen/Mungu niongezee/
Ameen/Ameen Ameen/
Nishike mkono niongozee *2

Verse 2..
Nisichokijua hakiwezi kunisumbua/wakisema mabaya yashindwe kunifikia/wape kismati cha paka cha kupendwa na wachawi/mi naomba cha pesa na kwa ujinga niwe kiziwi/wape wanawake wazee na mafukara halafu wagonjwa/ama mabwana mabwabwa wasiogonga kabla ya kugongwa/wanaomba nisiwe na kitu ili niombe waninyanyase/dhiki inijae vyote vya kwangu wavipate/kuna viumbe hata huwajui na bado wana beef na wewe/kama wanichukue msukule nisionekane wabaki wenyewe/naishi kwa kudra,baraka,matakwa yako/siwezi nikachemsha kama ukibaki upande nilipo/competition is irrelevant/with you by my side/nafanya siongei na wanajua mi ni mastermind/haraka zaidi yao/uchungu zaidi yao/ukubwa au udogo wa tatizo unaletwa na akili zao/it's a wrap

Chorus:
Ameen/Ameen Ameen/Mungu niongezee/
Ameen/Ameen Ameen/
Nishike mkono niongozee

Bridge:
Mi nna haraka zaidi yao/pia hata uchungu zaidi/rhumba,likinipiga,nazidi kukugeukia kwako Muweza/zaidi yao/pia hata uchungu zaidi/rhumba,likinipiga,nazidi kukugeukia kwako Muweza/

source: http://www.aytanzania.com

Party Zone lyrics by Ay ft Marco Chali


-
Intro:
Marco:
Skia hii ndio fact usiact like you don't know
The way u treated me ulishanipa somo
Skia hii ndio fact usiact like u don know
The way u treated me ulishanipa somo

AY:
Verse 1:
Uliniona sifai,
Ukaniacha ukaenda mbali,
Dunia imekuonyesha
Sa unataka hurudi NO
Maisha haya safari
Uliniacha wakati nakuhitaji
All I wanna do
Niziache stress zi GO................

Dance tonight,
Drink tonight,
Smoke tonight,
Nijipe raha tuu....
Nihave fun tonight
Cruise tonight
Blast tonight
/stress zigoooo

CHORUS:

Party Zone x8

Marco:
Skia hii ndio fact usiact like you don't know
The way u treated me ulishanipa somo
Skia hii ndio fact usiact like u don know
The way u treated me ulishanipa somo

AY & Marco :
Hands up in the air (Pa x4 Party Zone)
Maumivu yashapotea (Pa x4 Party Zone) x2

AY
Maisha yanasonga naishi simple
Siku zinakwenda nishatua mzigoo
Yale uliyonitendea nishajiondoa kwako
Long time nishajiondoa nawaachia tu hao nishaanza new life

Marco:
Uliniacha without sayin bye
Ulini-fa-nya niumie
Maumivu yote kwangu yashafly
Nipe nafasi nijiachieee

AAAAAAYYY,CHA CHA CHALLLLIII!!!!

AY:
Niache nienjoy my life
Nawe enjoy ya' life
Sleep all day Up all night
Nishazoea New Life
Huna tena nafasi
Niache nienjoy my life

Party zone x8

AY:
Zile pain/damages/dharau/kebehi/attitude
Zinanifanya moyo wangu usitamani kabisaa yaani we hurudi
\so nahitaji space
Nafasi yako ishawekwa desh
Handle ya' business
Before ya' business handles you
/wacha mi nienjoy tu
Kinyume cha pain (happy tu)
Maumivu tupa kule
#i'm happy now#

Dance tonight,
Drink tonight,
Smoke tonight,
Nijipe raha tuu
Nihave fun tonight
Cruise tonight
Blast tonight
/stress zigoooo

Party Zonex8

Maisha yanasonga naishi simple
Siku zinakwenda ni shatua mzigoo
Yale uliyonitendea nishajiondoa kwako
Long time nishajiondoa nawaachia tu hao nishaanza new life

CREDITS:

AY Featuring MARCO CHALI
PARTY ZONE
MJ RECORDS

in the whole world you know,  [haha]
there is a million boys and girls, [yeah]
who are young, gifted and black
Im black... Definitely


shukrani kwa aliye mkuu, leo hii nipo hapa
muziki ni wito, na nimeitwa na aliyeniacha
ili nisiwe mwanasiasa, nyasi anayesumbua
au kwakuwa nakula andazi, basi niache kitumbua
ila, siachi kusumbua macho wazi kwenye pipa
nachapa kazi na kazi inachapika bila failure
bila flavor natapika bila flavor
mwana wa baba nna nyundo kwa sala ya kila savior
peace kwa duke na kaka pachu
kwa kunipa chance mpaka ninawasilisha rap hits
black shirt, hii ni  blackness
kila spit kwa sixteen bars natema classic
sema nami kama huwezi sema nasi
nafasi ni chache kwako kama huwezi sema wazi


sema safi kwa usafi iwe nafsi yako
na kama uko safi basi hii kazi ni kwa ajili yako


niko S.P.E.C.I.A.L
HipHop ina ni ID well
Niko special, mama alinimbia nitajaipata
na kama nisipoipata ntatoka kwenda kuifuata


niko S.P.E.C.I.A.L
HipHop ina ni ID well
Niko special, mama alisema nitajaipata
na kama nisipoipata ntatoka kwenda kuifuata


maswali mengi juu ya ujuzi nilioshushiwa, 
habari ni kuwa hawapendi kila utunzi uliobuniwa
sijali kuchukiwa na wachache nnaowajua
nikifulia ikikauka basi uwahi kuanua jua
huwai kuchanua, skawii kuwa ang'avu
maisha tambara bovu, sikamui likiwa kavu
niko sure haunijui, ukinijua sina wazo
haijalishi ka haiuzi mi nafurahi kuwa hardcore
HipHop nafurahi kuwa wako
hata usiponipa mtoto nitafurahi kuwa anco
zote banger bila swagger kwenye u'black flow
pande zote nitakwenda ukikubali kuwa hapo
sina mkali kwako labda niwe mkali wako
na habari ni kwamba hii mistari ni kwa ajili yako


sema safi kwa usafi iwe nafsi yako
na kama kweli uko safi hii kazi ni kwa ajili yako


niko S.P.E.C.I.A.L
HipHop ina ni ID well
Niko special, mama aliniambia nitajaipata
na kama nisipoipata ntatoka kwenda kuifuata


niko S.P.E.C.I.A.L
HipHop ina ni ID well
Niko special, mama alisema nitajaipata
na kama nisipoipata ntatoka kwenda kuifuata

kamiligado lyrics by Prof Jay

Mtoto yuko kamili gado
Prof Jizzy Jizzy! Chali Chali!
Prof Jizzy Jizzy! Chali Chali!
Chali!, Chali

Nakucheki cheki kila kona, maana mpaka pwani kote sijakuona
moyo wangu unauma mie, japo nikuone mi nitapona
nimekwenda hospitali, mbalimbali wanadai dawa yangu ni wewe
we ndo wangu daktari, sitapona sitaishi tafadhali nielewe
bado napenda kuishi, bado nataka kuishi nionee huruma mwenzio
hey, nipigwe hata kwa kiss naishi kitatanishi mpaka useme ndio
hey, unavyokatikakatika, zungushazungusha juu mpaka chini mi ninabaki hoi,
hoi unavyotingishatisha binukabinuka back and forth, mi ninabaki hoi

ma, unang'aa kistaa, kukuona ni adimu kama nyota ya jah
ah, unasifika kila kona mtaa, njoo kwangu unitibu ili nipone kachaa
na, naahidi kukupenda cause nakupenda
haya mawazo kuwa nitakutenda sitatenda
twende wote popote unapokwenda
nakiri mimi mateka na kwako nime'surrender

mtoto yuko kamili gado, kamili gado oh
mtoto yuko kamili gado, kamili gado oh
mtoto yuko kamili gado, kamili kamili
kamili kamili kamili gado
mtoto yuko kamili gado, kamili kamili
kamili kamili kamili gado

watu wegi wanishangaa, kwanini kila siku mi' sina raha
afadhali ushinde njaa, kuliko maisha yako yakose furaha
wanasema nimechiz, wanasema nimenok
wanasemasema usiku watalala
njoo karibu nami tuwatoe nishai, wanoknok tuwatoe kafara
furaha yangu ni wewe, maisha yangu ni wewe, fikra zangu ni wewe tu
ndoto yangu ni wewe, maisha yangu hayana thamani bila wewe tu
natamani siku moja uwe nami, kwa furaha na maisha yote
ili tuende nikutambulishe nyumbani, kwakuwa una sifa zote
nikubali uwe wangu mwandani, siku zote na maisha yote
mapenzi yetu yachome wapinzani, daima na milele yote



anh, you're the one and only, sina nia ya kuzingua niamini shortie
usishangae wakinyoosha vidole, wanadhani uko single wabadili story
we ndio wangu wife material, uzuri na tabia zinafuta changu kilio
ado ado mambo bado, wape kisago mtoto uko kamili gado
anh

mtoto yuko kamili gado, kamili gado oh
mtoto yuko kamili gado, kamili gado oh
mtoto yuko kamili gado, kamili kamili
kamili kamili kamili gado
mtoto yuko kamili gado, kamili kamili
kamili kamili kamili gado


Usi-niache mi, hey usi-niache mi ah
Usi-niache mi, hey usi-niache mi
Ukiniacha peke yangu na mawazo nakonda
Usi-niache mi
Ukiniacha peke yangu na mawazo nakonda

mtoto yuko kamili gado, kamili gado oh
mtoto yuko kamili gado, kamili gado oh
mtoto yuko kamili gado, kamili kamili
kamili kamili kamili gado
mtoto yuko kamili gado, kamili kamili
kamili kamili kamili gado

Nakupenda wewe, ninakupenda wewe
Nakupenda wewe, ninakupenda wewe
Nakupenda wewe, ninakupenda wewe
Nakupenda wewe, ninakupenda wewe

kamili kamili, kamili kamili kamili gado
kamili kamili, kamili kamili kamili gado
kamili kamili, kamili kamili kamili gado

baadae lyrics -ommy dimpoz

Nampenda kama ringtone
hana maringo, huyu binti mtamtam
swagga zake zipo simple
hapendi dingo, haniishi hamham
niko naye sina nyimbo
Nikatoa single, mpaka sasa nna album
mimi mkali wa mitindo
hata iki'mingle, kitandani mashamsham

kila siku mi niko naye
ila siku hizi penzi linatia fora eh
hata mama na papa eh
wanasema umenizidi TBS kwa ubora eh

kila siku mi niko naye
ila siku hizi penzi linatia fora eh
dem mama eh dem papa eh
wanasema umenizidi TBS kwa ubora eh

tukutane tena baadae eh, ai, baadae eh
njoo unipe tena baadae eh, si, baadae eh
usikose kuja baadae eh, ai, baadae eh
nitakungoja baadae eh, si, baadae eh

baadae eh, niko naye heey
baadae eh, niko naye heey

unang'aa bila lotion
mkali wa fashion, baby kama umechorwa eh
you got a temptation
sitaki nikukose, matajiri wakanipora eh
Penzi langu sio boshen
usijipe question, mimi ndiye mume bora eh
wananipangia mission
ili unitose, nimemuachia mola eh

kila siku mi niko naye
ila siku hizi penzi linatia fora eh
hata mama na papa eh
wanasema umenizidi TBS kwa ubora eh

kila siku mi niko naye
ila siku hizi penzi linatia fora eh
dem mama eh dem papa eh
wanasema umenizidi TBS kwa ubora eh

tukutane tena baadae eh, ai, baadae eh
njoo unipe tena baadae eh, si, baadae eh
usikose kuja baadae eh, ai, baadae eh
nitakungoja baadae eh, si, baadae eh

baadae eh, niko naye heey
baadae eh, niko naye heey

raha zote kwako napata, ai, napata!
umenichanganya nadata, si, nadata!

raha zote kwako napata, ai, napata!
umenichanganya nadata, si, nadata!
kila siku mi niko naye
ila siku hizi penzi linatia fora eh
hata mama na papa eh
wanasema umenizidi TBS kwa ubora eh

kila siku mi niko naye
ila siku hizi penzi linatia fora eh
dem mama eh dem papa eh
wanasema umenizidi TBS kwa ubora eh

tukutane tena baadae eh, ai, baadae eh
njoo unipe tena baadae eh, si, baadae eh
usikose kuja baadae eh, ai, baadae eh
nitakungoja baadae eh, si, baadae eh

baadae eh, niko naye heey
baadae eh, niko naye heey

sirudi tena lyrics by Mabeste ft Jux

sirudi teee..
tena na tena na tena na tena
tena na tena na tena na tena, ha!
sirudi teee..

na locality hii syllabus
bora peke yangu zaidi ya yule mama abas
wapi safe place progress
mitikasi no stress
confidence money power, heavy influence
mi sirudi tena nikirudi ni accident
exchange rafiki job ni evidence
kwangu holiday
niko na ghafi na boogie dance
nipo kwa away place na ndugu wengine sense

mi sirudi..
nikikumbuka nilikuwa benchi kwenye mechi
nani na messi kilaga sio pancha
mpaka mapeche
flow ndani ya flow naziwekea ma dress
niko interested zaidi ya ku'copy tu na ku'paste
na bado pia ikawa ngumu ku understand mi
and by the way ah, hili game liko under mi
mi sirudi tena unifate maybe ndo reality
ni mipango tu mki stand kama boss usije uka panic!

sipotezi masaa, nakimbiza chapaa
kwenye dhiki mi sirudi te..te..te,,,te
tena na tena na tena na tena
sirudi te..te..te..tee
tena na tena na tena na tena


sipotezi masaa, nakimbiza chapaa
kwenye dhiki mi sirudi  te..te..te,,,te
tena na tena na tena na tena
sirudi te..te..te..tee
tena na tena na tena na tena


hii ni rap mathematical  high preach
rapa tino hermy B collabo ni hybrid
ray city sirudi tena na bullshit kule haiko fit
[mashairiBongoflava.blogspot.com]
jamaa wako luv mi nabaki huku haiko dhiki
mi sirudi tena super duper bite beat
hakuna ku hit viti ni bubblegum you haiko deep
you got!? siri imefichuka tena haiko zipped
mi sirudi tena i know najua ntafeel guilty
cause dah i saw jamaa wako na jealous
kama ikibidi nirudi no sipendi haterz
against enemy n only treaty ndo mitindo
na kwenye forest mbinu sumu ya ulimi ndo fimbo
sirudi ukipenda follow my lead ya tell us
si hivyo huwa unajua ntarudi no
huku niko niliko mungu amenijalia afadhali
sirudi tena my boys mi mshale

sipotezi masaa, nakimbiza chapaa
kwenye dhiki mi sirudi  te..te..te,,,te
tena na tena na tena na tena
sirudi te..te..te..tee
tena na tena na tena na tena


sipotezi masaa, nakimbiza chapaa
kwenye dhiki mi sirudi  te..te..te,,,te
tena na tena na tena na tena
sirudi te..te..te..tee
tena na tena na tena na tena

sirudi tena pale kwa jana, sio
ishara ndo inanifanya niogope nitoke mbio
nitacheka nikiondoka nikirudi kilio
mi nahepa mbio sirudi why? tega sikio
mi nakereka na mabaya tukio
magharibi naona mashariki mi ndo kimbilio
sirudi tena moyo umri umeshani cost
wa karibu yangu jamaa hata my big brother
ah, afadhali nikijifariji
mi nasonga kando kuepuka magaidi
no future mtu ila mungu ndo shahidi
walificha nikachunguza vema ka CID
bado nahitaji kwenda mbele mi si reverse
kilichofichwa kimefichuka siri basi
sirudi tena pale mbele naongeza kasi
mi siko normal ulishaniumiza sana ile level..so!

sipotezi masaa, nakimbiza chapaa
kwenye dhiki mi sirudi  te..te..te,,,te
tena na tena na tena na tena
sirudi te..te..te..tee
tena na tena na tena na tena


sipotezi masaa, nakimbiza chapaa
kwenye dhiki mi sirudi te..te..te,,,te
tena na tena na tena na tena
sirudi te..te..te..tee
tena na tena na tena na tena

tushukuru kwa yote lyrics by Lameck Ditto

Verse 1
Kwa pamoja Tutazame Hapa Tulipo
Panatuonyesha Picha Ya Mbali Uko Tuendako Mpenzi
Mengi Utasikia Yakisemwa Usiweke Moyoni
Kuteleza Inatokea Mambo Ya Ndani Usiyaweke Hadharani
kama ndege njoo turuke angani wote
unishike nikushike ili tuwe wote
mvua ikinyesha iwe baraka ya penzi letu
lolote likitokea basi tuanguke na tufe wote

Chorus
wengine amani tuliyo nayo kidogo wanaiota hawana
tena pengine pesa siyo tatizo vipigo kati yao upendo hakuna
tena pengine pesa siyo tatizo vipigo kati yao upendo hakuna
Heri yetu sisi tushukuru kwa yote heeeeee Tushukuru kwa yotee
Heri yetu sisi tushukuru kwa yote heeeeee Tushukuru kwa yotee

Verse 2
Asiye nipenda hakupendi hata siku moja
Siku tunaachana ndiyo wanachongoja mpenzi
Juzi nilikosea nikakukuta unalia machozi
Nilipo kuomba radhi ukaelewa samahani ikaokoa penzi

Chorus
wengine amani tuliyo nayo kidogo wanaiota hawana
tena pengine pesa siyo tatizo vipigo kati yao upendo hakuna
tena pengine pesa siyo tatizo vipigo kati yao upendo hakuna
Heri yetu sisi tushukuru kwa yote heeeeee Tushukuru kwa yotee
Heri yetu sisi tushukuru kwa yote heeeeee Tushukuru kwa yotee

Bridge
Ni siku nyingi tumejenga mapenzi imara
Wapo hwapendi wameamua kujenga na hila
Wasilete maneno na vikao wakatukalia
Ikawa sababu yakutufanya na sisi kuyumbaaaa

Chorus
wengine amani tuliyo nayo kidogo wanaiota hawana
tena pengine pesa siyo tatizo vipigo kati yao upendo hakuna
tena pengine pesa siyo tatizo vipigo kati yao upendo hakuna
Heri yetu sisi tushukuru kwa yote heeeeee Tushukuru kwa yotee
Heri yetu sisi tushukuru kwa yote heeeeee Tushukuru kwa yotee

source:http://www.lameckditto.com/

swahili by stereo


chini mdundo kama kawa, vocal ya kigumu
hizi flow haziendi sawa na miondoko ya kidumu
tisha kama fever viva black, viva nature
naskika mpaka geniva, beniva deliver lecture
maisha sio matamu ujumbe huu hapa sio wa kibubu
nazijua kalamu hata kabla sijakuwa vidudu
kipaji nina ujuzi wa mengi unanifanya nisishinde bubu
wanga wakikesha mungu atanilinda nisipigwe juju
acha kasumba kayumba anayumba wema
nakusaka mchumba nikifa muumba ataniumba tena
speech kibao kumbe na masnitch nao wanadunga
unaweza ukapata mchumba, na usipate unyumba mwema
neema za manati, rehema za hayati
nnapotema sina wema, ukiwa nyangema au wa masaki
cheza kila game na usicheze bila nguo
bongoflavor kama demu yule mliyekutana chuo
mi ni mmang'ati mwenye beef na mmasai
nipe shati niko safi kama trip za makhsai
donoa touch niwamiminie mwani
ka vipi uibuke church niwafukizie ubani

yes yes yoh MIC check moja mbili
nipe dili soldier kisomi hoja jadili
kila dalili naikamilisha kamili
na pili yeah
mkongwe nawakilisha swahili

yes yes yoh MIC check moja mbili
nipe dili soldier kisomi hoja jadili
kila dalili naikamilisha kamili
kwenye boom bump rap nawakilisha swahili

nipo simple kama shaolin mocca
bench humuoni messi hii ni shaolin soccer
shaolin coca kata kiu piga mbiu
mistari inatema sumu kama shaolin nyoka
haina mbada jepesi
james teach your best teacher best preach
na bless preach the best preacher
niko busy kama daladala
kwatia ngongoti haiwatoshi nyie wafupi kama mwala
peace kwa jangala, VIP ni diss mbagala
mpagani anapokufa hatufanyi mazishi kwa sala
tawala kama tinga, wanakulinda na maadui
huwinda kama simba wapo wanaokuwinda na huwajui
chekecha ubongo balongo pepesa chongo
pendeza na shuka tembeza suka pepeza chombo
mfuate darasani amani proffessor kombe
more hewani kama ruhani aliyepoteza ng'ombe
chafua midundo kama goli ndani ya boxer
mi malenga meander lenga ninapolenga siwezi kosa
nitabaki juu, sema style ya flow
sikiliza  ngoma mbona  mbishi noma stereo song


yes yes yoh MIC check moja mbili
nipe dili soldier kisomi hoja jadili
kila dalili naikamilisha kamili
na pili yeah
mkongwe nawakilisha swahili

yes yes yoh MIC check moja mbili
nipe dili soldier kisomi hoja jadili
kila dalili naikamilisha kamili
kwenye boom bump rap nawakilisha swahili

usiishi kwa mashaka ka unavuta bangi central
nakupa tag kama chunda badi spenko
sina beto hapa ngumi tu kama mkabaji keko
piga nyeto, niite dalali ukihitaji ghetto
mi ni mentor wa mentor na mentor wako
sound inventor sipo scout na peta na gangster wako
waambie wazungu hii ni sala ya mizimu
naona malaya wanasambaza waya ka mistimu
unda timu, unda darasa nije mwalimu
mkali kama mbogo na dogo mwendawazimu
sifai nyooka divai coca nakula nyonga
sing'ai chokaa sivai mocca nakula donga
najua dada yako hapendi rap kabisa
na hii kudrop na kustop ni kuasi kanisa
verse ina sura mbaya kama nduli amini
yeah, unadhani nani mkali kama sio duli na mimi



yes yes yoh MIC check moja mbili
nipe dili soldier kisomi hoja jadili
kila dalili naikamilisha kamili
na pili yeah
mkongwe nawakilisha swahili

yes yes yoh MIC check moja mbili
nipe dili soldier kisomi hoja jadili
kila dalili naikamilisha kamili
kwenye boom bump rap nawakilisha swahili