let's wait by Cindy Rulz ft Dunga

[Intro]
Ugh its the talk of the town classic
(ha ha ha ha)
Lamar! Fish Crab Cook out
Do you know what we have bee?
(Lets wait a while)
Cindy Rulz, DG
A Fish Crab presentation
Auuuuuu!

[Verse 1: Cindy Rulz]
Nimeanza kuku-feel we since day 1
Nikikuona kama madini ya mererani
Unavyong’aa ukweli you are my number one
Akili umeiteka daily upo kichwani
Ha! Lakini inabidi usubiri hun
Cuz muda sio right now so please let’s wait a while
Na najua unajiuliza lini nitakupa punani
Hhahah but baby you know wagwAnnotatean
Na nikwambie kitu you are always on my mind
Lakini baby me naumia
Kuwa nawe siwezi kusubiria
Nikiwa nawe nakua high bila bia
I think of you while I lie in my bed
And wonder if there’s anything I could have said…
Ah we, kama nimekosa nisamehe

[Hook: Dunga]
Let’s wait a while
(Inabidi tusubiri baby cuz time sio right now so)
Let’s wait a while, my baby
Let’s wait a while
(Inabidi tusubiri baby cuz time sio right now so)
While while while, my baby

[Verse 2: Cindy Rulz]
Think about it boo
Bado niko school
I really like you
But I don’t wanna hurt you
Na moyo wangu uko kwako tu
Nakomaa tu mpaka nifike chuo kikuu
Usione mbali kwangu ni kama kesho tu
Na tutaenjoy real love lile lililo true
Ah don’t worry boo
Cuz the truth is, I really need you
Tatizo mwenzako nina vitu vingi
Na kesho naingia kupiga pindi
Umri mdogo msala akijua dingi
Nataka kua nawe hilo sipingi
Si unakumbuka them times shule ya msingi?
You’re my everything kwako sitaki bling
Naomba unisubirie muda si mwingi
Kwani nataka kua nawe hilo sipingi

[Hook: Dunga]
Let’s wait a while
(Inabidi tusubiri baby cuz time sio right now so)
Let’s wait a while, my baby
Let’s wait a while
(Inabidi tusubiri baby cuz time sio right now so)
While while while, my baby

[Bridge: Both]
Naomba unisubirie eeh eeh
(Naomba unisubiri)
Wewe papi*2
(Siwezi)
Siwezi kwenda kwa mwingine
Let's save this for later
Our love can be greater

[Hook: Dunga]
Let’s wait a while
(Inabidi tusubiri baby cuz time sio right now so)
Let’s wait a while, my baby
Let’s wait a while
(Inabidi tusubiri baby cuz time sio right now so)
While while while, my baby

TAZAMA RAMANI


 ...............................................................
       

1. Tazama ramani utaona nchi nzuri
Yenye mito na mabonde mengi ya nafaka,
Nasema kwa kinywa halafu kwa kufikiri,
Nchi hiyo mashuhuri huitwa Tanzania
Majira yetu haya, yangekuwaje sasa
Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha X2...

2. Chemchem ya furaha amani nipe tumaini,
Kila mara niwe kwako nikiburudika,
Nakupenda sana hata nikakusitiri,
Nitalalamika kukuacha Tanzania.
Majira yetu haya, yangekuwaje sasa
Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha X2

3. Nchi yenye azimio lenye tumaini,
Ndiwe peke yako mwanga wa Watanzania,
Ninakuthamini hadharani na moyoni,
Unilinde name nikulinde hata kufa.
Majira yetu haya, yangekuwaje sasa
Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha X2

.......kutoka kwa admin nawatakia AMANI NA UPENDO VITAWALE KATI YETU WATANZANIA

sugua gaga by Shaa

(verse1)
Wewe nyambonde mimi nyasumi
Matatizo yetu hayafanani
Wewe nyambonde mimi nyasumi
Matatizo yetu hayafanani
kama una shida unamwambia nani
Watu wanacheza mambo hadharani...
kama una shida unamwambia nani
Hata me za kwangu nimeacha nyumbani
Hatufanani
Hatulingani
Jiachie full mwanawani
Mshike mwenzio mkono kiunoni
Wote Jiachie full mwanawani
Mshike mwenzio mkono kiunoni
Tufanane

Usihofu hasara hasara
Hakuna kulala kulala
Usihofu hasara hasara
Hakuna kulala kulala
Usihofu hasara hasara
Hakuna kulala kulala

(chorus)
 Kama shida tumezaliwa nazo
Njaa isiwe kikwazo
Tukazeni mjini mipango
Njoo tuzisahau shida
Kama shida tumezaliwa nazo
Njaa isiwe kikwazo
Tukazeni mjini mipango
Njoo tuzisahau shida

Kama kucheza tunacheza wote
Njoo tuzisahau shida
Kama kuimba tunaimba wote
Njoo tuzisahau shida
Kama kucheza tunacheza wote
Njoo tuzisahau shida
Hata kuimba tunaimba wote
Njoo tuzisahau shida

(verse2)
Sina gari na nyumba ila wema nnao
Sina gari na nyumba ila wema nnao
Unataka kushindana na mimi
huwezi
Maisha yangu uswahilini
Siishi mbezi
Unataka kushindana na mimi
huwezi
Maisha yangu uswahilini
Siishi mbezi

(bridge)
Hii ni serikali ya kiswazi bibi tunakaba jiko tunakaba choo
Hakuliki wala hakuendeki
Wao wana dollar mmh si tuna visenti
Inakuhusu usije ukangoka meno sababu ya uchu

Kwanini usipende
Kwanini usiende
Kwanini usicheze
Kwanini usipende
Kwanini usiende
Kwanini usicheze

Wengine chakara chakara
Mashetani yamepanda
Ameshika usinga kanasa kwenye kibanda
Wengine chakara chakara
Mashetani yamepanda
Ameshika usinga kanasa kwenye kibanda
kibanda kibandaa

(chorus)
Kama shida tumezaliwa nazo
Njaa isiwe kikwazo
Tukazeni mjini mipango
Njoo tuzisahau shida
Kama shida tumezaliwa nazo
Njaa isiwe kikwazo
Tukazeni mjini mipango
Njoo tuzisahau shida
Kama kucheza tunacheza wote
Njoo tuzisahau shida
Kama kuimba tunaimba wote
Njoo tuzisahau shida
Kama kucheza tunacheza wote
Njoo tuzisahau shida
Hata kuimba tunaimba wote
Njoo tuzisahau shida

Sugua gaga sugua gaga
Sugua gaga sugua gaga
Sugua gaga sugua gaga
Sugua gaga sugua gaga
sugua gaga

Usihofu hasara hasara
Hakuna kulala kulala
Usihofu hasara hasara
Hakuna kulala kulala
Usihofu hasara hasara
Hakuna kulala kulala

Heri kuwa na pengo kuliko jino bovu
alama ya mguuni sio kovu
ni hayo tu

.....trumpet plays till fade....