REST IN PEACE ALBERT MANGWEA

UPUMZIKE KWA AMANI JEMEDARI WA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA TANZANIA...WAPENZI WA MUZIKI WA TANZANIA TUTAKUKUMBUKA DAIMA

Kama zamani by Mwana FA ft Mandojo & domokaya & kilimanjaro band (njenje)


[Intro - Mwana FA]
Keeping the good music alive
Thats my job!
I like the way y'all lookin' tonight
Wow!
This is the..eer..kind of music you can twist up to
I mean like..er..to the left, to the right
Step it up, to the right, C'mon!
Left, right

[Hook - Dojo,Domo&FA]
Oh oh oh! natamani iwe, natamani iwe kama zamani (kama kama kama kama zamani)
Natamani iwe Eeh! (Lets Go!)
Oh oh oh! natamani iwe, natamani iwe kama zamani (kama kama kama kama zamani)
Natamani iwe Eeh!

[Verse 1 - Mwana FA]
(Feel me!)
Sikukukosea nilikukosea kuamua
Nkadhani umenikosea sana nkashindwa kuchagua
Machozi yangu na maumivu yana uhusiano unajua
Nawezafanya chochote rudi maa Mungu anajua
Bado sinywi pombe kama ulivyoniacha shuga
Huwa naswali ila sifungi mawazo yamenipa ulcers
Wananicheka ujinga 'coz nakuongelea wewe tu
Nikiongelea mapenzi mfano wangu wakwanza ni wewe boo
Kama ni ndoto naomba Mungu iishe mapema
Naona mateso ka' naibeba dunia nzima
Nashindwa kula nashindwa kulala mama
Kila kukicha naumia kama tuliachana jana
Ni jeuri tu zinaniumiza
Yasingefika huku kidume nisingeendekeza
Mara ngapi nilikosea mimi na ukanisamehe
Mara ngapi ungeweza kuliacha penzi lipotee
Hukuniacha ukaganda na mimi kama ulinizaa wewe
Nilishindwaje kusamehe wakati ulipokosea nawe!
Tungeachana usiku tukarudiana asubuhi
Jeuri tu zinaniongoza nashindwa hata kumsabahi

[Hook - Dojo,Domo&FA]
Oh oh oh! natamani iwe, natamani iwe kama zamani (kama kama kama kama zamani)
Natamani iwe Eeh! (Lets Go!)
Oh oh oh! natamani iwe, natamani iwe kama zamani (kama kama kama kama zamani)
Natamani iwe Eeh!

[Verse 2 - Mwana FA]
Siwaulizi shosti zako kama bado unanikumbuka
Siwezi majibu yao ya shombo yatanisuta na ntawachapa
Sijasahau walivyonibembeleza enzi tunavunjika
Na nilivyogoma kuwasikiliza wote vicheche nkawaita
Sikuwa na uwezo wa kuku-treat kama millionaire
Mapenzi yakazidiwa na maisha we had to break somewhere
Yes ulinikosea na ukanifanya nkalia
Nkashindwa kujikaza ikanibidi kukuachia
Hukuamini maneno yangu hukupenda the way they sounded
Au labda ahadi zangu hazikufikia what you wanted
Kama nkupigie simu nkusikie tu itanitosha
Hata ukinitukana moyo wangu utaupumzisha (baby come back)
Kama wakati urudi nyuma uniombe msamaha tena
Ama usingenikosea tuishi kama zama
Ukirudi sikuachi uende tena
Hata ukinikosea ukafanya ka' uliyoyafanya tena
Nani atafanya nisikuwaze? Hakuna binti wa aina yako
Nsasamehe ulikosea tu rudi kwa nafasi yako (rudi maa!)
Sileti tena kisu kwenye mpambano wa bunduki
Shell silingi tena taka sitaki sasa basi

[Bridge - Dojo&Domo]
Nikikaa chini waza mengi juu yako
Na some times, na-miss sana hot kisses zako
Natamani niguse tena mwili wako
Penzi lako, natamaniiiihh kama zamaniiii!!

[Hook+Outro - Dojo,Domo&FA]
Oh oh oh! natamani iwe, natamani iwe kama zamani (kama kama kama kama zamani)
Natamani iwe Eeh!
Oh oh oh! natamani iwe, natamani iwe kama zamani (kama kama kama kama zamani)
Natamani iwe Eeh!

One more time..

Oh oh oh! natamani iwe, natamani iwe kama zamani
Natamani iwe Eeh! (Lete kwaya sasa!)
Oh oh oh! natamani iwe, natamani iwe kama zamani
Natamani iwe...Eeh!

Fitna by wanaume halisi

(intro)
Halisi chimvu kundenge
Vancheche vya kuntazami
Kwa ajili ya kunipa hasiraa

(Verse1)
Umemponza mdomo sa kilanga komo
Kwani mambo aliyoyafanya bar kila mtu alishangaa
Kisa kwenye pombe alijiita ye shujaa
Me bwana mzaramo me naweza kumwangusha
Maana nikinywa ngano siku hizi zinaniyeyusha
Kumbe katoka ubanda
Njia nzima nzi wamemtanda
Yaani yanamtoka maganda
Chenchelenche
Ndio ulikuwa msemo wake
Kufanya vibweka vimbwanga ndio ikawa zake
Akaanza matusi na baadhi ya makuzi
Yaani juzi juzi tu kamtukana afande
Kuuliza eti kisa pombe
Kama hizo pombe unakunywa peke yako
Tofauti na wenzako
Tena kimpango wako
(Laughing)
Aua unacheeka ntakuchukua me

(Chorus)
Mdomo umemponza
Kashindwa kuelezea yaliyomkuta kule bar
Rafiki wamemtenga kwasababu ya matusi na fitina
Mdomo umemponza
Kashindwa kuelezea yaliyomkuta kule bar
Rafiki wamemtenga kwasababu ya matusi na fitina
Na fitna (fitna)
na fitna (fitna)
na fitna (fitna)
Na fitna (fitna)

(Verse2)
Chunga domo lako kuwa kama umekutana na simba mla nyama za watu
Usijifanye fyatu
wakati ukimkanyaga mende tu unatoka nduki unaruka
Eti nyoka uyoo (yuko wapi)
Unakimbia nini (nini)
Fitna umbea majungu
kukaa
Na kina mama
Unawaambia nini (umbea)
Hiyo fani siyo yako
Fani ya watu wa taarabu
Au dume siyo riziki
Halafu watu sijui wanakuaga nimapimbi (pimbi)
Eti msanii kaingia studio na ndala (ndala)
Na amevaa pensi
Akujua anayosema
kwenye facebook na twitter
Sijui kisa hela
alizopewa
na mameneja feki
Wasiopenda wa uswazi
mzomeeni uyo (oooooooh)
Sasa kazi kwake na raia wake
Anashindwa kulala shauri ya ujinga wake
Kazi kwake me sipo uko
Mchanga wa pwani huooo
cheza nao kidaruso
Panda panda

(Chorus)
Mdomo umemponza
Kashindwa kuelezea yaliyomkuta kule bar
Rafiki wamemtenga kwasababu ya matusi na fitina
Mdomo umemponza
Kashindwa kuelezea yaliyomkuta kule bar
Rafiki wamemtenga kwasababu ya matusi na fitina
Na fitna (fitna)
na fitna (fitna)
na fitna (fitna)
Na fitna (fitna)

(Verse3)
Ndugu wamemtenga na marafiki wamempotezea
Kisa akishakolea tu matusi anawatolea
Limemponza domo Mayai wamemgongea
Alijiona ye ndio bingwa
Akisha gonga miwa tu anajifanya amepinda
Kubaka kukamata kunga'ang'ania mapenzi
Ubabe babe kinguvu nguvu bin makame
Hizo ndio zilikuwa zake
Umbea majungu fitina kwake wenzake
Sasa kilanga komo
Umemponza mdomo
Kulonga kuna gundu (bwana we
Chonga sana
Kugonga sana kuloga sana
Imemcost gharama watu wamemkomba
Wamekwara Hata ndala mguuni hana
Yaliyomkuta bara anashindwa hata kuelezea
Kudadadeki

(Chorus)
Mdomo umemponza
Kashindwa kuelezea yaliyomkuta kule bar
Rafiki wamemtenga kwasababu ya matusi na fitina
Mdomo umemponza
Kashindwa kuelezea yaliyomkuta kule bar
Rafiki wamemtenga kwasababu ya matusi na fitina
Na fitna (fitna)
na fitna (fitna)
na fitna (fitna)
Na fitna (fitna)

JIPE SHAVU by AY FT FID Q



Verse 1:
Nachana style zaidi ya kumi bado kiwango same/
Kwenye speaker unamsikia mastermind wa hii game/
Toka BC game,mpaka AC game/
Wanajaribu hata kugeza hawana Edu-Tain/
Nasmile,wanavyoscream M BACK AGAIN/
Chillax,usipanic kwani where have you been/
Bila msoto maisha haya mjomba huwezi gain/
Kanyaga moto acha utoto then life maintain/
Napata moyo navyosikika toka Jozi mpaka Lagos/
Bado mnakuna vichwa level hizi chafu mikosi/
Nimetoka mbali na hii game bado naidai/
Ndio maana sivimbi kichwa na Ufame till I die/
Usiwe bingwa wa kuhonga na home wanalala njaa/
Nyumbani umeacha mboga moja ka komba ulala
baa/
Ujanja kuweka heshima nyumbani na is kuweka baa/
Unashangaa?? Stuka huu sio muda wa kuzubaa

Chorus:
(Fid Q)
Jipe shavu,kama unajipa una hizi sifa na kama una
hizi sifa hakikisha watu walikupa,
Una Cash?Money,we ni Hustler?flani
Unasupport yako familia na uko real x2

(AY)
Jipe shavu,kama unajipa una hizi sifa na kama una
hizi sifa hakikisha watu walikupa,
Una Chase?Money,we ni Hustler?flani
Unasupport yako familia na uko real x2

VERSE 2:
(Fid Q)
Jipe shavu.. kabla haujajipa uwe na hizi na kama una
hizi sifa hakikisha watu walikupa..
una cash- money.. wewe ni hustler.. fulani../
Ulikuja na DASH kama DAMON ukazi-Chase kama
DAMIAN/
jipe shavu ukiwa na ubavu wa u - billionea/
Haters watashow LOVE kwa HI 5 everywhere/
'' C E O wa CHEUSIDAWA TV'' yeah.. iliyoanza kwa
flipcam/
ukinikuta club utapagawa.. njoo u-Sip some/
Flow hizi tamu/ zinaleta SNOWS ndani ya DAR ES
SALAAM/
na mie ndo BOSS bado haujanifahamu?/
TROUBLESOME..na hizi lyrics sio bubble gum/ Multi-
Syllabic acheni ubishi hii sio double rhyme..

Chorus:
(Fid Q)
Jipe shavu,kama unajipa una hizi sifa na kama una
hizi sifa hakikisha watu walikupa,
Una Cash?Money,we ni Hustler?flani
Unasupport yako familia na uko real x2

(AY)
Jipe shavu,kama unajipa una hizi sifa na kama una
hizi sifa hakikisha watu walikupa,
Una Chase?Money,we ni Hustler?flani
Unasupport yako familia na uko real x2

Verse 3:
Beware,usinifuate shika nukuu,fanya mbwembwe
huko uliko ila usije njia kuu,
Mdundo mzito wa Q
Michano ya level ya juu
Kazi inaisha kabla ya kuanza mbele ya me and Fid Q,
Ukitaka kunijua jiandae kujilaumu
Bora uhairishe zoezi kubakie tu kunifahamu
Jipe shavu ulikuja mjini mnyonge mzeiya sasa una
mabavu,unasurvive,na wengine unawapa shavu
Jina lavuma Afrika nzima nazidi tu kujituma
Nyuma na support nzima Mtwara to Musoma
Dar to Kigoma ,A Town,Moro to Ruvuma
Tanzania nzima so unatamani hata kugoma
Umenisoma?mchaka wa soka ka mchizi Chonka
Chini kwa chini ka Inju bin Unuki mi nasonga
Mkononi Michael Kors na 3 smart phones
Border nazidi cross huniambii we bitozi
Simu nyingi zinazotoka na kuingia ni za biashara
We bwabwaja,scratch yo balls mzembe zidi lala
Ujanja kupeleka faida bank ya ile uliyoinvest
Bora uhairishe kabla hujaniface

Chorus:
(Fid Q)
Jipe shavu,kama unajipa una hizi sifa na kama una
hizi sifa hakikisha watu walikupa,
Una Cash?Money,we ni Hustler?flani
Unasupport yako familia na uko real x2

(AY)
Jipe shavu,kama unajipa una hizi sifa na kama una
hizi sifa hakikisha watu walikupa,
Una Chase?Money,we ni Hustler?flani
Unasupport yako familia na uko real x2

Usijisahau by Doctor Fazi Ft Silvia n Raymond (The Free style Master)


Studio: G2G Records (Green City)

Producer; Ahaz


Intro; (By Doctor Fazi)
From Green city (G2G Records) hii ni kwa ajiri yako
Mamy,
This is how it is supposed to be done, very new, very cool
Usijisahauuuu, usinidharauuuu From Green city

CHORUS (By Raymond)
Niwewe sitokubadili, nakupenda sana sio siri
Mabaya usiyafate sio Dili, Nakupenda weeewe aaah
Usijisahauuuu, usinidharauuuuu usinidharau
dharau
Dharau Mama weeee

VERSE 1 (Doctor fazi)
Ulikuwa beautiful (Msaaafi) kuliko Nancy SumaRY
Baada ya ndoa ndio ukawa hujijaRi
Nami sioni hataRI, kukwambia ukweLI
Siri haistiRI uhai wa penzi la kweLi
Yanini chambo kwa samaki uliyemvua, umeridhika
umenivUA
Haujajua warembo ni wengi kwako naweza potEA
Usijisahau usilete dharaU, nikipanda nikishuka
usilete nahaU
Za kebehi na dharau ukasahau, nimimi
niliyekupandisha daU
Usiwaige vichiriku wenye u bi cha U, Sipendi kati yao
uwe wao mdaU
Kumsabahi mama ulipiga goTi, leo unabonyea
nakushtua kijoTI
Kisa pamba ni saaafi, za white, za kutokea nighT,
(weeewe)
Hera ya shoping hutaki laki laKI, (huna adabu)
Unataka mamilioni aaaah aaah hunitendei haaaaKI
Sio desturi za warmbo wakinyaKI
Sio tamaduni za warembo wa kinyakyuSa, (wa
Mbeya City)

CHORUS (By Raymond)
Niwewe sitokubadili, nakupenda sana sio siri
Mabaya usiyafate sio Dili, Nakupenda weeewe aaah
Usijisahauuuu, usinidharauuuuu usinidharau
dharau
Dharau Mama weeee
then

Verse 2. (By Sweetyrito Silvia)
Nikikumbuka mwanzo, mwanzo wa mapenzi mi
nawe
Oooh toka enzi zile minawe (hatujaona * 2)
Ulinionyesha real love, nikawa your (only Baby Love *2)
Leo umebadilika umejisahau kabisa , kabisaaa,
Hutaki tuongozane weeewe, mavazi nayo unipangie
weeewe
Na kazi nazo hutaki nifanye mieee!!
Hutaki tuongozane weeewe, mavazi nayo unipangie
weeewe
Na kazi nazo hutaki nifanye mieee!!

Brigde (Doctor fazi)