merry christmas wadau wote

nawatakia heri ya sikukuu wadau wote wa blog ya kibabra......ntakuwa mtu wa ajabu kama sitatoa shukrani zangu kwenu kwakuwa nyinyi ndio mnaofanya mimi niwe hivi nilivyo.....nashkuru sana kwa kuwa mnanipa mawazo ya nini cha kufanya na wapi.....leo ndio kwanza  mwezi wa tatu toka niuptodate hii blog na kuwa ya lyrics kutoka ilivyokuwa apo kabla ''just for fun''......kuna matatzo yapo kwa sasa kama watu kurequest nyimbo na kutozipata au kukosa lyrics za nyimbo mpya punde zitokapo......tupo pamoja marafiki na wadau wote wa blog hii ya kijanja...  tuwe waangalifu katika kipindi hiki..kumbuka pombe na gari haviwezi kuwa marafiki daima.....don't drink and drive.....remember only God knows your tommorow...sema asante kwake kwa kila jambo....MERRY CHRISTMAS 
one love

Mary's boy child' lyrics by Boney M ....to fans wote wa kibabra.blogspot.com

zikiwa zimebaki siku kumi na moja kusherehekea sikukuu ya christmas blog ya kibabra..inapenda kushare na marafiki na wadau wote hii nyimbo





Mary's boy child Jesus Christ, was born on Christmas Day.
And man will live for evermore, because of Christmas Day.

Long time ago in Bethlehem, so the Holy Bible say,
Mary's boy child Jesus Christ, was born on Christmas Day.

Hark, now hear the angels sing, a king was born today
And man will live for evermore, because of Christmas Day
Mary's boy child Jesus Christ, was born on Christmas Day.

While shepherds watch their flock by night,
they see a bright new shining star,
they hear a choir sing a song, the music seem to come from afar.
Hark, now hear the angels sing, a king was born today
And man will live for evermore, because of Christmas Day.

For a moment the world was aglow, all the bells rang out
there were tears of joy and laughter, people shouted
"Let everyone know, there is hope for all to find peace."

Now Joseph and his wife, Mary, came to Bethlehem that night,
 they found no place to bear her child, not a single room was in sight.

And then they found a little nook, in a stable all forlorn,
 And in a manger cold 'n' dark, Mary's little boy was born.

Hark, now hear the angels sing, a king was born today,
And man will live for evermore, because of Christmas Day.
Mary's boy child Jesus Christ, was born on Christmas Day.

Oh a moment still worth was a glow, all the bells rang out
there were tears of joy and laughter, people shouted
 "let everyone know, there is hope for all to find peace".

Oh My Lord...


pia nampa hongera mwanadada Salma kwa kujifungua salama mtoto wa kike leo asubuhi ya saa 2...mwenyezi Mungu akujalie malezi mema na ukuaji mwema wa katoto kako

pia watu wote waliopata watoto leo hii na wenye watoto ambao hii christmas itakuwa ya kwanza kwao....
auncle Kirikou ''Germana'' included..


mathematics lyrics -Roma



Song:mathematics
Artist:Roma

It's beautiful day asalaam aleikhum Tanzania

Nimeshatikisa nyavu mimi ndo MVp
Wakakimbia depo kwa polisi wa ccp
Niliwapigisha kuruta kwata la JKT
Nna kipaji mimi kushinda cha T H T
Nawapangisha foleni kama bank ya NMB
Mimi nimesoma pcm sio pcb
So hata tufungwe mimi ni arsenal sio man yu
Kibonde we ni member wa loan board au TCU
Nchi imeuzwa vigogo wanapita ATM
Tuwakemee mafisadi wote wa ccm
kuvua gamba haiwasafishi mbele ya CUF 

chadema mwone Makamba Jk kwa tff
Sihitaji dancer wala mapanga yale ya tmk
Show zangu sio longolongo zile za y2k
na sio bandia kama lile kontena la BOT
Situkuzi kilichofake kama TOT
Mimi ndio roma ntasimama kama KKT
Asante bongo makejoo na mongo tbt
Mistari yangu mitamu kama miwa ya tpc
Na kwa hizi flow mamc mtalazwa kcmc.

Kodi ya walalahoi pombe ya tra
Miili yao ndio biashara ndani ya bba
Fataki anatoa mkopo ndani ya TIA
Mimba hazina uhakika mpaka DNA
Mhaya ishike elimu
Msambaa auze matunda
Mpemba avue samaki
Mnyakyusa avune mpunga
Aah aaah yaah rock city mikono juu yeeah
Mbeya city mikono juu

Mwambieni hatukuogopa tabiri za shekhe Yahya
Mahuti yangetufika bila kumpinga Jakaya
Sisaliti sirudishi kadi ya chama ka Nakaya
bado ainingii akilini hukumu ya babu seya
Wagonjwa wanakufa mapokezi
Dokta anakunywa value

Wazazi wanakufa labour wengine ICU

Wagonjwa wanakufa mapokezi
Dokta anakunywa value
Wazazi wanakufa labour wengine ICU
Waambieni me mzalendo na hii ndo mbiu ya mgambo
Tanesco wakizima umeme hupitisha mzigo wa magendo
Harakati za dokta ricky katika kuinua michezo
Mama Terry wamemsaliti mwasiti wamempa Tangazo
Lady pepeta hawavai msema kwel samunge
Mipira Hawaitumii eti kwa babu kuna kikombe
Mafuta wanapandisha bei kisa wanamiliki sheli
Wachina wanawapa tenda si tunanyimwa vibali
Gongo la mboto wanalia
Misaada wamewatapeli
Bandugu bwaga manyanga
Ayaokote magufuli
Pesa za ujenzi wa shule kala na mkewe headmaster
Thamani ya mabango ya kampeni somesha watoto veta
Wanajiuliza dkt slaa ni wapi anapata data
Hatakama nimevaa mlegezo ikulu napiga chata
Ikulu wamejaa vibaka manzese wanawakamata
Makahaba wanaongezeka boom linapokata
wanauziana kwa minada mali za serikalini
Mhasibu anachek porn si tumepanga foleni
Mmakonde chonga vinyago
Muha avue dagaa
Mmasai alinde geti
Mnyamwezi aline asali
Aah aah yeah A city mikono juu yeaah
Yeeah Iringa mikono juu

Mamc wanapata stress ROMA akitua ubungo
Tanga niliwafunga tatu nawafunga tano hapa bongo
wanafuga rasta ili wapate mademu wa kizungu
We mchaga kauze mitumba muziki
Ushakufunga pingu
Mistari yako meusi it's okey naipaka carolite
Katiba sio msaafu my people needs copyright
Vuta pumzi ya baba ila kwa pua ya kitusi
Na siachi kupiga goti mbele ya altare kasisi
Imamu akizini mjengoni usiukimbie msikiti
Padri akilala na sista aibadilishi ukatoliki
Hata gangstar ulegeza ulegeza macho ''waat'' ukimpa cotton buds
Mnakamata mateja wakati nyi ndo mnauza drugs
Ili ujue fegi imewaka lazma upige tafu
We baba usimtume mtoto aiwashe utamuua mapafu
Popote umuonapo ng'ombe jua hapakosi mmasai
Na Tongwe ndo ngome kongwe
Zanzibar msinitoe nishai
Ndoto zangu kitambo ilkua nije kuwa padri
Zikayeyuka nilipo puliziwa moshi wa weed
Naenda church naamka tena nasali
Napopote utakaponiona shingoni nimevaa rozali
Hip hop ni consious sio usharobaro kubeba nondo
Me natafuta pesa ya kula we unamchek tu alejandro
Unadhani utaandika nini kama sio hadithi za konongo
Me jamii inanihitaji kamuone babu wa loliondo
Magazeti yanauza kwa skendo za wasanii
Machinga wanauza copy cosota wamekula deal
Shabiki anaburn nyimbo na show anaingia free
Underground usile ada urekodi ongeza bidii
Mzaramo acheze vanga
Mkurya apige kwata
Mdigo atungue nazi
Msukuma achunge ng'ombe

Aah you know Tanga is mine
yeaah Tanga mikono juu




Ooh Ooh lyrics - G.Nako ft Lady Jay Dee


lady Jay Dee

G.nako



Song:Ooh Ooh
Artist:G.nako ft Lady Jay Dee

Yalaa yeaah beb chiwala wala

Si unajua manightmare watu wamekesha
Tumetanda kama wingu basi gambe itanyesha
Jina langu usiku wa leo yaani kutakucha mtaniacha
lets mek it up and down up and down
Lets mek it up and down up and down up and down
Lets mek it up and down up and down up and down

(chorus:lady Jay Dee)
Let me hear say ooh ooh
(let me hear say)
Let me hear say ooh ooh
(let me hear say)
Let me hear say ooh ooh
(let me hear say)
Let me hear say ooh ooh

Washkaji zako ndo unawaanya
ama ama Magenge yangu ndo yamekaza sana mama
Macho yako yanaaashiria kama kama
Tamaa zetu za mwili au yetu asili ya uAdam na Hawa
Ishara zinaongea mbona aah aah
Ishara zinaongea Mama sema mapema aah aah
Mama sema mapema kama mbegu inapandwa ama mbegu inaliwa aah aah
Kama mbegu inapandwa ama mbegu inaliwa

(chorus:lady Jay Dee)
Let me hear say ooh ooh
(let me hear say)
Let me hear say ooh ooh
(let me hear say)
Let me hear say ooh ooh
(let me hear say)
Let me hear say ooh ooh
(chorus:lady Jay Dee)
Let me hear say ooh ooh
Let me hear say ooh ooh
Let me hear say ooh ooh

(verse3)
Kukuru kakara zako zitakuponza
Wacha wewe.
Warembo bado wanamwagika utashindwa mwenyewe
Kuku bata lete bapa
Kete ya cheche aah aah aah
Sa twende chini chini chini
Sa twende juu juu juu juu juu juu juu yeaah


(chorus:lady Jay Dee)
Let me hear say ooh ooh
(let me hear say)
Let me hear say ooh ooh
(let me hear say)
Let me hear say ooh ooh
(let me hear say)
Let me hear say ooh ooh

Ooh ooh ooh ooh
Ooh oooo ooh oooh

Let me hear say ooh
 Ooh ooh
Let me hear say ooh

Utasababisha malaika ...joos beiib.
 Ma A city finenga in da build
You know how we do it joo.................


hataki lyrics - Jos Mtambo


Jos Mtambo



Song:hataki
Artist:Jos Mtambo
Time:3:58

(verse.1)
Nilikutana na kamazee aisee kakali
Kapo kaunta me nakunywa safari
Gaa damn bonge ya demu
Sio siri mazee nikawa hoi
Ngozi tu nyororo
Sauti bwana murua
Uwez jua konyagi anakamua
Aaah low kwa pozi lako hallow
Unakunywa konyagi au kuwa na mpenzi
Akajibu nipo tu nmechil
Sina haja na mapenzi
wanaume hawana deal
Halou kana lips nzur kaiongea kama vile kana kiburi
Lipshine ndio duu ni kioo
najiona bwana aisee am in love
Lakini kwanini akapendi mapenzi au kuna mwanaume amemfanyia ushenzi

(chorus)
Nipe basi hata namba yako
Niahidi utakuja tena
Bonge la demu what's your name
Hivi nani kamuuzi huyu manzi mazee
Nipe basi hata namba yako
Niahidi utakuja tena
Bonge la demu what's your name
Hivi nani kamuuzi huyu manzi mazee

(Verse.2)
Nikagundua huyu demu ni ana hasira
dry konyagi kwann asinywe bia
Nipo hey mama slow down utalewa sana
Akasema uwa nakunywa nikiwa
nina
uchovu
sana
mademu bwana
Ni mpuuzi gani kakuuzi leo mama
Akaniangalia macho anarembua
Jose leo utalia macho yametulia
Akalaani wanaume wa  siku hizi hawafai
Hamtuthamn si kwenu nan
Au katuni au vipi au wa hamu
si ni binadamu na wala sio masanamu
Na machozi kwa mbali nikaanza ooho
Akaongeza kidogo na tusi ooho
Anafuta chozi naskia ety ooho
We bwana eeh ooho
Bonge la ooho

(chorus)
Nipe basi hata namba yako
Niahidi utakuja tena
Bonge la demu what's your name
Hivi nani kamuuzi huyu manzi mazee
Nipe basi hata namba yako
Niahidi utakuja tena
Bonge la demu what's your name
Hivi nani kamuuzi huyu manzi mazee

(chorus)
Nipe basi hata namba yako
Niahidi utakuja tena
Bonge la demu what's your name
Hivi nani kamuuzi huyu manzi mazee
Nipe basi hata namba yako
Niahidi utakuja tena
Bonge la demu what's your name
Hivi nani kamuuzi huyu manzi mazee

(verse3)
Nikamshika kwa kidevu kumpa pole
Akainuka akasema anaenda toilet
Aisee huko nyuma kumkosa roho inaniuma
Inauma zaidi vile demu anayumba
Nikainuka niende mpa tafu asiunguke
Yupo Don't touch me sijalewa
Ooh men kapiga de sio camon shori
Au ndio keroro
Demu akajikata pale
Nikazuga kucheka pale
Nikarudi palepale na mawazo yaleyale
Kumnasa demu yule yule
Akirudi kuketi mambo ntayaset
Akarudi akakaa anaongea na mimi anacheka anagonga anazidi kunoga
Nipe basi hata namba yako
Nini sasa leta promise yako

(chorus)
Nipe basi hata namba yako
Niahidi utakuja tena
Bonge la demu what's your name
Hivi nani kamuuzi huyu manzi mazee
Nipe basi hata namba yako
Niahidi utakuja tena
Bonge la demu what's your name
Hivi nani kamuuzi huyu manzi mazee

''KevOo''

check na video ya wimbo wa nothing 

tila lila lyrics -mr Blue




(chorus)
Nimekunywa tila lila
Nimelewa tila lila
Nimekunywa tila lila
Nimelewa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nimelewa tila lila

Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nimelewa tila lila

Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nimelewa tila lila

(verse1)
Nimekunywa tila lila
Nmechil kwenye mpira
Me Natafuta dira
Mademu wamenizingira
Kuna mmoja nampenda
Nataka kiss ama denda
Mwenye nimesalenda
Nimelewa tila lila

(chorus)
Nimekunywa tila lila
Nimelewa tila lila
Nimekunywa tila lila
Nimelewa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nimelewa tila lila

Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nimelewa tila lila

Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nimelewa tila lila

(verse2)
Kila club nayopita
Mademu wananishika
Wengine wanakatika
Wamelewa tilalila
Kila club nayokwenda
Wote wamependeza
Wengine wanacheza
Wamelewa tila lila

(chorus)
Nimekunywa tila lila
Nimelewa tila lila
Nimekunywa tila lila
Nimelewa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nimelewa tila lila

Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nimelewa tila lila

Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nimelewa tila lila

(verse3)
Sijiwezi mbele sioni aah
Sijiwezi sijiwezi aah
Sijiwezi mbele sioni aah
Sijiwezi sijiwezi aah
Nina chupa ya bia
Mambo tupo malkia
Mambo supa madear
Nipo tila lila
Mambo mfukoni sio bila bila
You know wat it is bablyon killer

(chorus)
Nimekunywa tila lila
Nimelewa tila lila
Nimekunywa tila lila
Nimelewa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nimelewa tila lila

Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nimelewa tila lila

Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nakunywa tila lila
Nimelewa tila lila

Nimelewa tila lila
Nimelewa tila lila
Nimelewa tila lila
Nimekunywa tila lila


nilipe nisepe lyrics - belle9





Artist:Belle9
Writer:Belle9
Time:4:05

Nilipe nisepe
Nilipe nisepe
Nilipe nisepe

Nilipee
Uliniahidi baada ya wiki mbili sasa yapita miezi mitano
Pesa zangu ni zaidi ya laki mbili hujanirudishia hata senti 5
Sitaki kuamini we tapeli ila upo nje ya makubaliano
Kama huna useme me nijue nafanyaje

Unataka tusielewane kizimbani tufikishane

Eti sababu ya money wakati me na wewe na majirani
Unataka tusielewane kizimbani tufikishane
Eti sababu ya money wakati me na wewe na majirani

Nikisema unanikimbia ama

Nini unafikilia jamaa
Baada ya kukusaidia wakati watu wanategemewa
Nikisema unanikimbia ama
Nini unafikilia jamaa
Baada ya kukusaidia wakati watu wanategemewa

We we we ya fasta

We we nilipe
Ukitaka kuwa mbaya dai chako
Umejenga uadui kati yangu me na ndugu zako
Ukitaka kuwa mbaya dai chako
Umejenga uadui kati yangu me na rafiki zako
Wakati unataka msaada tuliandikishiana shahidi mwenyekiti
Hivi sasa ukiniona unanikwepa unasepa ina maana hunilipi
Unataka tusielewane(fasta)
Kizimbani tufikishane(fasta)
Eti sababu ya money(fasta)
Wakati me na we ni majirani
Nikisema unanikimbia ama
Nini unafikilia jamaa
Baada ya kukusaidia wakati watu wanategemewa
Nikisema unanikimbia ama Nini unafikilia jamaa
Nikisema unanikimbia ama Nini unafikilia jamaa

Ubinadamu kazi (kazi)
Bora umfadhili mbuzi (mbuzi) utamla mchuzi binadamu ana mauzi
Ubinadamu kazi wewe
Bora umfadhili mbuzi yeye utamla mchuzi binadamu ana mauzi
Tuseme unanikimbia mama
Simu unanizimia jamaa

Nilipe nisepe fasta
..till fade




sitaki demu lyrics - Juma Nature a.k.a kiroboto


Juma Nature


title:Sitaki demu
Artist:Juma Nature
writer:Juma Nature

(Verse 1)
Nakuomba usije kwetu mamdogo utatia hasara
Uyo mdogo wangu mwenyewe toka atoke shule hajala
Aaah bwana eh usinifate bwana
We si ukalale uwape mbu faida bwana
Hivi aliyekwambia uzime taa humu ndani nani
Kila ukija nyumbani we unaondoka
Kila ukija nyumbani we unaondoka
Nimetokea upande wa pili nmeenda kwa kina bashir
Na usije kwetu hakuna kitenge wala kanga
 Shauri ukija wazazi wangu watakuona mwanga
Nakumbuka ile siku ambayo umenisemelea kwa dingi
Ukadai ya kwamba me uwa nachanganya mitungi
Na kwenye kula ganja kilasiku sijivungi
Ukaondoka na cheko nyuma ukaacha kivumbi
Aya sasa unaona mwenzio umeniachia zogo
Mjeruhi wa simba
Chui mjeruhi wa mbogo
Umesababisha hata majirani wananitupia kisogo
Tena usinibishie ntakupa kidochi chi chi
Tatzo limenisumbua me sitaki unung'unike
Wakati inapita wiki me jombi hasinshike
Na usinilete zile zako za kike kike
Na kuanzia muda huu me naudhu usinshike
Afadhal demu mwenyewe ungekuwa unafunga domo
Hapo ningejipa moyo unalijua somo
Tena angalia sana usinizuge na shikamoo aya nimeghairi nenda kwa huyo huyo J.mo

(chorus)
Walimwengu walikwisha niambia kuwa demu wangu mimi hafai(hafai)
Mimi nikawabishia nikaona wao ndio hawafai
Hivi sasa me najuta sitaki demu sihitaji demu

(Verse:2)
Ukimchekea nyani shambani atakusumbua
Utavuna mabua na usiombee wenzio kujua watakucheka
Kipi kimegusa we kisusa uliyesuswa
Mpaka ukawambia wenzio unanirusha ''unanirusha''
Ukome kunzushia tena
Mkongwe naitwa kibra mwenye money hachunwi
Ili mradi nshapima nmeonekana sina ngoma
Msichana gani mhuni kila siku unaongwa laki
Sitaki demu ebu uko
huyu demu mtoto wa mzee mwalubadu yule mzee mvuv anayeongoza kwa kuvua ngadu
We mtu gani muhuni wanakujua njia zote

(chorus)
Walimwengu walikwisha niambia kuwa demu wangu mimi hafai(hafai)
Mimi nikawabishia nikaona wao ndio hawafai
Hivi sasa me najuta sitaki demu sihitaji demu