hakunaga lyrics-suma lee

Hakunaga-suma lee

Hakunaga zaidi yangu mi na wewe
Hakunaga zaidi yangu mi na wewe
Hakunaga zaidi yangu mi na wewe
Hakunaga zaidi yangu mi na wewe
Hakunaa hakunaga
Hakunaa hakunaga
Hakunaa hakunaga
Hakunaa hakunaga

Kosa la kuniomba msamaha me hakunaga
ila naomba msamaha hakujaishaga
nawe umenivumila sana me sijaonaga
angekuwa mwingine kashanimwaga,
siku tunagombana siku tunapatana
 wanandugu wanajua tumeachana,
kesho watuona ctunatekenyana
 ni kweli me na we tunapendana

Hakunaga zaidi yangu mi na wewe
Hakunaga zaidi yangu mi na wewe
Hakunaga zaidi yangu mi na wewe
Hakunaga zaidi yangu mi na wewe
Hakunaa hakunaga
Hakunaa hakunaga
Hakunaa hakunaga
Hakunaa hakunaga

Mzuri kama we kwangu me hajatokeaga,
uzur wa nafsi kama me hujamwonaga
tukipata pesa minofu tunakulaga
 na tukikosa chai mkate tunalalaga
Dunia hii dunia ya leo muda mwngne wakosa muelekeo
nashkuru nimempata mwenye upeo
 daima nataraji maendeleoo

Hakunaga zaidi yangu mi na wewe
Hakunaga zaidi yangu mi na wewe
Hakunaga zaidi yangu mi na wewe
Hakunaga zaidi yangu mi na wewe
Hakunaa hakunaga
Hakunaa hakunaga
Hakunaa hakunaga
Hakunaa hakunaga
(Background vocal)
Hakunaga zaidi yangu mi na wewe
Hakunaga zaidi yangu mi na wewe
Hakunaga zaidi yangu mi na wewe
Hakunaga zaidi yangu mi na wewe
Hakunaa hakunaga
Hakunaa hakunaga
Hakunaa hakunaga
Hakunaa hakunaga


No comments:

Post a Comment