Usiku wa KIKOSI CHA MIZINGA New Maisha Club na kuzinduliwa wimbo mpya (Serikali). Wasanii watakao sindikiza show hiyo ni pamoja na Zolla D, Toz wa Mbagala, BuiBui, Serius Manizle toka Btown na wasanii toka Kikosi Rec akiwemo Dzee na wengineo. 
Itakuwa jumapili hii ya tarehe 26 kiwanja cha burudani New Maisha Club>>>>>>Usikose
(block 41ers)

No comments:

Post a Comment