Linah afanya interview VOA

juzi jumatano mwanadada Linah Sanga alifanya interview na Voice of America....mwanadada huyo yupo nchini Marekani kwa ziara ya miezi minne kupiga show pamoja na kutangaza utamaduni wa Afrika

baadhi ya picha Linah akiwa ndani ya studio VOA

baadhi ya picha Linah akiwa ndani ya studio za VOA

hivi ndivyo status ya mwanadada Linah ilivyokuwa inasomeka jumatano



No comments:

Post a Comment