juzi jumatano mwanadada Linah Sanga alifanya interview na Voice of America....mwanadada huyo yupo nchini Marekani kwa ziara ya miezi minne kupiga show pamoja na kutangaza utamaduni wa Afrika
![]() |
baadhi ya picha Linah akiwa ndani ya studio VOA |
![]() |
baadhi ya picha Linah akiwa ndani ya studio za VOA |
![]() |
hivi ndivyo status ya mwanadada Linah ilivyokuwa inasomeka jumatano |
No comments:
Post a Comment