mwenyeji wenu yu sehemu mbaya

kwanza natanguliza samahani kwa wadau wote wa kibabra..maana takribani wiki moja sasa...hakuna jipya humu bloguni..mwenyeji wenu kuna dharura(ajali)..nimepata .na kama mjuavyo waTanzania wanaopenda kuharibu uTanzania waliniibia kila kitu ambacho kinaniwezesha kurusha matangazo humu bloguni...hivyo bado natafuta vyanzo vingine...much love all followers...nmewakumbuka sana wadau wangu..get to yu soon

No comments:

Post a Comment