ngeli ya genge lyrics by Juacali

Verse 1
Naandika hii verse ka niko na njaa
Naenda kupika bila makaa
Nawaita na mnakataa
Mnasema kanisa haina mavijana
Kushiba ni baada ya sala
Kuiva nao siku hizi ni balaa
Utageuzwa kima na makusaga
Pika ive tunamanga
Sukuma chumvi na ka uganga
Chuma ngumi teke kadhaa
Boxer chupi na mahandra
Toka nyuki asali chang’aa
Koma kumi utashangaa
Ama stima zitazima
Twende kwa kina Faridah
Jiekee hina kwa mafinger

Chorus
Hapa
Tunacheza na maneno
Ngeli ya genge
Hapa
Tunacheza na maneno
Ngeli ya genge

Verse 2
Nataka ukae poa ka kina
Fatiya Halima na Eva
Watoto wazuri
Ndoto nzuri huisha
Ka ume---- zote kabisa
Ukasanya moto ukapatia
Bahati mbaya ukashikwa
Mabati waya ukapigwa
Mashati za Wanja zikaishia
Chukua zingine uanze kupima
Vua pengine ni ya Peter
Beste yangu mtu wa shida
Hii miti ni yangu wee tuliza
Unadoea kiusfisi na hanjaalikwa
Unapokea dishi na hiajapikwa
Chakula na mbichi na haijaiva
Tuma sista Eastleigh manjiva
Lakini chunga vile atajivaa

Chorus
Hapa
Tunacheza na maneno
Ngeli ya genge
Hapa
Tunacheza na maneno
Ngeli ya genge

Verse 3
Ma-mini puma na adida
Ma-G-string shuka na ma-
Mambuyu kwao ni kushangaa
Pudu zao zinaamka
Njugu kibao anatafuna
Mamatha huku wanashtuka
Hanya huyu utajuta
Kama sumu inaua
Maziwa iko tutakunywa
Kama njumu zinatupa
Kabisa tutakataa kuvua
Matope kila mahali panguza
Polepole ngazi tunashuka
Pole eka kazi ya sungua
Mwisho ganji itaingia
Vitisho wangapi watasikia (Genge damu, California)

Chorus
Hapa
Tunacheza na maneno
Ngeli ya genge
Hapa
Tunacheza na maneno
Ngeli ya genge

No comments:

Post a Comment