nai nai lyrics by Ommy dimpoz ft Ali kiba

hey
dum da lila dum
she's always in my mind

nai nai, hakya mungu walai, ninakuzimia
i was shy, shy, you remember that day, niliyokutokea
wanasema why, why, penzi lako sikatai, limenikolea
ushanitoa nishai, shai, wengine hawafai, nimejionea
ai nyota haing'ai, ng'ai, bila we haing'ai, unaniwezea

jamani, why, why? why, why? why, why??
i feel to die, die! die, die! die, die!!
jamani, why, why? why, why? why, why??

nai nai, ukinikubali sikatai, jua you're already in my mind
ukinipa sikatai, nakupenda sana you're always in my mind
always in my mind, swaga zinanimaliza
always in my mind, always in my mind

shopping?????????
iwe china au dubai, nitagharamia
walosema haufai, wako wapi walaghai, wangetubania
mwenzio najidai, ai, kuwa nawe najidai, nakupenda dear
nipe nifurahi, nipe yote nifurahi, wangu malikia
motema nangai,ngai, we sukari mi ndo chai, umenikolea

jamani, why, why? why, why? why, why??
i feel to die, die! die, die! die, die!!
jamani, why, why? why, why? why, why??

nai nai, ukinikubali sikatai, jua you're already in my mind
ukinipa sikatai, nakupenda sana you're always in my mind
always in my mind, swaga zinanimaliza
always in my mind, always in my mind

ohhh
you're always in my mind
you're always in my mind
you're always in my mind
you're always in my mind
heeeyyy
ohhhh
you're always in my mind
ohhhh
I need you
you're always, you're always in my mind
you're always .... yeah

nai nai, ukinikubali sikatai, jua you're already in my mind
ukinipa sikatai, nakupenda sana you're always in my mind
always in my mind, swaga zinanimaliza
always in my mind, always in my mind

your always in my mind

No comments:

Post a Comment