mtima wangu by Amini and Linah


(Amini)
Umutima wange ni wewe
Umutima wange ni wewe
(Linah)
Umutima wange ni wewe
Umutima wange ni wewe

(Amini)
Umutima wange ni wewe
Umutima wange ni wewe
(Linah)
Umutima wange ni wewe
Umutima wange ni wewe


(Amini)
Naomba tujifunze kupenda kusiwe na doa
Ningeweza kukufunga kamba ingekuwa poa
Usiruhusu kura za ndio mimi si mgombea
Na mapenzi hayagawanyiki
Ukigawanya umejitakia
(linah)
Hakuna nachokosa nimejitolea hata kufa
Japo pesa hakuna tunalala tunakuamka
Tulilinde penzi letu mbele tusonge
Tizilinde ngome zetu sumu isipenye

(Linah)
Nimekukabidhi moyo wee wangu wee
Na ukifate kile nisemacho wangu wee
Ukipinge kibaya nitendacho wangu we
(Amini)
Nimekukabidhi moyo wangu wee
Na ufate kile nisemacho wangu wee
Ukipinge kibaya nitendacho wangu we

(Amini)
Umutima wange ni wewe
Umutima wange ni wewe
(Linah)
Umutima wange ni wewe
Umutima wange ni wewe

(Amini)
Nisikauke kwako moyoni
Uvishinde vishawishi mama
Wenye pesa watasaka wakipata wanaambaa
(LInah)
sitakauka kwako moyoni
Nitavishinda vishawishi haya
Pendo lako lanishika kamwe sitatoka

(Amini)
Ugomvi mdogo usizalishe malumbano
Tuzishinde chuki na fitna zikiwemo
Angu angu wele apo nengepende na wewe
Saulo nitakutenda nelo nasiwaza narunduro
(Linah)
Angu angu we apo me nepende na wewe
Saulo nitakutenda nelo nasiwaza narunduro


Nikikosa unisamehe na ukikosa nikusamehe
Nikikosa unisamehe na ukikosa
(LInah)
Hakuna nachokosa nimejitolea hata kufa
Japo pesa hakuna tunalala tunakuamka
(Amini)
Tulilinde penzi letu mbele tusonge
Tizilinde ngome zetu sumu isipenye

(Linah)
Nimekukabidhi moyo wangu wee
Na ufate kile nisemacho wangu wee
Ukipinge kibaya nitendacho wangu we
(Amini)
Nimekukabidhi moyo wangu wee
Na ufate kile nisemacho wangu wee
Ukipinge kibaya nitendacho wangu we
(Linah)
Nimekukabidhi moyo wangu wee
Na ufate kile nisemacho wangu wee
Ukipinge kibaya nitendacho wangu we
(Amini)
Nimekukabidhi moyo wangu wee
Na ufate kile nisemacho wangu wee
Ukipinge kibaya nitendacho wangu we

(Amini)
Hakuna hakuna kama wewe
(Linah)
Hakuna hakuna kama wewe

No comments:

Post a Comment