usipime by wateule

verse1
Jafaryhme Jafaryhme mtaalamu
Na muziki wa kiteule unaenjoy ngoma hii 
chek unavyoswing underground king
Yote tunafanya we nt scared of anything
Everlast ilibonga namna hii 
Hatuwez kuwa sawa tofauti si na hawa
Boom Tunaporudi sisi wanapagawa
Sisi ndio wazawa
wakali wa hii sanaa bongo watasanda sisi bado tunatawala
Nisikilize mimi na takwimu za huu mziki muziki wa kiteule ndio unabang sana street
Wanakubali hadi masnitch na hisia hazijifichi
navyotokelezea lazima mkae kwenye kiti
W.A.T.E.U.L.E kila tunalofanya sisi hatufikii
W.A.T.E.U.L.E basi tunatisha zaidi ya HIV
CHORUS
Hii kivingine wateule ikisimama usipime
Kwa mara nyingine ebu check navyochana usipime
Ebu chek si tunavyovaa tie macho bado wanna fill alryt
watu ni kubang mchana mpaka night
muziki kwetu damu bado tunafight

verse2
superman 
Miaka zaidi ya kumi kwenye game
kundi bado linadumu
Wengi wameshacame
Kumaintain ndio walishindwa
Daaamn bila wasi tunabang
Individual tuna shine
in the house back again
Kwa tungo we shut them down
Ni bure hata ukija na mzani u can't test us
Wateule ndio mabingwa wa hii fan they cant beat us
Zaidi ya john k
Zaidi ya john kaduma zama za asali na pain tichaz
Kwa mfano vina kama mlimani tunatema tu lecture
Usipime huu muziki
Miaka nenda rudi haufi
Bado tupo kwenye chat na kuswat tupo safi
Game ipo kwenye damu tunapread tu virus
Maambukizi ya hizi rhymes zaid ya
Game ipo kwenye damu tunapread tu virus
Maambukizi ya hizi rhymes zaid ya demu wa ambiance

CHORUS
Hii kivingine wateule ikisimama usipime
Kwa mara nyingine ebu check navyochana usipime
Ebu chek si tunavyovaa tie macho bado wanna fill alryt
watu ni kubang mchana mpaka night
muziki kwetu damu bado tunafight
Verse3
Taikuni ally
Mjini shule basi walimu ni wateule
Hata walimu wakigoma si tunawafundisha bure
Wateule wote vichwa kila mtu ni ticha
Mteule mmoja ni kam
Mteule mmoja ni kama ana vichwa tisa
Watu tunaelimisha usiku hata asubuhi kukicha
Na tukifeli usiku mchana tunafanikisha
Hatunaga ushamba wala ujanja wa kuiga
Hatuchani kama 50cent wala
Hatuchani kama 50cent wala hatuchani kama jigga
Muziki wetu wa kiutu uzima mafundi wa kumimina vina vina tunavidandia utadhani si ni vina
Abrakadabra wa kwanza sisi nyie mtafuata baada ya kumaliza sisi
Solothang jmo na mak malm jafaryhmes kevn kimar na mch
Solothang jmo na mak malm jafaryhmes kevn kimar na mchizi mox

CHORUS
Hii kivingine wateule ikisimama usipime
Kwa mara nyingine ebu check navyochana usipime
Ebu chek si tunavyovaa tie macho bado wanna fill alryt
watu ni kubang mchana mpaka night
muziki kwetu damu bado tunafight
Kivingine wateule ikisimama
Usipime muziki umekomaa muziki umeenda shule
Usipime usipime usipime usipime usipimeeeeeeeeee

No comments:

Post a Comment