Bonta abadili jina



jana baada ya kuachia ngoma yake inayoitwa "matusi" ameamua kuachana na jina lake aliokua nalo tangu mwaka 98 na kuanzia sasa anapenda kujulikana kama MAARIFA na si bonta tena.
Source: djfetty.blogspot.com

No comments:

Post a Comment