Khalid chokoraa afafanua tuhuma za uchawi zinazomkabili


Mkali wa muziki wa Dance Tanzania Khaleed Chokoraa wa bend ya Mapacha watatu ameamplfy kuhusu tuhuma za yeye kutumia uchawi kazini.
Amesema “watu wanaogopa tu lakini sio kweli, hivyo vitu havipo Mapacha watatu japo katika mila na desturi za kiafrika ni vitu vya kawaida kwa hiyo sio mbaya sana vilevile”
Khaleed alitoa kauli nyingine tata kwa kusema “hata Mungu mwenyewe anakwambia kwamba jisaidie na yeye akusaidie hivyo ni kuomba Mungu, kila mtu anaomba Mungu kupitia imani yake”

source:http://www.miilardayo.com/

No comments:

Post a Comment