mwanamuziki Lady Jaydee aelezea sababu za kutoonekana kwenye show nje ya band yake kwa muda mrefu sasa


Mwimbaji Star wa bongo LADY JAY DEE amezitaja sababu chache zinazomfanya asionekane kwenye majukwaa mengi ya kibongo akiperform.
Exclusive na millardayo.com Jide amesema”wakati mwingine mapatano inatokea muandaaji wa show anashindwa kulipa ninachotaka, au mwingine anashindwa kuniweka kwenye show yake kwa sababu anaona sijafit kuwepo”

moja ya usafiri anaomiliki Lady Jaydee kwa ajili ya band yake
Kwa kumalizia, Jide amesema bei anayochaji kwa show moja ni moja ya sababu zinazofanya wengi washindwe kumudu kumuona kwenye stage za show mbalimbali za kibongo, kwa sababu anataka MILIONI 10 za kitanzania kwa kila show moja ndio maana mara nyingi amekua akionekana akiperfom na bendi yake ya Machozi katika mgahawa wake wa Nyumbani Lounge tu

source:http://www.millardayo.com/
click hizo link kupata lyrics zake
mimi ni mimi by lady jaydee ft Oliver Mtukudzi
wangu by lady Jaydee ft mr Blu 

No comments:

Post a Comment