chukua time by suma mnazareti ft Ommy Dimpoz

nenda sepa, leo nimekushtukia
usitaki tongo, si ulikataa
nenda sepa, nani unamwita dear
usitaki tongo, acha tamaa

chukua time, chukua time
chukua time, time time time
chukua time, chukua time
chukua time, time time time


ah,  
nillikupenda sana, kisa sio star ukanitosa bwana...mh!
enzi hizo miss bwana, mtaani uliniona ka' shabiki sana...ah!
una pub ndio, tena we ni star wa bongo movie sio....umesahau!
nilikutaka ndio ukanitosa kisa upo kwenye cover sio....kwa dharau!
we ni model pia mpaka, asanali anakujua
nilikutaka pia enzi za chuo we ndio ukawa unajisikia
huu mziki kipaji, show ya kwanza uliniona mzugaji...ah!
wivu wa kwanza mtaji, CD yangu ukaimwagia maji...mh!
mi na upendo ndio, ila haya mapenzi nayaona sio...eti!
alinihit ndio, niwe nawe, ili kesho utambe kwa wenzio
sitaki!


nenda sepa, leo nimekushtukia
u-sitaki tongo, si ulikataa
nenda sepa, nani unamwita dear
u-sitaki tongo, acha tamaa

chukua time, chukua time
chukua time, time time time
chukua time, chukua time
chukua time, time time time


ah, 
nikiwa nawe nitahit ndio, kwa tv magazeti na redio
miezi sita haupo, mshamwagana kashuka chati kwa skendo
kwa style hii hunipati, ah we tapeli mzugaji
eti unapenda nyimbo yangu mh, nakujua muuaji....ah 
mie sikutaki ndio, nilivyotoka nilikuwa na mpenzi ndio...maana
niko hapa leo, alinipenda hata kabla sija'hit mwaka jana
umenitunza ndio, kwenye noti umeweka namba ili iweje sio...ah
mie situmiki hivyo, hata kama nina njaa hunipati hivyo....eti
nilikutaka mimi ukakataa, kisa sio star sina chapaa
leo niko hit unashangaa, shobo zimezidi mh nakukataa
nilikutaka mimi ukakataa, kisa sio star sina chapaa
leo niko hit unashangaa, shobo zimezidi mh nakukataa


nenda sepa, leo nimekushtukia
u-sitaki tongo, si ulikataa
nenda sepa, nani unamwita dear
u-sitaki tongo, acha tamaa

chukua time, chukua time
chukua time, time time time
chukua time, chukua time
chukua time, time time time

1 comment: