utanikumbuka lyrics by Sumalee


Mama wee muongo sana wee
utanikumbukaa muongo sana wee
Mama wee mama wewee muongo sana wee mpenzi wewee
utanikumbukaa muongo sana wee mpenzi wewee

(verse1)
Mbele ya mahakama ukweli umeupindisha
hivi umensahau umejisaulishaa
...
Kelele za huu umri bado nimekufikisha
au kama ringtone umenibadirisha

(bridge)
kusema ukweli wako kwa mpenzi wako
hautansahau mie maishani mwako
kusema ukweli wako kwa mpenzi wako
hautansahau mie maishani mwako
Farasi umpandae hakutishi kwa mbio zake
Farasi umpandae hakutishi kwa mbio zake
(chorus)
Mama wee (mama wewee) muongo sana wee (mpenzi wee)
Utanikumbukaa (utanikumbuka) muongo sana wee mpenzi wee
Mama wee (mama wewee) muongo sana wee mpenzi wee
Utanikumbukaa (utanikumbuka) muongo sana wee mpenzi wee

(verse2)
Mdomo unena kile ambacho nacho jisikia
Nafsi yako hutaman kile unachopumua
Ulikuja huku full kunwal kwa raha zako unwal
ona ulivyonawili
Ntakukumbuka kwa ubaya kwa uzuri

(bridge)
kusema ukweli wako kwa mpenzi wako
hautansahau mie maishani mwako
kusema ukweli wako kwa mpenzi wako
hautansahau mie maishani mwako
Farasi umpandae hakutishi kwa mbio zake
Farasi umpandae hakutishi kwa mbio zake
(chorus)
Mama wee (mama wewee) muongo sana wee (mpenzi wee)
Utanikumbukaa (utanikumbuka) muongo sana wee mpenzi wee
Mama wee (mama wewee) muongo sana wee mpenzi wee
Utanikumbukaa (utanikumbuka) muongo sana wee mpenzi wee

Mama wee mpenzi wee
Utanikumbukaa mpenzi wee
Mama wee mpenzi wee
Utanikumbukaa mpenzi wee……..till fade

No comments:

Post a Comment