pete lyrics by Ben Pol

Verse 1;
Hadithi ya penzi langu umenikata nini mwisho
huthamini huoni pendo lako nalihitaji leo kesho
nishawahi kukosa ,mwenzenu nilisumbuka
mchana na usiku mimi, nishawahi kukosa 
nasema niliteseka mchana na usiku mimi 
nishawahi kukosa ,mwenzenu nilisumbuka
mchana na usiku mimi, sitaki tena kosa 
najua nitateseka 
mwisho sitokuwa nawe tena naulizaa

Chorus; 
Kama pete yangu, inakuchomaa kidoleni 
ni kama pendo langu , linakuchoma moyonii ,
bora kuitoa aaah aah ,
pendo kulivua aaah ,
bora kuitoa ,
moyoni mwangu mi nisiteseke
bora kuitoa aaah aa ,
pendo kulivua aaah ,
bora kuitoa ,
moyoni mwangu mi nisiteseke

Verse 2;
sikujali wambea wanafki walosema 
hatutadumu mimi nawe tutajaachana 
wakiniona siko nawe si ndo watasema 
hata nyumbani watajua tumefarakana 
nikiwaza kwenda mbali ,moyoni nahofia 
maana bado nakujali ,kwako nilishatua 
nikiwaza kwenda mbali ,moyoni nahofia 
maana bado nakujali ,kwako nilishatua 
kila jema n'tendalo mie ,kwako limekuwa sio 
nitakapo kujua ulipo ,wanijibu utakavyo 
pete kidoleni mwako ,yanisuta mwenzio 
ndo maana nikukosapo ,moyo wanienda mbio

Repeat Chorus till fade

No comments:

Post a Comment