Bonge la bwana by Shetta ft Linah



(intro)  
Yo KGt KGT shade G record baaby
Everybody say Shetta de Shetta de Sheta
say Shetta de Shetta de Sheta
Chief Kihumbe the boss

(verse1)
Wezee
We ndio kwangu namba one vicheche nimeshaviacha gizani
Penzi langu kwako kama mzani pima juu chini nishakata tani
Utake nini mi kimbelembele
We mwenyewe Utake pizza utake mchele
Na wansema ulinipa ngedere mmh waache waongee
Hiyo ni gelegele
Na ndio maana nazisaka tu
Hata nikizipata hapa ni bata tu
Hapa kimeshawaka me ni wako boo
Tumia unavyotaka changu chako tu
Kazi kwako duu

(chorus)
(Shetta)
Hustle toka way back
Kula tungi ukizimia ntakubeba
Noou Sipush maybach ila kama una madeni me nitapay back
(Linah)
Hustle toka way back
Kula tungi ukizimia ntakubeba
Noou Sipush maybach ila kama una madeni me nitapay back
Na ndio maana me nadata na ndio maana me nadata
Umenibeba matamu na mashamushamu hakuna kununa
Kila siku ntadata
Na ndio maana me nadata (Shetta:bonge la bwana bonge la bwana)
Na ndio maana me nadata (Shetta:bonge la bwana bonge la bwana)

(verse2)
Me sio tajiri sio tajiri
Sio tajiri sio tajiri
Ila vitu kama
Less wigi, high heels, leggings gstring
Vyote kuvipata easy baby easy baby
yote nitakizi baby
Sitakupa masizi baby
Ukinitosa nitakuwa kama chizi baby
Yes nilikupata kwa manati sana hapa naenjoy
Wale siwataki mama
Sijagonganisha wasichana
Bonge la bwana toa wasiwasi mama
Sijagonganisha wasichana
Bonge la bwana toa wasiwasi mama

(chorus)
(Shetta)
Hustle toka way back
Kula tungi ukizimia ntakubeba
Noou Sipush maybach ila kama una madeni me nitapay back
(Linah)
Hustle toka way back
Kula tungi ukizimia ntakubeba
Noou Sipush maybach ila kama una madeni me nitapay back
Na ndio maana me nadata na ndio maana me nadata
Umenibeba matamu na mashamushamu hakuna kununa
Kila siku ntadata
Na ndio maana me nadata (Shetta:bonge la bwana bonge la bwana)
Na ndio maana me nadata (Shetta:bonge la bwana bonge la bwana)

(Shetta)
Hustle toka way back
Kula tungi ukizimia ntakubeba
Noou Sipush maybach ila kama una madeni me nitapay back
(Linah)
Hustle toka way back
Kula tungi ukizimia ntakubeba
Noou Sipush maybach ila kama una madeni me nitapay back
(Shetta)
Hustle toka way back
Kula tungi ukizimia ntakubeba
Noou Sipush maybach ila kama una madeni me nitapay back
(Linah)
Hustle toka way back
Kula tungi ukizimia ntakubeba
Noou Sipush maybach ila kama una madeni me nitapay back
Yes sir me ndio bonge la bwana bonge la bwana na Linah baby

No comments:

Post a Comment