utamu by Dully sykes ft Ommy dimpoz and Diamond



Basi ndio ule utamu utamu
Ulionizidi hamu nami nikakupa peremende
Kama hauna nidhamu haramu
Nipe mambo matamu ila  kama hautaki niende

Basi ndio ule utamu utamu
Ulionizidi hamu nami nikakupa peremende
Kama hauna nidhamu haramu
Nipe mambo matamu ila  kama hautaki niende

Unavyokata utamu utamu
Ukicheka utamu utamu
Ukilia utamu utamu
Utamu utamu
Utamu utamu

Unavyokata utamu utamu

Ukicheka utamu utamu
Ukilia utamu utamu
Utamu utamu
Utamu utamu

Uzuri wako kama wema pale kati
Nimekuteka hata jigga hakupati
Hata wengine wakisema umeshapenda na mimi nakupenda kwa dhati
Sura yako tamu kama Jokate japokuwa baby umekosa kidoti
Darling nipe tena kwa kitanda hata pale kwenye busati
Let me say
Hii mami leo nachoomba onyesha upeo
Unipe mambo ya kwenye video
Unipe maraha maradha mavituz ya dunia hii
Hii mami leo nachoomba onyesha upeo
Unipe mambo ya kwenye video
Unipe maraha maradha mavituz ya dunia hii

Unavyokata utamu utamu
Ukicheka utamu utamu
Ukilia utamu utamu
Utamu utamu
Utamu utamu

Unavyokata utamu utamu

Ukicheka utamu utamu
Ukilia utamu utamu
Utamu utamu
Utamu utamu

Simtaki mwingine kipenzi ni wewe
Ndio simtaki

pisto yangu unaikoki(click sound)
Unaanza kuishika shika
Na machozi yakububujika
Mwishoni na yenyewe inakudedisha(paah)

ooh unaikoki mama(click sound)
Unaanza kuishika shika
Na machozi yakububujika
Mwishoni na yenyewe inakudedisha(paah)


Hii mami leo nachoomba onyesha upeo
Unipe mambo ya kwenye video
Unipe maraha maradha mavituz ya dunia hii
Hii mami leo nachoomba onyesha upeo
Unipe mambo ya kwenye video
Unipe maraha maradha mavituz ya dunia hii

Habdsome yule mtoto wa kariakoo
Awesome
Na diamond na pouz kwa pouz


Unavyokata utamu utamu
Ukicheka utamu utamu
Ukilia utamu utamu
Utamu utamu
Utamu utamu

Unavyokata utamu utamu

Ukicheka utamu utamu
Ukilia utamu utamu
Utamu utamu
Utamu utamu

Basi ndio utamu utamu

Ulionizidi hamu nami nikakupa peremende
Kama hauna nidhamu haramu
Nipe mambo matamu ila  kama hautaki niende

Basi ndio utamu utamu
Ulionizidi hamu nami nikakupa peremende
Kama hauna nidhamu haramu
Nipe mambo matamu ila  kama hautaki niende

kama ningeweza uje ishi nami huku dar.....till fade

No comments:

Post a Comment