shabiki by Mansu li


what is it now
what is it now

Ubeti1:
Nilimuona shabiki tu ambaye ananikubali
na wala sikutaraji angeweza kufika mbali
mara miezi inapita tunajuana kiundani
Shabiki akawa rafiki anakuja mpaka nyumbani
Siri moyoni sielewi ana nia gani
mara akinikosa hewani kwake tafrani
kumbe shabiki alisha-fall in love
lakini ni too late men, oh my God
Anasema hawezi bila mimi
nilishamteka akili na hajui afanye nini
huku nae mamaa anahisi namzunguka
sio mimi wa zamani anadai na-change hulka
Shabiki gani anayepiga hata usiku
ukiuliza kwanini anasema i miss u
kwanini mamaa asipoteze amani
na huku anajua fika hili penzi limashakani

(kiitikio)
what is it now shabiki
you wanna be my baby
i dont real get what you want
what is it now shabiki
you wanna be my lady
i can never do that
what is it now shabiki
you wanna be my baby
i dont real get what you want
what is it now shabiki
you wanna be my lady
i can never do that

Ubeti2:
Anadai mara ya kwanza aliniona kwenye tv
kwenye video ya KINA KIREFU long T
kisha akaniona kwenye TUKO PAMOJA
na hapo ndipo akachoka kungoja
Siku ya siku ilikuwa kwenye show
akajikaza kisabuni pasina kuona soo
excuse me,inakuaje bro?
sio siri nimependa vile unavyo-flow
Nikasema asante kisha tukaachana
kumbe haikuwa mwisho baada ya kuagana
sijui ni wapi alipopata yangu namba
ndivyo hivyo akaanza kuniganda
Anataka tuchat saa zote
anasema ni mimi naemuondoa upweke
hata kama ninae anasema, i don't care
mazoea yana tabu na yeye alishanizoea

(kiitikio)
what is it now shabiki
you wanna be my baby
i dont real get what you want
what is it now shabiki
you wanna be my lady
i can never do that
what is it now shabiki
you wanna be my baby
i dont real get what you want
what is it now shabiki
you wanna be my lady
i can never do that

ubeti3:
You’re so cute
But I can’t be with you
sitaki kukuchezea halafu nikipe kitu
Maybe just a friendship kama kwako sio ishu
Please understand me I’ll never be with you
Sikujua ukweli unaosema ungezusha vita
Sms za matusi zikaanza miminika
Akunielewa alihisi tu naringa
Bora lawama acha anione mjinga
I keep gangster girl I keep it real
Am so sorry I can imagine how you feel
Vipi utajiskia nikiku nikakuacha
Am not a player am street hustler
Inataka moyo kuwa kioo cha jamii
Sometimes tunateleza sisi sio manabii
Hapa ndipo wengeni uzalendo unapowashinda
Na isiwe tabu basi wanafanya kibingwa

(kiitikio)
what is it now shabiki
you wanna be my baby
i dont real get what you want
what is it now shabiki
you wanna be my lady
i can never do that
what is it now shabiki
you wanna be my baby
i dont real get what you want
what is it now shabiki
you wanna be my lady
i can never do that

brought by Mansu li

No comments:

Post a Comment