sorry by Barnaba


This is Barnaba boy classic
Ima the boy classic
And good music classic

(verse1)
Aaah haya eeh aah
nyuma nilitaka kuzungumza na we ila nafasi hiyo kwako nikakosa
sikujuta wala sikulalamika sababu naamini kukupenda wewe sijafanya makosa
japo nilisuffer machozi nikaangusha ila hujawahi nifuta hata kwa kuniongopea
ndio kwanza unacheka huku ukinibeza na mashoga zako vibarazani kuniongelea
mpenzi dunia imebadilika bado naweza nikakupa pesa na bado nikawa nakuongopea
basi vumilia kesho nitapata
nitakupa kila unachotaka sababu wewe ni malkia

(chorus)
baby wangu  am sorry hiii hii
sorry hiii hiii
sorry hii hii hii
sorry hii hii
baby wangu  am sorry hiii hii
sorry hiii hiii
sorry hii hii hii
baby am sorry hii


(verse2)
oneni navyolia kama mtoto
 kwenye sekta ya mapenzi nahisi nimechapwa viboko
na kinachoniumiza ni yangu huruma
maana mama barnaba alisema mwanamke akikuudhi usije kumpiga
oneni ndio nasuffer huruma yangu  inaniponza
kazi yangu kufungua milango usiku wa manane wenzangu wakigonga
nakupenda bado unampenda
namvumilia kila akinitenda
nahisi hiyo ndio nafasi anayoitumia kuniumiza
inshallah navumilia najua yataisha
ipo siku atagundua me ni wake wa maisha
na sitamlipizia nitamvulia na ntambembeleza nitamsahihisha
kila atakapokuwa anakosea

(chorus)
baby wangu  am sorry hiii hii
sorry hiii hiii
sorry hii hii hii
sorry hii hii
baby wangu  am sorry hiii hii
sorry hiii hiii
sorry hii hii hii
baby am sorry hii

No comments:

Post a Comment