Tolwa Anakula Gizani (USTADI) by Wakazi


Huu ni ustadi, maridadi, kwenye beat/
kiitikadi, mi fisadi, kimahesabu niko fiti/
kiti kama mwenye, hapa ndio penye/
KUNGU-hu-RU kama MWEWE, lililookotwa kwenye Muembe/
so UZ-ae-MBE ka Mgavelansi Chesko/
utakufanya ushindwe kuwa Askari kama DePo/
Pole ya Kila la Kheri, au Kila la heri ya pole/
moja huwa ni kushika tamaa, nyingine kunyoosha kidole/
so kikikatika, huwezi kusikitika/
Mjumbe huwa hauwawi, hata message isipofika/
kileleni, ecstacy, ni zaidi ya mvuto/
nakupa pumzi ya uhai kama unapuliza puto/
asubuhi ya jumapili, Magdalena, Yesu Kristo/
hip hop mi muweka hazina, Benazir Bhuto/
wanataka kuniua, najificha kwenye bustani/
asiyezoea sare sare sijui atamchagua nani/
Man U not Ted, nor Eddie Griffin/
its funny ya keep aiming but ya still missing/
listen, stop and look, and envision/
without eyes, you aint blind, to see im on a mission/
ary, so you cant fuck with me in any position/
hardly, im placed above no one nor lifted/
Im GIFTED to be the PRESENT un-wRAP for the FUTURE/
persistance yields legends and im PAST what you used ta/
so get used to me, like your personal body odour/
nyie ma-PEPE toka KALE, mnacheza MALIDODA/
simwitaji JAGUAR wala AY kuvuka BODA/
nimeshafanya mara mbili, Pikipiki, BODA BODA/
Wordplay ya Kukata Kiu ya Mashabiki kama SoDA/
Ngoja, let me pause player, nione ka unataka kutoa hoja/

50 MEN or G UNIT wont be enough/
so i suggest you do it like HARLEM and DOUBLE UP/
before the impact, is gon cause more trouble/
see on this track, i aint diggin the crates i just shovel/
like snow on the sidewalk, slow? how must I walk/
fast like Maasai Walk, Heart beatin like Systole/
BALLIN OUTTA CONTROL, yeah a Loose CANNON/
PICTURE that, 5D Capture, whose EYEin on/
Beholdin the Beauty with the IRIS and RETINA/
SEE shorty is Da BOMB like PULL UP SELECTOR/
Select one, Language yeah Uno Linguist/
KISWAHILI, LUGHA yetu toka SHULE YA MSINGI/
kama LANGA, mimi Naweza KUMFUNDISHA DINGI/
kuRAP NI-M-ae-ZOEA kama BINTI wa MITOMINGI/
Yohana Mbatizaji, Kwa Yesu KINA KIREFU/
MANSU-LI, Fake Emcees nawapa KICHEFUCHEFU/
Wapinzani, nawaelemea kwenye Mizani/
KIUSTADI, mi kama TOLWA cheki NAKULA GIZANI/
so, HUu ni Ustadi, Maridadi, Kwenye Beat/
Nipe maksi kwenye hii track, je, unaniweka Kundi lipi/

muthf%7ck2r!!!

No comments:

Post a Comment