mpaka kuche by Chidi Benz ft A.Y and Diamond Platinum

:Diamond
Guantalamelaah!
Ohh Guantalamelaah!
Guantalamelaa

:Chidi
Mzee mzima, who got the key to my beamer!
Leo mpaka mama pima amezima
Kitu kikali, makali wembe vikali
Kemikali mwaga tembe
Bamzigi bamzigi yeah
Chidi benz dully sykes la familia
Mikono hewani watu yeah ah eh
Baishoo cheza kibega wakatae
I got ki'ching got kijuu got ki whoo haaa!
Ka kininja naruka nakutua
Ile michezo tunaitambua, ila tunauchubua
Tunaendelea na mbele inakua
We wacha kuzingua, tutakufunua
Mamii achana nao , nanikamate nizungushe!

Ahh leo yaani mpaka ususe, mpaka ususe
Hainaga kulala
Na tena yaani
Mpaka kuche mpaka kuche Tandale na Ilala

Ahh leo yaani mpaka ususe, mpaka ususe
Hainaga kulala
Na tena yaani
Mpaka kuche mpaka kuche Tandale na Ilala.

No comments:

Post a Comment