nwa baby (ashawo)- Flavour



Nwa baby, nye me fege (7x)

Nwa baby, wa Nabania
I don hammer no be small, now it's time to chop money
Somebody say Nabania
Na takwa ne fe omo wania
See the girls them plenty
Waka waka baby (oh yeah), wuru wuru baby (oh yeah)
I go tell my mama, (oh yeah) I go tell my papa (oh yeah)
And I go tell am say (oh yeah)
You be waka waka baby (oh yeah)
You be wuru wuru baby (oh yeah)
Corner corner baby (oh yeah)
Sango sango baby (oh yeah)
Para rara baby (oh yeah)


Oh baby sawaley
Sawa sawa sawaley (2x)
Ashawo


Kpokpotom kpomkpom, kporokotom kpomkpom (2x)
Kpakolo kpa (3x),

kpomkpom
Ojari kpokpo, ukwu nwa baby
Achukwu rege, kpom kpom
Ashawo, awusha
Awusha, ashawo
Ashawo, awusha, kpom kpom
Eh eh eh eh eh eh, kpom kpom


Oh baby Sawaley
Sawa Sawa Sawaley (2x)
Ashawo


Nwa baby, nye me fege (7x)
Nwa baby, wa Nabania
Na soso walka I come dey go
Everywhere I go, anai ti fe
All my guys where una dey
From here to saloon hotel
See the girls them plenty
Waka waka baby (oh yeah), wuru wuru baby (oh yeah)
I go tell my mama, (oh yeah) I go tell my papa (oh yeah)
And I go tell am say (oh yeah) lyrics from museke.com
You be waka waka baby (oh yeah)
You be wuru wuru baby (oh yeah)
Corner corner baby (oh yeah)
Sango sango baby (oh yeah)
Para rara baby (oh yeah)


Oh baby sawaley
Sawa sawa sawaley (2x)
Ashawo


Kpokpotom kpomkpom, kporokotom kpomkpom (2x)
Kpakolo kpa (3x),

 kpomkpom
Ojari kpokpo, ukwu nwa baby
Achukwu rege, kpom kpom
Ashawo, awusha
Awusha, ashawo
Ashawo, awusha, kpom kpom
Eh eh eh eh eh eh, kpom kpom


Oh baby Sawa lele
Sawa Sawa Sawale (2x)

Ashawo

Ala de no de, no de
Ala ala de no de, de no de, Ala
Ema na ala de no de, no de
Ala ala de no de, de no de, Ala
Ala mama lyrics from museke.com
Wera kagi ji de a ala
Ala mama
Wero noge me jaya ala


© Flavour N'abania
http://www.museke.com/taxonomy/term/576

where you are- Blu3 ft Radio& Weasel



Verse 1
In my eyes, you sparkle like a star
When I dream of you, it's you I long to please
When you walk on by, I catch your scent and it's all I love
Mi na we, tuwe pamoja wild and free
Nakutamani mpenzi wangu
Unaenda wapi (unaenda wapi)
Nakutamani mani
Baby, I am thinking of you
Chorus
I wanna be right there where you are (where you are)
I wanna be right there in your arms (in your amrs)
Kiss on my lips every morning is all I want (all I want)
Where you are, where you are (where you are)
Baby, where you are (where you are)
Verse 2 - Mowzey Radio
Rohoni, unanitenza kitenzi
Natamani, kuwa right there where you are
Baby, umenishika kupendi baby
Nakuwaza, nakuwaza, girl, I am looking for you
Natamani (natamani)
Unaenda wapi
... baby
Chorus
Yes, I wanna be right there where you are (where you are)
I wanna be, wanna be right there in your arms (in your arms)
Kisses on my lips is all that I want (all I want)
Wanna be, wanna be where you are (where you are)
I wanna be right there (where you are)
Bridge - Mowzey Radio
I got this feeling inside, find a place that we can go
I'll be lost in your arms, tell me where you reside
Baby, as long as you are near, I am not afraid
Your love is all that I desire
Show me paradise
Verse 3 (Ragga) - Weasel
She want me, yeah, she want me
She wanna want me wwww
Kiss and caress me
Long time, she want me, wanna be my honey
Spend all me money, make love in the morning
She a right type a girl, she a princess
She wanna be my only one and me empress
She want all, she want it excess
Excess like a princess, she restless
Repeat Chorus till fade
Writer: Lilliane Mbabazi, Jackie Chandiru, Edith Baganda
…kev00

queen- Longombas


Verse 1
Every day is a brand new day
Everytime that I see your face
You are my everything and anything that I will ever need in this world
I am so glad that you came my way
I am loving every minute we spend, baby
You are the reason to everything that I am today
I love the way you come around and touch me
The feeling that you give me drives me crazy
I love the way you look and call me baby
Girl, you mash up my world
I love the way you come around and touch me
The feeling that you give me drives me crazy
I love the way you look and call me baby
Girl, you mash up my world
Chorus 2x
You're my queen
I'll never ever ever never let you go, go, go, go
Verse 2
I'll never leave your side
Baby you know, you are my world
You are everything I need, yeah
You make my days bright, brighter than the sun and the moon
You are all that I leave for
You make my heart jump
You are the reason that why it pumps
Girl, I can't front, you are the one that I want
I can't go a day, without my baby

Chorus 2x
You're my queen
I'll never ever ever never let you go, go, go, go

Verse 3
I promise to never break your heart
baby don't let what we have fall apart
I promise to never leave your side
I’m be a provider, protector, my girl
Now that I need you and you need me
Baby, let's treasure this love that we have
Love that we have, love that we have
Baby, let's treasure this love that we have
Repeat Chorus till fade
Song Writer: Christian Longomba, Lovy Longomba
..Kev00

kigeugeu- Jaguar





Dunia nizamishe ama uniweke niishi peke yangu
 kwan ninapomwamini kila binadamu mwishowe ananigeukia)*2
(verse)
Nimtazame nani nimwamini nani nani wananigeukia eeh vigeu geu vigeu geu eeh vigeu geu wananigeukia
Namwamin daktari sana amponye rafiki yangu anamweka kwenye life suport mashine kumbe aliaga ni pesa anakusanya
Mama mzto anamwamini mkunga amzalishie mtoto baada ya miez tisa..mkunga anamgeukia mtoto anamgeuzia
(Chorus)
(Nikiaso juu chini ili nvuke boda wananigeukia)*4
(Nimtazame nani nimwamini nani nani wananigeukia
eeh vgeu geu eeh vgeu geu eeh vgeu geu wananigeukia)*2
(verse)
Mwanasiasa akiniomba kura akiaid yote atatimiza baada ya miaka tano anarud na kitambi bila kutimiza
Nina pastor kwa jirani yangu nilimwamin kufa na kupona nkitoka kwangu naye anaingia kusali na bibi yangu
(Chorus)
(Nikiaso juu chini ili nvuke boda wananigeukia)*4
(Nimtazame nani nimwamini nani nani wananigeukia
eeh vgeu geu eeh vgeu geu eeh vgeu geu wananigeukia)*2
kwan ninapomwamin kila binadamu mwishowe ananigeukia)*2
[Bibi yangu kigeugeu (eeh)
Pastor wangu kigeugeu (eeh)
Mkunga kigeugeu (eeh)
Wanasiasa vigeugeu (eeh)
rafik yangu kigeugeu (eeh)
(Dunia nizamishe ama uniweke niishi peke yangu

happy one week baby Germana




ni wiki moja tangu uzaliwe katoto kazuri Germana,Auncle wako nakuwish maisha marefu yenye furaha, ukue vzuri kwa afya njema na Mungu akujalie akili na busara....Congratulation to my bro Joseph Mwikombe n ur baby's mama Tula....mkakuze ako kawe katoto swaaafi kabisa..Much love ....yo auncle kevOO

na kesho si ndio kesho....??

hapa ndipo mahali pa machinjio

na hawa ndio wachinjaji wenyewe

daima ntakuwa mwekundu

                                                             kikosi kamili cha liverpool..

R.I.P Mwalimu..




Julius Kambarage Nyerere
Julius Nyerere katika miaka ya 1960
Tarehe ya kuzaliwa
Mahali pa kuzaliwa
Tarehe ya kifo
Rais wa Tanzania
Alingia ofisini
1964
Aliondoka ofisini
1985
Alitanguliwa na
(alikuwa rais wa kwanza)
Alifuatwa na
Dini
Mkristo Mkatoliki
Elimu yake
Chuo Kikuu cha Edinburgh - Uskoti
Digrii anazoshika
M.A. ya historia na uchumi
Kazi
mwalimu, mwanasiasa
Mengine
Nyerere alikuwa mwenyekiti wa chama cha TANU na baadaye wa CCM.
Mara nyingi aliitwa "Mwalimu Nyerere".

Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa rais wa kwanza wa Tanzania. Alizaliwa Butiama, mkoani Mara pembezoni mwa Ziwa Nyanza tarehe 13 Aprili, 1922. Alifariki dunia 14 Oktoba, 1999. Aliiongoza Tanzania toka mwaka 1961 hadi mwaka 1985.
Yeye ni mwasisi wa itikadi ya ujamaa na kujitegemea. Kabla ya kuingia kwenye siasa alikuwa ni mwalimu. Kazi hii ndiyo ilimpatia jina ambalo lilimkaa maisha yake yote la "Mwalimu." Mwalimu Nyerere ni kati ya viongozi wachache wa Afrika ambao wameacha madaraka kwa hiyari baada ya kutawala kwa muda mrefu. Alipostaafu urais mwaka 1985 alirudi kijijini kwake Butiama ambako aliendesha shughuli za kilimo. Aliendelea kuwa na athari kubwa katika siasa ya Tanzania hadi kifo chake.


Maisha yake
Julius Kambarage Nyerere alizaliwa mwaka 1922 ( katika kijiji cha Butiama, wilaya ya Musoma, mkoa wa Mara, Tanzania (wakati ule: Tanganyika). Alikuwa mojawapo kati watoto 26 wa Nyerere Burito, chifu wa kabila la Wazanaki. Alipokuwa mtoto Nyerere alichunga mifugo ya babake; katika umri wa miaka 12 aliingia shule akitembea kilomita 30 hadi Musoma. Baada ya kumaliza shule ya msingi aliendelea kusoma shule ya wamisionari Wakatoliki huko Tabora. Katika umri wa miaka 20 alibatizwa akawa mkristo Mkatoliki hadi mwisho wa maisha yake.
Mapadre wakaona akili yake wakamsaidia kusoma ualimu huko Makerere, Kampala, Uganda kuanzia 1943 - 1945. Makerere akaanzisha tawi la Umoja wa wanafunzi Watanganyika pia amejihusisha na tawi la Tanganyika African Association (TAA). Baada ya kumaliza masomo ya ualimu alirudi Tabora akifundisha shule ya St.Mary´s. Mwaka 1949 alipata skolashipu ya kwenda kusoma kwenye Chuo Kikuu cha Edinburgh huko Uskoti / Uingereza akasoma M.A. ya historia na uchumi(alikuwa mtanzania wa kwanza kusoma katika chuo kikuu cha Uingereza na mtanzania wa pili kupata shahada ya elimu ya juu nje ya Tanzania).
Aliporejea Tanganyika kutoka masomoni, Nyerere alifundisha Historia, Kingereza na Kiswahili katika shule ya St. Francis iliyo karibu na Dar es Salaam. Mwaka 1953 alichaguliwa kuwa raisi wa chama cha Tanganyika African Association (TAA), chama ambacho alikisaidia kukijenga alipokuwa mwanafunzi katika chuo kikuu cha Makerere. Mwaka 1954 alikibadilisha chama cha TAA kwenda katika chama cha Tanganyika African National Union (TANU) ambacho kilikuwa cha kisiasa zaidi kuliko TAA. Ndani ya mwaka mmoja chama cha TANU kilikuwa tayari chama cha siasa kinachoongoza Tanganyika.
Uwezo wa mwl. Nyerere uliwashitua uongozi wa kikoloni na kumlazimisha Nyerere kuchagua kati ya siasa na kazi ya ualimu. Nyerere alisikika akisema kuwa alikuwa mwalimu kwa kuchagua na mwanasiasa kwa bahati mbaya. Alijiuzuru ualimu na kuzunguka nchini Tanganyika kuzungumza na watu wa kawaida na machifu ili kuleta muungano katika mapigano ya uhuru. Pia alizungumza kwa niaba ya TANU katika Trusteeship council na Fourth committee ya Umoja wa Mataifa (UN) huko New York. Uwezo wake wa kimaongezi na kuunganisha watu ulimwezesha kufanikisha Tanganyika kupata uhuru bila umwagaji wa damu. Ushirikiano mzuri aliouonyesha aliyekuwa gavana wa wakati huo bwana Richard Turnbull ulisaidia pia kuharakisha upatikanaji wa uhuru. Nyerere aliingia katika bunge la kikoloni mwaka 1958 na kuchaguliwa kuwa waziri mkuu mwaka 1960. Mwaka 1961 Tanganyika ilipata uhuru wake na tarehe 9/12/1961 Nyerere alichaguliwa kuwa waziri mkuu wa Tanganyika huru na mwaka mmoja baadae Nyerere alikuwa raisi wa kwanza wa jamhuri ya Tanganyika. Nyerere alikuwa kiungo muhimu katika katika muungano wa Tanganyika na Zanzibar kutengeneza Tanzania baada ya mapinduzi ya Zanzibar mwaka 1964 yaliyomtoa madarakani sultani wa Zanzibar Jamshid bin Abdullah.
Julius Nyerere mzee mnamo 1977

05.02.1977 aliongoza chama cha TANU katika tendo la kuungana na chama tawala cha Zanzibar ASP na kuanzisha chama kipya cha CCM (Chama cha Mapinduzi) akiwa mwenyekiti wake.
Nyerere aliendelea kuongoza Taifa hadi 1985 alipomwachia nafasi raisi wa pili Ali Hassan Mwinyi. Aliendelea kuongoza Chama cha CCM hadi 1990 na kuwa na athari kubwa katika siasa ya Tanzania hadi kifo chake. Inasadikika kuwa Nyerere alishawishi uteuzi wa Benjamini W.Mkapa kama mgombea wa raisi wa mwaka 1995 na ambaye aliteuliwa kuwa raisi kwenye uchaguzi wa mwaka 1995. Nyerere alikaa muda mwingi kwake Butiama akilima shamba lake. Pamoja na haya alianzisha taasisi yenye jina lake; mwaka 1996 alionekana akiwa mpatanishi wa pande mbalimbali wa vita vya wenyewe kwa wenyewe huko Burundi. Tar. 14.10.1999 aliaga dunia katika hospitali ya St Thomas London baada ya kupambana na kansa ya damu.
Mafanikio na kasoro
Nyerere akichanganya ardhi za Zanzibar na Tanganyika wakati wa muungano 1964
Mafanikio
(kujenga umoja wa Taifa na utamaduni wa Kiafrika pamoja na lugha ya Kiswahili, kushinda ubaguzi wa rangi, kutetea usalama wa taifa katika vitani dhidi Idi Amin)
Kutoa mchango kwa vyama vya ukombozi vya nchi za kusini ya Afrika kama; Zimbabwe {ZANU), Afrika Kusini (ANC na PAC), Namibia (SWAPO), Angola (MPLA) na Msumbiji (Frelimo)
Kutofanikiwa
Siasa zake za ujamaa zilishindwa baada ya mwaka 1976.
Baada ya kuona kuwa uchumi wa Tanzania hautaweza kusimama kwa siasa za kijamaa na kutoweza kuvumilia kuendesha nchi kwa siasa ambazo yeye hakuwa muumini, Nyerere kwa maamuzi yake mwenyewe aliamua kustaafu nafasi ya uraisi baada ya uchaguzi wa mwaka 1985 na kumwachia usukani kwa Ali Hassan Mwinyi aliyetawala kwa siasa za uchumi wa soko huria.
Katika hali ya kukubali ukweli, Nyerere alitamka katika tafrija ya kumwaga juu ya siasa yake kiuchumi “Nimefeli. Tukubali hivyo.”
Ukosoaji dhidi yake
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
Mwl.Nyerere analaumiwa kwa siasa zake za kiujamaa kuwa zilichelewesha maendeleo ya kiuchumi wa Tanzania.
Pia kuna makundi ya waislamu wanaomtuhumu kwa kuendesha kwa siri vita dhidi ya uislamu na upendeleo wa elimu na madaraka kwa wakristo.
Nyerere akicheza bao kwake Butiama akitazamwa na mfuasi wake katika urais Ali Hassan Mwini, mke wake Maria na kakaye chifu Burito

Sifa zake
Bado anakumbukwa na watanzania hasa wa hali ya chini kutokana na sera zake za kujali utu na ubinadamu.Pia ataendelea kukumbukwa na waafrika kote barani hasa kwa mchango wake mkubwa wakati wa harakati za kupigania uhuru katika nchi mbali mbali barani Afrika.
Ni mmoja wa viongozi wachache wanaokumbukwa kwa kutojilimbikizia mali pamoja na kutawala kwa miaka zaidi ya 24.
Kaburi la Nyerere kijijini Butiama

Mwishoni mwa maisha yake Nyerere aliishi kama mkulima wa kawaida kijijini kwake Butiama. Alipatwa na kansa ya damu (leukemia) na kufariki Uingereza wakati wa kutibiwa katika mji wa London tarehe 14 Oktoba, 1999. Alizikwa mahali pa kuzaliwa kwake, kijiji cha Butiama.


R.I.P Mwalimu Julius Kambarage Nyerere                     


mjue msanii wa kitanzania anayefanya kazi zake United States of America.

STANBOI "THE AFRICAN CHILD"

Stanboi ‘’the African Child’’ real name Stanley Kibale is an American based R&B/Pop singer that hails from the East African country of Tanzania. Born and raised in the city of Dar Es Salaam, Tanzania, Stanboi started singing in a choir at a young age where he discovered his passion or music. From a young age he had dreams and aspirations of being an international superstar, so he began cultivating a work ethic that would eventually allow him to create a following in his home of Tanzania. With influences like R.Kelly, Usher, 2pac, Wyclef Jean, Akon & Snoop Dogg, Stanboi delivers a harmonic sound with sweet melodies and captivating lyrics. The release of his first single ‘’Take you Out’’ a song about an amazing date night with a beautiful woman, sparked his career in the United States as it was played on the Wichita, KS Power 93.9 radio station for over 4 weeks. This allowed Stanboi to open up for music industry artists like Chamillionaire, Omarion, Hurricane Chris and recently Kreayshawn, Baby Bash, Mann and Mims. The single began to create an immense buzz for Stanboi as he was featured on over 50 online music & lifestyle blogs. Radio stations online and in his home of Tanzania as well as other East African countries like Kenya and Uganda picked up ‘’Take You Out’’ and the song instantly became a smash hit online and in East Africa. With such a great reception by the fans, Stanboi embarked on a US Tour which included cities like Dallas TX, Houston, TX Minneapolis, MN, Chicago, IL and more. Currently working on the release of his debut album ‘’The African Child’’ Stanboi keeps himself relevant by constantly performing live, writing new music and composing catchy and timeless choruses for other artists. His second single ‘’Round & Round’’ takes a different approach from the first single as it touches on the ups and downs of success, life and friendship. With the belief that he was meant to inspire people with his music, Stanboi continues to deliver strong messages in his music as he hopes to be remembered as a great artist who helped changed lives and inspire people to become better members of society.


akiwa studio

akiwa  studio

hapa akiwa na chamillionare

hapa akiwa na Omarion

\
hapa akiwa na Hurricane Chris



stay tuned kwa nyimbo zake mpya na pia tembelea www.youtube.com/watch?v=o9OCMT7hsNE&feature=related kusikiliza nyimbo yake ya FIYAH na www.youtube.com/watch?v=EsrREvwKp3xc kupata nyimbo ya ROUND & ROUND......pia visit web yake ya http://www.stanboimusic.com/ kupata habari zake na kudownload baadhi ya nyimbo zake