playboy lyrics by Nikki Mbishi

yo
kama leo
umeni'call kwa geti yo si ipo kesho
Before the night falls tuifanye iwe siku special
usiku ukapita kwa vita dhidi ya usingizi
na ndoto zisizokwisha natishwa na Jinamizi
masaa yakasogea nikiwaza jinsi ya kutoka..
Peke yangu ghetto naongea na suti na pair za mocca
nna'dress, nafunga mlango natoka, naingia parking
??the place ready on silence nowhere the dog was barking
mwana nawasha ndiga saa 'saba za pm'
nagundua sina akiba nacheki na ATM
na'draw za kutosha naliona duka nashuka
naongeza vocha napiga ananjibu 'bado nasuka'
namwambia ukimaliza nishtue mi niko njiani
pia wakati nakuja unataka zawadi gani
akasema 'yote uipendayo njoo nayo mi ntaipokea'
Usiendeshe gari kwa spidi, 'see you baby take care!'
siku ikazidi fana kimwana alinidhibiti
nikafanya shopping ya maana, lelana
na mlimani city, kama twiga bata
figure matata mithili ya grace, anapiga anakata
grigi alidata na baby face
nchi ya kusadikika ntaku-'treat'ije this way?
wasaa ulipofika malaika aka'display kiss na hug za nguvu
like hey baby i miss you
??nkasa ukofesafiri niskize nikupe ishu


sijawahi kupenda na wala sijui mapenzi na siwezi kumuenzi love cause
Im a playboy
usije ukanipenda nitakuumiza nitakutenda sipendeki nitakupa taabu cause
Im a playboy

sijawahi kupenda na wala sijui mapenzi na siwezi kumuenzi love cause
Im a playboy
usije ukanipenda nitakuumiza nitakutenda sipendeki nitakupa taabu cause
Im a playboy

yeah
kimtego akavuta kiti akapozi muhudumu akaja
nikaagiza chupa ya baccardi na mbuzi wa nusu paja
kazi na dawa, pombe na nyama, utani na story
anacheka utadhani fetty, na of course she spread it jollily
mvinyo ukapanda kichwa sistaduu akaanza visa
nikahisi nikipotezea ataniona nyoka wa kibisa
mashauzi ananiletea, na blouse mbele ime'diss
ikabidi nikakodi uwanja ili nyavu niweze tikisa
mrembo hakuleta utata swadakta akazama ndani
alipovua si ndo nikadata nikapata ladha duniani
shughuli pevu brotha kaka akajihisi yuko nje ya sayari
nikampiga 'starter' na memory ndani ya diary
akatoka na star, shobo zikaponza mwili
wakati playboy, silali na demu mmoja mara mbili
siku tulipoachana ndo mwisho kuongea naye
akipiga nakata, nikipokea piga baadaye
ikabidi atimbe maskani lunduno kuniulizia
akaambiwa yuko nyumbani, na shemeji ametulia
akajiona hana thamani, nguvu zikamwishia
kwasababu nishamtumia, kimsingi ameshafulia
akaja kwa dhumuni akitaka kufumania
nikamtolea mbavuni, machozi akaanza kulia
akitaka penzi la amoni, ambaye sijatulia
mwenzake akaja ubavuni kimahaba akanikumbatia


usipagawe na usanii mi sio kioo cha jamii nitakugeuza big G cause
IM A PLAYBOY
Radio Tv ishi ABC kuna HIV cause
IM A PLAYBOY

usipagawe na usanii mi sio kioo cha jamii nitakugeuza big G cause
IM A PLAYBOY
Radio Tv ishi ABC kuna HIV cause
IM A PLAYBOY

usipagawe na usanii mi sio kioo cha jamii nitakugeuza big G cause
IM A PLAYBOY
Radio Tv ishi ABC kuna HIV cause
IM A PLAYBOY

usipagawe na usanii mi sio kioo cha jamii nitakugeuza big G cause
IM A PLAYBOY
Radio Tv ishi ABC kuna HIV cause
IM A PLAYBOY

2 comments: