joto hasira by Lady Jay dee ft Prof Jay


CHORUS
Hili joto hasira amba
Upepo hakuna amba
Naruka mwenyewe yerela yerela amba
Foleni mzee mzima  amba
Na pesa hakuna amba
Naruka mwenyewe yerela yerela amba
Hili joto hasira amba
Upepo hakuna amba
Naruka mwenyewe yerela yerela amba
Foleni mzee mzima  amba
Na pesa hakuna amba
Naruka mwenyewe yerela yerela amba

VERSE1
Kila siku nimenuna kwanini tunagombana
Tena tunakosoana kama tumechanganyikiwa
Na sioni hata maana ya si kuzinguana
Yaani kila mtu anajua sana au yote sababu ya sababu ya

CHORUS
Hili joto hasira amba
Upepo hakuna amba
Naruka mwenyewe yerela yerela amba
Foleni mzee mzima  amba
Na pesa hakuna amba
Naruka mwenyewe yerela yerela amba
Hili joto hasira amba
Upepo hakuna amba
Naruka mwenyewe yerela yerela amba
Foleni mzee mzima  amba
Na pesa hakuna amba
Naruka mwenyewe yerela yerela amba

VERSE2
Mazao twalima wote sahani wavuta kwako
Kama  chakula tule wote kwanini  chote kije kwako
Kisu mpini umeshika wewe ni tishio kunikata mimi
Mmmmh Au yote sababu ya sababu ya

CHORUS
Hili joto hasira amba
Upepo hakuna amba
Naruka mwenyewe yerela yerela amba
Foleni mzee mzima  amba
Na pesa hakuna amba
Naruka mwenyewe yerela yerela amba
Hili joto hasira amba
Upepo hakuna amba
Naruka mwenyewe yerela yerela amba
Foleni mzee mzima  amba
Na pesa hakuna amba
Naruka mwenyewe yerela yerela amba

VERSE3
(LADY JAY DEE)
Sahau sahau shida ooh kamilisha jana
Say goodbye joto rest in peace shida
Nok nok money
(PROF JAY)
Wenyewe wanasema usawa unakaba na rafiki wa kweli ni mama na baba
Hawa wengine wala usiwaamini binadamu wa sasa wana roho saba
Watakuwa na wewe kwenye raha na hawatakuwa na wewe kwenye njaa
Bora nipige misele yangu peke yangu niruke peke yangu uwoga niliukataa
Nabadilika kama saa na siku hazigandi   na sitakata tama
Wamejaa usaliti na chuki
Watu wa karibu wamenageuka mamluki
booom  General nasonga
Iwe joto au baridi naamini tutashinda
Kama mbwai iwe mbwai barida
We make more money rest in peace shida
Ukinuna unataka tunune wote
Ukilia unataka tulie wote
Vita vyako tunapigana wote
Tukishinda tushinde au bora tufe wote
Kama kulima kote tumelima wote
Hata kupanda kote tumepanda wote
Kupalilia tumepalilia wote
Aah nashangaa sasa mbona hatuvuni wote


CHORUS
Hili joto hasira amba
Upepo hakuna amba
Naruka mwenyewe yerela yerela amba
Foleni mzee mzima  amba
Na pesa hakuna amba
Naruka mwenyewe yerela yerela amba
Hili joto hasira amba
Upepo hakuna amba
Naruka mwenyewe yerela yerela amba
Foleni mzee mzima  amba
Na pesa hakuna amba
Naruka mwenyewe yerela yerela amba

2 comments:

  1. Intresting..ukizingatia kuna uvumi au tuseme taarifa ya ugomvi huu ambao unabeba taswira ya wasanii kuwa na maelewano hafifu na mabosi wao nambari Moja!!

    ReplyDelete
  2. Nice song..I love it

    ReplyDelete